Niliyoyashuhudia nilipofunguliwa macho

Niliyoyashuhudia nilipofunguliwa macho

Mbali na mafundisho unayotupa mimi ni nafatilia kwa karibu sana stori na visa unavyoturushia humu.
Nina ombi moja kwako, kama inawezekana uandike kitabu cha simulizi zote ulizopitia lakini ndani yake uweke mafundisho ambayo yatatusaidia zaidi katika maisha yetu ya kila siku. Naimani kitabu kitauza sana na kitawafikia watu wengi sana ambao wapo nje ya mtandao.
Ahsante sana kwa ushauri wako, tutalifanyia kazi.

Nilishangaa hata bingwa wa uandishi wa habari mkongwe Pascal Mayalla alinipa ushauri kama huo, tena akasema hii, itakua best seller.

Mnaniaminisha kuna kitu ndani yake ambacho mimi sikioni, tena nimeacha mengi sana kwa kua mimi sio mwandishi na nimeanza kuzoeshwa kusoma vitabu na Arsis, kabla ya hapo nilikua sio mpenzi wa kujisomea mambo nje ya fani yangu ninayoipenda, umeme wa magari.
Simba.
 
story nzuri ila uandishi bado sana ulivyoishia pale mpe ocean road aris basi umenichanganya tena sijaelewa kabsa mtiririko uliofuta nmeshindwa hata kusoma ... I hope utakaa chini na kuandika vizuri kwa mtiririko mzuri then utaanza upya kupost big up
TTfadhali nipe [post namba. Nikaweke sawa.

Hilo la uandishi mbovu nalifahamu sana, mimi sijawahi kuandika hata barua zaidi ya kwenda kuandikiwa serikali ya mtaa. Nimeanza kuandika hapa JF baada ya kua nawasoma wachangiaji kwa muda mrefu sana.

Kwa sasa najihisi naendelea kupiga hatua vizuri.

Kila mnapoliona kosa msilifungie macho. Jukwaa huru hili. Tukosoane kimaendeleo.
Simba.
 
Ni kweli wewe hauna uwezo,ila una connection moja kwa moja na viumbe ambao wanaujuzi zaidi wa shida zinazotukabili nje ya mfumo wa kawaida.

Mfano ulimpiga beat huyo mkuu wa vibuki aachane na dokta kabisa.

Mbona babu yako yeye alikua hawaambii wenye matatizo kwamba wasali sana.

Ndo maana akakuunganisha na kina Arsis ili ikitokea changamoto unasaidia kama ulivosaidia mengineyo ya misukule n.k
Kilemba chako kinanikumbusha kilemba cha mtu mwenye majini niliekutana nae Dar. Sijaleta kisa chake. Huyo jamaa alikua ana majini kwa maelfu.
Simba.
 
Unampa pole mtu unaempa hafahamu kwanini? Hapo wa kupewa pole ni wewe.
Nakushauri piga goti usome, sana tu. Mipasho ya kijinga haitakusaidia kitu. Unatakiwa upite kwenye njia ilionyooka.

Sifahamu kwa wewe, lakini nfahamu Kiislam tunaomba kwa uchache kutwa mara 17, tuongozwe na muumba wetu katika njia ilionyooka.

Au hujamsoma mose kasema nini kuhusu moyo?
Simba.
Mkuu wala sijamaanisha mipasho wala sina kusudi hilo, pole ni kuwa nahurumia nafsi yangu na kukupa pole kwa kutaka kukupa mzigo ni hilo tu, samahani kama nimekukwaza
 
Tukaenda na swahiba alipotuagiza Meneja tukamkuta manager peke yake kasimama jirani na hapo, tukasalimiana pale.
Meneja: <Mgeni alietualika ni mumewe Bi Sh alikuja kutaka ushauri wangu kuhusu hoteli ya Bi Sh na amekodisha room atakua hapa mpaka kesho, watakuja baada ya muda si mrefu, wite mabiie wa Dar wapo na T chumbani kwao wanajitayarisha, si unajua wanawake hawana dogo.

Na mumewe Bi Sh anategemea wageni wawili kawaalika chakula poia, mke na mume, wataingia muda eoeote kuanzia sasa. Karibuni agizeni vinywaji.

Mimi; Tutasubiri, mimi naoimba mniwie radhi kidgo kuna miss calls nataka niende pambeni nikapige nyinyi endeleeni na vinywaji, sichelewi nitarudi. Nikaenda mbali kabisa na pale ili nisiwakere na maongezi yangu, nikaona kibanda kimoja cha makuti kipo peke yake na hakuna watu saa hzi beach isipokua wazungu mmoja mmoja.

Nikapiga simu hya kwanza namba nisioijua akapoke Bi S. Mkubwa wa vibuki, Tukasalimiana pale.
Bi S; Simba bado upo Unguja au umeshaondoka?
Mimi -; Bado nipo.
Bi S; Ulinambia upo hoteli?
Mimi; Ndio, nipo hoteli.
Bi S; nimekupigia sana nikasema hupokei namba usizozijua?
Mimi; hapana, nilikua nimekaa na watu na si vizuri kupokea simu mbele za watu nitawakera.
Bi S; Watu wengine hawana hilo kabisa, hata akiwa mgeni kwako, basi ataaanza kuonge na simu kama yupo kwake, hata mimi siwezi, mamboi hayo. Watu na mna hiyoi ni selfish.

Nikapata jina jipya la watu wasioheshimu utu wa watu wenhgine kwa kujibu na kuongea na simu zao hovyo, mbele za watu hata wasiowajua. Binafsi nashindwa.

Bi S; Nimekupigia nilikua naongea na BiH 1 wa Dar, akataja kua kuna kuna kijan yupo hoteli waliofikia, anahisi ni ndugu yake Meneja wa hapo, alivyotaja jina Simba, mimi sikumuulliza zaidi na sikumwambia kama nakufahamu. Ni kweli?
Mimi; Kweli nipo naoi hoteli moja, yeye na mwenzake na kweli Meneja ni kama ndugu yangu wa kushibana sio wa ukoo.

Bi S; Huyo meneja wa hio hoteli moto wetu wa Kingazija huyo, sema miaka mingi alikua anaishi nje hata jamaaa zake hatujui, Marehemu mamake alikua karibu sana na sisi. Niliposikia nikaona nikupigie kucheki ndio wewe au mwengine.
Mimi: Ahsante kwa kunijulisha.
Bi S; Kwanini unakaa hoteli, si uje kukaa kwangu hapa, nyumba kubwa hii, halafu Bi S kanifahamisha mamako, namfahamu, sio sana lakini tushaonana mara mbili tatu Dar kwenye shughuli za huyo Bi S. Njoo hamia nyumbanni utakaaje hoteli na sisi tupo?
Mimi: Ahsabte Bi S, In shaa siku zingine nikija nitakuja rasmi, kwa sasa ni mgenoi wa Meneja hapa.

Bi S; Una nafasi ya kuongea? Kuna vitu muhimu sana nataka kuongea na wewe Simba.
Mimi; Ongea gtu Bi S, nipo peke yangu.

Bi S; Simba nataka kujua, wewe ulikuja kutokea kwa Dar kwa ajili ya Dokta?
Mimi; Ndio.
Bi S; Tafadhali nifungikie, mimi kicheo cha vibuki nipo chini yako lalkini sasa hivi sikuulizi kama kibuki, nakuuliza kama mimi S. Ilikuaje hata ukaja?

Mimi; Nilikutana na Dokta kwa mganga wa Kipemba, nadhani hilo unalifahamu.
Bi S; Ndio, kwa mzee Ali wa buguruni.

Mimi; Meew ali ndio akanifahamisha mtTIO Ykw na utatuzi ni lazima aje yaitwe maruhani ya kibuki wafanye muafaka kwa sababu ni wa ukoo. Nikashauriwa nije kujionea. Ndio nikaja.
Bi S; Mbona ulivyokuja siku ya kwana hukuniambia hayo?
Mimi; Sikua na sababu ya kukueleza hayo, kama mkiubwa wa vibuki ungejua tu.
Bi S; Nilipata habari kua huyo aliekuja ni mkubw sana lakini sikujua vibuli wanamaanisha nini mpaka nilipokukuta ndani tukaongea. Sasa nilikua nataka kujua, wewe Simba unatibu watu?
Mimi; hpana mimi sitibu watu wala sijui tiba wala sio mganga.
Bi S; Ilikuaje sasa ukajuana na Mzee Ali?
Mimi; Mzee Ali ni maarufi sana Dar nilipelekwa na babangu nikajionee shughuli zake. Ndio nikagfahamiana nae na nikamuta Dokta hukohuko.
Bi S; Ikawaje ukaja hapa?
Mimi; Nilishauriwa nije, tafadhali usitake kujua na nani.
Bi S; Nimefahamu.
Mimi; Kwanini ulitaka kujua kama na tibu?
Bi S; kwa sababu una nguvu sana sio za kawaida, na sisituna watu wengi sana wene matatizo wanaonifata, nilitaka kujua unaweza kutusaidia vipi?
Mimi; Bi S, mimi sina nilijualao, kama umeshajua walionishauri nije, wao ndio wanatibu, mpaka waamue wao, mimi sina nilijualo, mimi fundi magari.

Bi S; Ni hsayo tu, niliku nstsks kukufhamisha, Eakuu wa viuki walinigiza Dokta audishiwe pesa zake na vibuki wake wasaimsogelee kabisa mpaka atake yeye mwenyewe tena mpaka wao wakuu waidhinishe, kwa hio kwa sasa wale vibuki wa Ndama, hawatomkaribia tena, alionao sasa ni wale wa kwa uoande wa mamake, sisis hatiruusiwi hata kuwataja wanaitwaje. Na ana vijini vingine vya Mzee Ali. Nilikua nakuomba simba, mkikutana na Daktari, nagahamu yeye kaondoka leo, aliniaga. Tafadhali usimueleze chochote kuhusu niliokwambia, mwache aishi kwa salama na amani, na sisi tutamkaribisha kwetu kama mtu wa kawaida lakini hattoshirikishwa kwa chochoite na vibuki wala hatokua kwenye chama chetu, tumepigwa marufuku kabisa. lakini yeye hafahamu hilo.

Mimi; kwanini unanambia yote hayo?
Bi S; Mimi nagahamu unayajua yote lakini nilitaka mimi kama mimi mbali ya vibuki niliweke sawa kwako usinifikirie vibaya, kama kuna nililkosea tusameheane kama binadamu. Mabio ya mila na jdai tuyaache kimila na jadi.


Mimi; Bi S, nirudie nilichokwambia kwako?
Bi S; hapana baba, nayagahamu yote.
Mimi; Nakukumbusha moja tu; toiba mama toba.

Bi S; Nimekuelewa baba. Niombee dua.
Mimi; Amiin. Kusongea tu hilo ni dua.
Bi S; Nakukaribisha sana nyumbani, nikia leo mna dinnet huko mmealikwa na mumewe Sh, Wamenambia wapo huko, walinambia nije, lakini wamenambia wakati mbaya ningewachelewesha sana, sikuweza kuja. Tungeonana huko sijui ningekutazama vipi?
Mimi; Usiwe hivyo, uliyoyangia na nia ya kyfabya toiba ni kubwa sana, mimi nichukukie kama mwanao tu, Wla usijisikie vibaya kabisa kuniona. Ongea na mimi kwa simu wakati wowote, hii namba yako naisave.
Bi S; Sawa, basi ahasante nisikucheleweshe mamboi yako, nikiwa na lolote tutaongea.
Mimi sawa, ahasnate kwa kua muwazi na mkweli. Kwa heri.

Tukaagana pale natazama upande wa meza ya chkula nika ona kama kuna wayti wameongeeka wapo zaoidi ya wawili, nikaenda nikawakuta Meneja, Swahiba, mwanamme na mwanamke siwajui. Tukaslimian Meneja akatulisha wote.
Meneja; Huyiu ndugu yangu anaishi Dar kaja kututembelea, lakini ahatki kukaa sana kesho anaondoka
Mgeni 1) Kwnini Simba, Unguja ni njema.
Mimi: Nimekaa sana bila kazi nimeshazowea pirika pirika za Dar.
Mgeni 1; Dar kuna pirika hasa mimi siziwezi nimeizowea Unguja yetu ingawa na yenyewe siku hizi inaanza kuwa na pirika pirika nyingi.
Meneja; Ndio maendeleo.
Mgeni; Sikujau kama nitakutana na swahiba hapa, tunajuana miaka mingi sana, tupo uradi mmoja huyu kila alkhamis, ndio masheikh zetu, mtoto wa Sheikh na yeye anafata nyayo.
swahiba,, Ahh unanipaisha sana bwana, mimi maamuma tu lakini In shaa Allah kauli yako iwe dua ya kheri.
Mimi: Amiin.
Kidogo kina dada wakaingia, kikundi wameingia kama midege inayosaka mizoga, katikati yao yupo mwanamme, anainesha ni mtu mzima kidogo lakini smart kabisa na yupo fit, anaonesha wazi umri unaenda lakini ni mgtu wa mazoezi alikua nimpana kiasi lakini hana manyama uzembe. Tukasalimiana pale.

H1; Ngija niwatambuloishe mimi> Huyu Mumewe BSh ndio alimkimbiza kwenye picnic yetu kwa Meneja, maana ni nyumbni pale lakini ilikua ni picnic, bahari ipo mbele yetu. nimtqmbulishe na vyeo vyake? Huyu ni Mjeshi, mwenyewe anasema mstaafu, lakini nijuavyo hakuna mwanajeshi mstaafu, kahamia kazi nyingine tu, Ssa hivi ni Waziri wa wa Serikali ya Mapinduzi. Na huyu mshajuana? hwataki kusema hawa Waunguja, huyu ni katibu Mkuu wizatra ya nini vile? Mliasili na Utalii si ndio. Na huyiu ni mkewe wa pekee, lakini anaonesha ana utotori wa nyumba ndogo, Unguja hii? Ji hansome kama hili? hata mimi akinikalia swa simwachi.

Mimi nikajua huyu Bibi kiwhazivuta huko chumnbani.

H1; Na huyu jamani mtoto wa haoa hapa kwenu Unguja swahiba yuake Simba huyu bila simba tungepaya wapi mhumba mpya? Huyu ndio mchumba wa T kuanzi leo.

T alikua akwa anachek chek kumtazam nikaona yeye huyu kishazitia kabla hawatoka huko ndani. ;akini katokezea huyo, T ni mzuri sana kupita maelezo, kavaa dress fulani hivi nyepesi kajitupia na mtandio mabegani kuficha juu ipo wai wazi. Imemtoa sana.

H1: hawa wengine mnajuana, enhee na huyu bibi Mke wa katibu Mkuu nisimsahau, huyu jamani mfanya bishara na mama wa nyumbani lakini yupo nae group moja, asiwstue, tutasema mambo yake sasa hivi mbele ya mumewe hapa.
Waziri; Semaaaaa.
Mumewe; Semaaaa
Menje; Usisemeeee
Hw: Semaaaaa maana anajifanya ka sio yeye huyu, eeh mwanamke ana vituko huyu, sijapata kuona.
Mke wa KM; jamani hii dinner leo ya kusakamwa mimi, ngojeni nile basi halafu muanze. Mnianzia mapema namna hii, nipisheni huko?
Sh; Si huyu akishakunywa mipombe yake kusema hivyo kama mwehu.
H1; Wewe saa hizi una kauli eeh, mwepesi, Mjeshi kishatoka kukufanyisha mazoezi, usio na haya wewe. Na mjeshi ulishikwa sana, si una mke mkubwa wewe? Ile kufika tu na chumba mkajifungia ndani, mnatichelewesha kula. Tunekaa kila mkao tunawangoja. Meneja kabla hawajaagiza hawa tafadhal sana ile supu, ilee ya kitai. hakuna kulala leo, hawa wanawake tutabadilishana vyumba tu.
Sh; Nyoo usiekua na haya wewe ubadilishane chumba na nani?
H1 basi wote twendeni tukanyanduane chumba kimoja, au unasemaje Meneja?

Meneja akawa abacheka cheka, tu anaona haya.

Mjeshi; Sh, Mimi nipo tayari huyu rafiki yako T leo ahamie chumbani kwetu, kitanda kikubwa kile.
Sh; tena nakuona siku nyingi uanvymtolea macho mtoto wa watu,ute unakutoka ukimuona. Utamuona hivyo hivyo kwa mbali.

Meneja; Tuanze kuleta chakula, ni vile vile kama tiulivyopanga Mheshimiwa?
Mjeshi; Vilevile hakuna mabadiliko.

Meneja; Haya jamani nyinyi kaeni ndani ha muda mchavhe watakuja wahudumu, igtawekwa meza ya chakula hapa wagtakua wanahudumia.

Akanyanyuka akaendandani, haijapita hata dakika ikawekwa meza kubwa kama mita gtano hivi na tulipokaa, yakaanza kuletwa mashani na mabakuli yale makubwa ya silva ya kuwekea vyakla zikaleytwa na sahani juu ya meza yake, ndogo tayari wapakuaji wamejipanga hapo.

H1: meneja ile supou ipo?
Meneja; ndio ipo hio tu, hakuna supu nyingine.
H1; haya asie na mwana aeleke jiwe. Supu ya Kitailendi hio, nyie wenye waume zenu, sijui huyu meneja anaitia unga wa viagra hio supu, mtakoma ubishi, lakini msijali, tupo sisi kuwapa huduma ya kwanzza mkizidiwa.
Meneja: Mheshimiwa karibu utufungulie kuanza kuchukua chakula wew ndio mwenyeji wetu leo.
Mjeshi; haya karibu nyite jamani, msimuone haya H1.

Akaanza waziri pale, tukafata nyuma yeje wenginewote, tukapakulia tukala, tukacheka, tukafurahi mapaka tunaliza vitanu tamu (desert) na kahawa mwisho, yamepita kama masaa mawili.

Katibu Mkuu akamshukuru waziri kwa kumualika, akaaga huku anasema jamani natamani tungekaa zaidi lakini majukumu. Wakaondoka na T baada ya kuagana ku hug na nini tena.
H 1: umemrushia mwamba hapa ndege wake. Mwamba hata namba basi hujachukua?
Swahiba: Mimi huyo sina haja ya namba mimi nakwenda kwao.
Sh; Waarabu wale unfate binto yao nyumbani utamuona hata alipo?
T; Huyo anaingia kwetu kama kwao. Muulzieni atawaambia, tunagoja alete posa tu.


Wakaondoka tuukawasinf)dikiza mpaka parking, Tuliporusi tukakuta pamesha safishwa, Meneja akatushukuru akasema na yeye anakwenda kupumzika mapema, ana kazi asubihi sana. n swahiba yangu akaaga.
H1; Unaenda wewe Muunguja, tumebaki wawili kwa wawili, Supu haijafanay kazi kwako? Joo mpenzi, twende mimi nikakutulize mzuka wa supu, huyu mwachie Simba hapa.

Simba; na mimi nakwnda zangu, kesho nasafiri mapema.
H2; Boti ya kwanza?
Mimi; haoana naondoka na ndege, saa nne niwe airport. Inabidi niamke mapema kujitayarisha. Nataka kupita mjini ninunue halawa ya zawadi.
H1: na mimi umenikumbusha, tena wewe oengine tunaondoka ndege moja, H2 umechukua boarding pass?
H2: bado tutachukua wakati wa kuondoka time nitatazama kwenye simu.
H1; kam ndege ni hiyo ya saa nne baso na sisi tuwahi mapema asubuhi tujkanunue Halwa ya zawadi, simba umetukumbusha jambo.

Nikawaaga, nikanyuka kumsinidikiza swahiba.
H1; Nyie mbona sio ma gentleman, mtaondokaje mtuwache wanawake pekeetu?
Mimi: Namsindikiza tu narudi.
HJ2: Ngojeni, H1 twende acha uvivu tuwasundikize yupite na resepshen tu print kabisa biarding pass zetu.

Wakanyanyuka tukatoka nao wote mpaka parking wakahug swhiba, wakahakikisha wanachukua namba za simu H1 akamsisitizia, nipo serious kuhusu biashra ya laptos na ikiwezekana hata hilo duka la simu hata huku Unguja nipo tayari kufungua duka, mabo ya mtaji usiwe na shaka, yupo H2 hapa titamkopa, huyu msimuone anakaa kimya tu. Mumewe na amiviwanda mijubwa mij)kubwa anannukia pesa hapa alipo.

Tukaagana wao wakaenda resepshen mimi nikaenda moja kwa moja chumbani kwangu. Nikajimwagia maji ya shower, sikua na haja ya kupiga simu wala nini, nikapiga rakaa zangu nikalala.
...

...

Nilipoamka Alfajiri, nikaona nimeamka on time dakika 15 kabla ya muda wa Sala, nikaingia bafu nikakoga, nikatoka nikasali na dua zangu ndogo na nyiradi ndogo ndogo.

Nikachukua simu, nikakuta miss calls tatu za Swahiba na moja ya Sheikh. Nikapiga ya Sheikh kwanza. Baada ya kusalimiana.

Sheikh; Swahiba yako kanambia unaondoka leo, nimempa zawadi akupelekee bandarini, usiwe na shaka kanambia unaenda na ndege, sasa wewe pale Dar mpigie huyu kijana simu, mfahamishe mzigo ufikishwe wapi akiupokea. Nimeona nisikubebeshe mzigo na wewe unaenda kwa ndege.

Mimi; Ndio Sheikh.
Sheikh; Safari njema bwana Simba, In shaa Allah tutaongea zaidi ukifika. Mpigie swahiba yako alikua anakupigia hakupati.
Mimi; Sawa Sheikh, ahsante sana kwa ukarimu wako nikifika salama nitakujulisha.
Sheikh; In Shaa Allah utafika salama, mpigie Swahiba yako kabla hujatoka.

Tukaagana pale, kumaliza nikampigia swahiba. Hakuchelewa kapokea. Baada ya kusalimiana.

Swahiba; Simba, mijimama ya Dar ilikuteka nini nimekupigia sana hupatikani.

Mimi; Ulipoondoka tu, mimi nimeingia ndani,simu nimeiweka silence, mpaka alfajiri, ndio kwanza nimemaliza kusali nikampigia Sheikh, nilikua naongea nae.

Swahiba; Kitahanani cha kukupigia ni Sheikh, kumbe alikua kakutayarishia zawadi zako, matunda matunda ya Unguja ndio nayapakia sasa hivi bandarini, nitakutumia namba ya kijana umwelekeze avipeleke wapi vinaondoka na boti ya 12 kamili.

Alikua anataka nikuwahi usinunue halwa, sasa hizi ndio zina maelekezo, kuna za babu yako,, zote zimeandikwa babu. Kuna za H1 na H2, hizo zimetoka kwangu, najua Dar mtawasiliana watazipata. Na wao nawapigia sasa hivi wasihangaike kwenda kununua Halwa.
Mimi; mmejisumbua mwamba, ahsanteni sana Mwenyezi Mungu awajaalie heri zaidi na zaidi.

Swahiba; Tupo wote, mimi nakuja Airport kuna kimzigo chako kidogo hicho cha mkononi, hakina uzito kabisa.
Mimi; Sawa, si unajua Saa nne nitakua pale?
Swahiba: Usijali, mitaa yangu ile. Tutakutana huko, huingii ndani bila mimi kutokea. Nishaweka swahiba zangu nikichelewa wakwambie.
Mimi; Poa Swahiba.

Nikakata simu nikaona nikapige kahawa za hoteli za mwisho mwisho huku natazama bahari, sina haraka tena ya kwenda mjini. Vitu vyangu nikaweka sawa kwenye kibegi changu ili nikivichukua hakuna kupack tena, nisha pack tayari, nikibeba kibegi na kuondoka. Nikahakikisha sijasahau kitu. Nikaenda nje kwenye kahawa.

Nikaagiza orange juice na kahawa. mhudumu alieniletea akanambia Breakfast ipo tayari, ukitaka tukuletee au pale breakfast room yote sawa tu. Nikacheki muda, nikamwambia bado mapema sana kwa breakfast. Ahsante.


mara ikaingia simu ya babu tukaongea nae.
Babu; Sitaki mchezo na halwa yangu, ukifika tu mpe babako anajua nani wa kumpa aniletee ifike haraka.
Mimi: babu; Halwa yote hio Tanga unapiga alfajiri yote kwa ajili ya halwa tu?
Babu: Ha;wa ileile lakini mapishi tofauti hata ladha toifauti, halwa ya Unguja nzuri sana, ina ladha ya kipekee.
Mimi; Usijali babu In shaa SAllah nikifika tu nampa mwanao.
Babu: Vipi hali yako, hujaoa huko?
Mimi: Kwani ujlikua unashikilia nije ili unioze huku?
Babu; Si nilitaka kujua tu, kama umeoa kuna dadake unioze ma mimi.
Mimi; haya, ninaopota kuoa nitauliza kama wapo wawili.
Babu; Kwaheri bwana, nilikua nahakikisha halwa yngu hamuigfanyi yenu kwenu huko, Kwaheri.

Nikakaa kaa pale sa moja kamili niasema wacha nikapige breakfast, nikaenda breakfast room.

Uzuri wa breakfast room pake kila kitu kipo tayari na vile vya kupikwa pikwa kama pancakes namayai mayai unafanyiwa live hapo hapo.

Nikapiga breakfast yengu ile natoka tuj nikakuta na Meneja na mabibie wa Dar wanaingia, tukasalimiana pale.
H1; Imekua vizuri nimekuona, una halawa zangu na za huyu bibi kutoka kwa handasome la Kiunguja, amasema utagtupa Dar, zuilete kwangu.

Mimi: Poa Bi H; kwako sizileti naogopa mumeo asinikabe. Totozuri namna hii si kutafuta ugomvi na mtu.
H1; utazileta sana, kama huzi;leti wewe atazileta mamako au mkeo, au yule malata mkubwa babako. Tana umenikumbusha, mpoe babako aniletee. Kifaa cha uhakika kile.
Meneja; Basi mkimaliza breakfast tutaonana niwaambie gari saa ngapi mtakua tayari?
H1; Si wewe ndio unajua saa ngapi, mimi najuaje barabara za kwenu huku, sema unatutoa tu kwenye maongezi ya kunyanduana, unajidai tu. Na namngoja huyo mzungu wako, akija na fanay ushoga nae . Nimfundishe mambo ya Kibongo.
Mimi: jamani, tugtakutana au kwenye basi au airport.
H1; Nendeni hukoi, mimi halwa zangu tu.

Tukatoka mimi na Meneja wao wakaingia kula breakfast. Nikamwelezea Manager kua sina haja ya kwenda kununua halawa mjnini mapema, sas nangoja time ya kuondoka tu.

Meneja; Tatu kamili kuna gari igtawangoja, wote mnaondoka ndege moja. Na mimi nigtakuwepo, wacha nipige raundi za kazi tutaona saa tatu kamili.

Huyo akapotea na mizunguko yake ya kazi.

Mimi nikarudi chumbani kwangu, nikampigia Mzee, akanambia nipo kwenye garinitakupigia nikifika pfisini.

Nikasema nimpigie Mshikaji wangu anifate airport nikaona haina haja, ngoja niongee na Mzee.

Baada ya muda simu ikaita, kupokea Mzee, ytukasalimiana pale.
Mzee; Unasemaje Simba?

Mimi; Nkuja huko naingia saa tano na nusu, maana nenge yatu inandoka hapa saa tano, nataka nije moja kwa moja ofisini.
Mzee; Simba haina haja ya kufanya hivyi, hapa usijali tupo sisi, kila kitu kipo OK, wewe nenda moja kwa moja Nyumbani, sawa ngoja nimwambiae Mshikaji anifate Airport.

Mzee; na mimi akija hapa tamsisitiza, elo haja asubuhi nyumbani, si unajua mabo yake yule, siku hizi kawa Sheikh Mshikaji wako.
Mimi; Ma Shaa Allah. Ndoja nimpigie.

Nikampigia mshikaji. kabala hata ya kusalimia...

Mshoikaji; Wewe mwanga. Laim unitilie kauzibem japo kwa simu.
Mimi; Kwanino gtena?
Mshikaji; Hivi ndio nilikua nainia kwa Dokta kataka nimepeleke kazini nikamwache huko nikamchukulie mzigi wake kwenye boti hya Unguja aliusahau Unguja umetumwa leo.
Mimi; Kweli mahaba yamenoga, kwani siku zote alikua anachukuliwa na nani?
Mshikaji; Mavi ya kale hayanuki, sas hivi mambo yake yote yanapitia kwangu.
Mimi; Ndio maana nimempoigia mzee anasema leo hujaenda hata kuchukua lifti ya kazini.
Mshikaji; Tena ailikua nimpoigoie dingi sasa hivi nimweleze, wewe ndio umepiga, unasemaje mwanagu?
Mimi: nataka uchukue gari yangu hapo unifate airport saa tano kamili, usichelewe.
Mshikaji; Umeenda na boti unarudi na mwewe?
Mimi; Ndiyo.
Mshiikaji: Poa basi, usijali, mimi nawahi,

Mimi; Oyaa, kuna mzigo wangu na mimi ujmekuja huko bandarini na boti ya subuhi hii, lakini kuna mtu anao, ngoja nimuwahi nimpe namba zako tusimwangaishe kuupeleka mpaka Ilala, mwambie dokta kua kabla ya kumpelekea gari utanishushia mzigi wangu.
Mshikaji: Usijalki mwanangu, ukiongea na mimi ndio ushaongea na Dokta, yeye simfati mpaka saa tisa., kwa hio nakuletea mzigo home au sio? Halafu mimi nawacha hii pale, nachukua ndinga yako nakufta kiwanjani, nikikufikisha hapa, naondoka na ndika ya Dokta wangu.

Mshikaji: mziki wangu vipi?
Mimi; Nikija tutaongea, sijaenda kabisa madukani nilikua nakaa nje ya mji huko.
Mshikaji; Najua wewe huwezi kuniangusha, tutaonana kiwanjani, mwambie huyoi Muunguja anipigie tu, asiwe na wasiwasi.

Nikampigia jamaa niletumiwa namba zake, akasema mzigo umefika na ninao kuna boksi mbili ndogo ndogo, nizilete wapi?

MImi; Wewe upo bandarini au ushaoondoka?
Jmaa; Nipo hapahapa ndio nilikua nangija tuwasiliane nitoke.
Mimi; Basi usihangaike, kuna mtu anakuja hapo sasa hivi, nakurushia namba yuake anaitwa mshikaji, utampa yeye huo mzigigo.

Jamaa; Sawa itakua voizuri kweli maana mimi nafanya kazi kwenye boti, akiwahi naondoka na boti hii hii.

Mimi; Atawahi na mimi namsisitiza kwa simu, mpigie.

Niakrusha namba.

Baada kama ya nusu 1 hoir hivi mshikaji kanipoigia.
Mshikaji: Mwangu, yule dokta anajulikana huku kuliko Mkapa, hivi tayari jamaa kuiona gari yake mpaka ndani nikafiungulkiwa, kishawapa habari wameniltea mzigo wake faster, na viboksi vyako viwili mimi ndio naondoka hivi una maagizo mengine?
Mimi: ahsante sina, usinigandishe tu airport.
Mshikaji; Sikugandishi mwanangu, mie nikija huko ndio mnazidi kunitia uchungu na mimi nilikwee pipa nende maulaya huko, nikirudi huku uzeeni nishastaafu huko.


Nikasubiri kidogom tatu kamili nikawa resepshen na kibegi changu, nikaona na kina Bi H washafika, na Meneja yuko pale.
Meneja akatupaza wadi wote watatu, akasema hii ya hoiteli kwa kua wateja wema. Ndnai ya voboksi hivi, nikaitia kwenye bag langu, Tukatoka, tukaingia kwenye gari.

Meneja: nakuja Dar huko, tutawasiliana lakini.

Mimi; Anytrime bro.

Tukaondoka, ile tunafika airport kama nne kasorobo namuona Swahiba yuko na kimfuko kidogo hivi. Kinamama walikiua na mabegi makubwa kama walihamia Zanzibar, wakamsalimi Swahiba kujuujuu wakaongozana na wabebaji mizigi, naona wale wametayarishwa na hoteli,

Swahiba; Simbamimi nimekuwahi na hii, bwana, hizi Barghashia za Kiunguja, moja hii kaitoam, inatoka kwangu, moja hii ya Sheikh, moja ilikua weite hivi moja ilikua broen nyuzi zake. Niachukua ya shwahiba kuijaribu imekaa swaswa, nikwambia hii siivui, hio ya Dheikh lete niiweke. nikaitia kwenye bag.

Tujaagana pale nikaingia ndani, nikaona nikangoje saa tano ya boiarding hukohuko ndani.

Nikaingia nikaenda moja kwa moja na boarding pass yangu mpaka chumba cha kupandia ndege, kuna mjahawa pale nikaenda nikaagiza kahawa, mara kidogo mijimama ikanipita pele, ikanambia tutaona andani ya ndege. Kumbee wenzangu wameenda VIP, wana connection hawa kina mama kiupita kiasi

Muda ulivifika tukaoingoizw andani ya ndege on time, nadani ya ndage hatukuchelewa kama dakaiika kumi au kumi na tano tukaruka, kina BH walikua wamekaa viti vingine, mabli kidogo namimi, VIP wao naona wanaingizwa mwanzo kuliko sisi.

Tukatua Dar tano na kama 3 hivi, yaani kama dakika 20 tu tupo airprt tunateremka, kutoka kina mama wakasema sisi tumefatwa na mafgatri, tukupe lift? Na mimi nikawaambia nimefatwa ahasanteni sana>

H1: halwa zetu vipi?

Mimi; Si tmeshamalizana uklisema zile nizitoe dsadaka msikitini?
H1; Kuna sadaka ikatolewa sadaka, wacha ujuba wako huko, nataka nizipate kama zilivyo, nazijui mpaka harufu yake, usinibadilishie.
Mimi: Poa msijali, leo hiui mgtazipata.

Mshikaji: Mwanangu hio miji anti nilifikiri inakuja na sisis vipi sasa imeondoka?
Mimi; Wana gari zao hao.
Mshkaji; Kumbe lile anti ndio limekupeleka Unguja, sasa hivi nippo kwenye amani.
Mimi: Anti gani hilo?

Mshokaji; Si yule wa Kariakoo, wifee wako anaenda kumyengezea komputa zake. Mama lina mkwanja hiloi, sasa hio ndio mimama yakujuana nayo Kariakoo, nijulishe nayo, mara tu kinanitunukua nahamia Kariakoo.
Mim: Tunaenda nyumbani moja kwa moja.
Mshikaji: Dingi kishanambia, yule dingi anajua movement zetu zote.
Mimi; Unataka kulijua lile mama?
Mshikaji si ndo manake mwanangu.
Mimi ; Ukija kuchukua gari ya Dokta nakupa mzigi wake umpelekee upo kwenye vile voiboksi, sasa ushindwe mwenyewe.
Mshikji: Hayo ndio mambo, mwanangu, huku Dokta, huku jimama la kunipelekea Dubai, wewe nijulishe nayo hii mijimama mwanagu kismati kinaweza kunodondokea.

Mimi: Sasa Mwanagu Mzee ansema umekua Sheikh siku hizi? Sasa mijimama ya nini?
Mshikaji: Wale nawataka kwa ajili ya koneksheni tu, lile mama kunituma Dybai nikamlete mababoibui sijui nini kama mchezo tu. Si mamaetu nyumbani sana sana kwa mtu alenituma kwa Shangazi yako, na lile linamkanda kazini kwao, sema yule mumewe hata kutabasamu hatabasamu, anatisha huyo.

Tukafika nyumbani tukashusha viboksi, nikawa watoto kila mmoja ananikimbilia, yule mdogo ananililia kabebwa na bibi yake, Mama yao nae kapoke kibegi changu kakipeleka ndani.

Mshikaji. Maza eeh, leo mie nakuja kupiga msosi hapa gari yangu hio ndogo naiacha hapa, yule mtu wenu wa usafi aipitishe pitishe kitambaa.

Mama: mwanangu umenunua gari hata hujanambia?

Mshikaji: maza hio ya wofe tobe, si ndio kama yangu tu?Kwabi huyu si gari ya mkewe hio anatutambia nayo>
Mama: haswaa mwanangu,, huyo woife to be wako muoanae baso sio mnamfanya machafu wewe umeshakiua Sheikh siku hizi.
Mshikaji: Unafikiri kanipendea nini> Kanipendea anajua mimi mtu wa mkeka, sio mchezo, lakini huyu mwnao anaiytilia kauzibe, akaitaka yeye nimuoe yule, kesho tu gtunaoaana.
Mimi: Sasa pira limenidondokea mimi, na mimi ndio nilikujulisha nae?
Mshikaji; Kunijulisha tu haitoshi, nipelekee na [posa kabisa.
Mama: Ssa umeshaongea nae mambo ya posa?
Mahikaji: bado maza, si huyu Simba ndio mshenga wangu aongee nae yeye, ndio nishampoa kazi hivyo, ananizingua.
Mma: Wewe mambi ya pisa huyu ayajue wapi? Kishapeleka posa ya nani, mambo hayo mwambie mzee.
Mshikaji; Hayo ndio maneno, umenipa bonge la wazo, halafu si unajua dingi, hana unaa kabisa na mimi?
Mimi: AlhamduliLlah, nakama imeniondokea.
Mshikaji; Niniii? Mimi dingi namwambia na wewe nakwambia. Usinizingue. Mza eeh, wacha mimi nika[umzike, nakuja baada ya kusali tu, najua timing zako za misosi.

Akaondoka na mimi nikaingia ndani, watoto hawataki kuniacha.

Mimi: Wewe hujaensda shuke leo?
No 1: dad mama hajanipelekea, kasema weee unakuja.
Mimi: Oooh, mdio ulikua unaningoja mama?
Wife: Shule basi kwenda kujipaka marangi na kuchafua nguo tu huko.
Dogo: art mama.
Wife: okay darling najua art, naiona art yako kwenye nguo. Zinapendeza.
Dpogo 1: Dad, red and white.
Mimi; Oooh Okay ndio color hizo? Na mimi unifundishe.
Dogo 1' Okay dad.

Huyu yupo pre KG, ile day care lakini mwanamke wa kigoa wa Tanga, hodari sana, kutwa uatawakuta wanacheza na rangi tu huko. Mwenyewe anasema hizi za watoto spesho ni edible, yaa hata wakizila hazina tatizo , kama pipi tu, nilishangaa wife alivyonambia mpaka madafatri yao edible. hawajui tu. wangeyamaiza yote.
Mimi; Ndio maana ana gharama dada yule kuliko chuo kikuu.
Wife; Aaaha jamani chuo kiukuu gani laki kwa mwezi wanakukla na kunhya hukohuko mpaka time yoyote ninayo kwenda kuwachukua.
Mimi' na hizo gharama za rangi na madaftari kila siku, mchezo?
Wife si wanatumia jamania jamani. Hya darling nenda kwa bibi dad anataka kupumzika kachoka safari, huku ananitazama, darling njaa inanoiuma.
Dogo 1; Maa namwambia mama akufanyie chakula, njaa inakuuma?
Wife: Mtumeeee, haoana mama usimwambie mwache ana kazi nyingi, mimi mwenyewe nitakuja wewe nenda, dada apumzike.

basi mambo yakawa hivyo mpka time ya kusali ikafika nikaenda kukoga nikaenda msikitini, nikamkuta mshikaji tayari zamani yupo masjid, tulivomaliza kusali tukaja kula.

Mama: hapa kuna viboksi viboksi ndani ya hili boksi moja, njoo u sort kabisa, na hili lingine lina embe ng'onggo zinanukia hizpo kubwa kubwa za kiungukaj mashi)okishoki.
Hilo lote letu, hivo vingine vyote vimeandikwa ku a vobosi nda vimeandikwa babu. kuna vinne vineandikwa H2 na H2 na ka vonginehivi Vimensikwa simba.

Nikamwambia hivyo vya simba vyote vya hapa kwetu, hivyo vya H1 na H2 tunampa Mshikaji akishak kula anawapelekea wenyewe wapo kariakoo, hivyo vilivyoandikwa babu vya babake mumeo. Atajua mwenyewe namna ya kuvisafirisha.

Ikawa tumemaliza mambo hya mizigo tukala pale na mshikaji nikampa vile viboksi.

Mshikaji; Maza hivyo vilivyobaki kuna vyangu hapo, usinishau.
Mama: Vipo baba wala sikushahau usitaharuki, wewe tena?
Mshikaji: hapo ndio tunapowiva chungu kimoja maza. Nipe hizo za babu pia dingi atanambia nizidondoshe wapi, nampigia. Akapewa na halwa za babu.


Simba.
 
Mkuu wala sijamaanisha mipasho wala sina kusudi hilo, pole ni kuwa nahurumia nafsi yangu na kukupa pole kwa kutaka kukupa mzigo ni hilo tu, samahani kama nimekukwaza
Sawa, samahani kama sijakuelewa, nilifikiri unanipa mimi pole, tujitahidi kua "eloquent" kama mose.
Simba.
 
Tupe Kiswahili chake basi kwa faida ya wengi.
Simba.
Khodam ni neno linalotumiwa katika fumbo la Kiislamu na hurejelea aina ya chombo cha kiroho au msaidizi anayeaminika kuwa na uwezo wa kuwasaidia watu binafsi kwenye njia yao ya kiroho. Katika Usufi, ambao ni aina ya mafumbo ya Kiislamu, khodam wakati mwingine hufafanuliwa kama viumbe vya kimalaika au viongozi wa kiroho ambao wanaweza kutoa mwongozo, ulinzi, na usaidizi kwa wale wanaotafuta

Simba...
 
Khodam ni neno linalotumiwa katika fumbo la Kiislamu na hurejelea aina ya chombo cha kiroho au msaidizi anayeaminika kuwa na uwezo wa kuwasaidia watu binafsi kwenye njia yao ya kiroho. Katika Usufi, ambao ni aina ya mafumbo ya Kiislamu, khodam wakati mwingine hufafanuliwa kama viumbe vya kimalaika au viongozi wa kiroho ambao wanaweza kutoa mwongozo, ulinzi, na usaidizi kwa wale wanaotafuta

Simba...
Mbona umesaini kua ni Simba?
Simba.
 
Soma tena post #3413 tuliiongezea maini.
Simba.
Mkuu Samahan I! Nina changamoto kubwa kulingana na namna ulivyoeleza na majibu ya arsis nimekua interested sana huenda nkapata nusra kupitia kwenu na sheikh bakora

Nina changamoto ya jini ambaye hunifanyisha zinaa ndotoni tangu nikiwa secondary mpaka hivi sasa ingawa nmebahatika kuoa na nina watoto lakini nimewahi kuota naambiwa napendelea familia yangu wakati nina mke na mtoto na mwanamke nisiyemjua ndoton akanionesha na mtoto wa kike na tangu kipindi hicho nmekuwa nasumbuliwa na upingufu wa nguvu za kiume Pamoja na kufanya sana ibada na kufanyiwa ruqya lakini bado hali ipo.

Siku 1 nikaoteshwa kwenda kwa mganga wa kupunga majini kuwa atamaliza tatizo langu nikaenda kweli kwa huyo mganga ajabu kufika anadai ni jini mzuri wa utajir anafanya vitimbi ili nijue yupo na nikubali kula chano!! Nilipouliza chano ni nini akasema kazuiwa asiseme katu ila ninunue mbuzi ili afanye kazi hoyo

Kulingana na maelezo yako ni kuwa chano hufanywa na majini wa kichawi naweza kusadiki hilo kulingana na vitimbi vyake kuanzia kukubbania katika rizki,mahusiano na mambo mengine.

Ombi nimefanyiwa ruqya mara nyingi tu bila mafanikio na yule mganga wa kishirikina anasema siwezi mtoa jini huyo kwakua kanipenda,sio mchafu na ana nguvu kubwa kiasi akitaka utaona kama jini mahaba au umerogwa na yeye adionekane unaweza kunisaidia vipi kwa sheikh bakora kukabiliana nae ili atoke niwe salama mimi na familia yangu kwa vitimbi vyake kwa maana naambiwa atanipa pete nyekundu baada ya chano ingaww sijui maagano yake.
 
Duu kwel ulikomaa,ebu niambie ile ganzi ulikomaa nayo ikafika mwili mzima au inashia stage fulani
Kama sijakosea wewe hapo ulikuwa stage ya pili bro.... baada ya REM unaingia kwenye paralysis (hapa ndo ulikuwa wewe) ukitoka hapo utaingia kwenye vibration na baada ya hapo ndo unapita last stage then boom (maajabu yanaanza😂
 
Acha woga. Hiyo process tuelekezane nifanye nije niwape mrejesho. Ila pasiwepo na ishu za majini
Ingia tu YouTube kaka.... Mimi nimejifunzia mtandaoni (nilianza na yoga then meditation then lucid dreaming mwisho nikajikuta nimedondokea kwenye astro projection 🤝
Kasome huko Kuna waalim wazuri Sana (utapata faida zake na hasara pia kabla hujaanza practical
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom