Niliyoyashuhudia nilipofunguliwa macho

Niliyoyashuhudia nilipofunguliwa macho

Hio point yako ya "miungu wengine" nimekuelewa, kwa hio Mungu anajua kuna miungu wengine kawaumba yeye au watu tu wamejiamulia kua huyu mungu, yule sio mungu?

Maulamaa wa Kiislam wanatufundisha kua wenye Qur'an tunajifunza kua Firauni wa wakati wa Musa alisema yeye mungu.
Simba.
Binadamu walijiamulia kuwa na miungu yao kutafuta shortcut ambazo hazipo, au zenye madhara.

Nasikia hata huko Kibaha kulikuwa na mganga maarufu akijiita Mungu wa kabili (wa pili)
 
Mlima unakusaidia kuonekana kiurahisi.
Kwahyo Mungu wapokei maombi hawapati taabu kukutambua
Imebidi nicheke tu na hii sababu yako.

Mwenyezi Mungu anatuona na anatusikia hata ndani ya nafsi zetu bila kutamka yetu.

Hio ya kwenda milimani naona ni sababu yakupata utulivu na ukimya tu.
Simba.
 
Ila huyu mara nyingi hukaa kweny madhahifu... Hawezi kaa kwa mtu msafi moja kwa moja🤝
Sasa hapa kuna mawili either amekutawala tayar
Au huja kiwiziwiz na kuondoka!!

Me mwenyew ninae huyo kiumbe, ni hatari sana anaweza akakuwinda mwezi mzima..... Na vita yake kubwa n kukufanya usifanye ibada ili akutawale


Lakini mm angarau hanisumbui sana
Ndo tuulize msada hapa
 
Huyo ni tatizo jepesi sana. Unatakiwa wewe anaekusumbua uwe na moyo, umuite aje muonane uso kwa uso.

La kwanza kabla ya yote yote ni ibada kuacha maasi.

Kuna sababu za kukwambia hivyo.
Simba.
Ila hii kitu simshauri mtu kufanya..... Sabb Jinn mahaba ni ibiris, Sasa ukimuita tafsiri yake mtabidi mfanye mapatano, (na hapo itabidi iwe win win situation..... ) Sasa swali n moja mapatano na ibiris unadhan yatakuwa na faida kwako?

Mwalim wangu alinikataza hiki kitu nisijejaribu kufanya.... Maana Kuna muda nilimwambia huyu jinn wa kike kanifundisha namna ya kumuita pia kanipa na Pete hlf kanitamanishia mali.
Akasema hzo n mbinu za ibiris kutaka attention yako usije thubutu kufanya anavyotaka.... Siri hapa n yeye akutii na afate matakwa yako usimfatilize ishi Kama hayupo🤝
Fanya ibada mpk aweke siraha chini

Huo ndo ushauri niliopewa
 
Sema Arsis anakwama sana ukiona watu wanaj
Ila hii kitu simshauri mtu kufanya..... Sabb Jinn mahaba ni ibiris, Sasa ukimuita tafsiri yake mtabidi mfanye mapatano, (na hapo itabidi iwe win win situation..... ) Sasa swali n moja mapatano na ibiris unadhan yatakuwa na faida kwako?

Mwalim wangu alinikataza hiki kitu nisijejaribu kufanya.... Maana Kuna muda nilimwambia huyu jinn wa kike kanifundisha namna ya kumuita pia kanipa na Pete hlf kanitamanishia mali.
Akasema hzo n mbinu za ibiris kutaka attention yako usije thubutu kufanya anavyotaka.... Siri hapa n yeye akutii na afate matakwa yako usimfatilize ishi Kama hayupo🤝
Fanya ibada mpk aweke siraha chini

Huo ndo ushauri niliopewa
Tuna share issue moja hivyo hivyo namie ila ibada nafanya sana tu ila akiamua balaa lake hata iwe mwezi wa ramadhan na mchana umepata kailula anakuzingua tu.

Mbaya zaidi anaweza amua kwa mkeo ukashindwa kupiga show af kwake usiku huo huo ukaota mara2 unapiga show aisee kuna mitihani sio ya kupitia.

Swali kwa Arsis
Kwanini huyu kiumbe humaliza nguvu za kiume anatumia mechanism gani kufanikisha hilo?

Polo kwanini ukiwa nae hakuna dawa inayoweza kukusaidia kuondoa upungufu wa nguvu za kiume hata iwe ni viagra??
 
Ila hii kitu simshauri mtu kufanya..... Sabb Jinn mahaba ni ibiris, Sasa ukimuita tafsiri yake mtabidi mfanye mapatano, (na hapo itabidi iwe win win situation..... ) Sasa swali n moja mapatano na ibiris unadhan yatakuwa na faida kwako?

Mwalim wangu alinikataza hiki kitu nisijejaribu kufanya.... Maana Kuna muda nilimwambia huyu jinn wa kike kanifundisha namna ya kumuita pia kanipa na Pete hlf kanitamanishia mali.
Akasema hzo n mbinu za ibiris kutaka attention yako usije thubutu kufanya anavyotaka.... Siri hapa n yeye akutii na afate matakwa yako usimfatilize ishi Kama hayupo🤝
Fanya ibada mpk aweke siraha chini

Huo ndo ushauri niliopewa
Kwa hiyo ni kama alivyofanyiwa Simba? Kapewa pete. Kafundishwa jinsi ya kuita majini...
 
Ila hii kitu simshauri mtu kufanya..... Sabb Jinn mahaba ni ibiris, Sasa ukimuita tafsiri yake mtabidi mfanye mapatano, (na hapo itabidi iwe win win situation..... ) Sasa swali n moja mapatano na ibiris unadhan yatakuwa na faida kwako?

Mwalim wangu alinikataza hiki kitu nisijejaribu kufanya.... Maana Kuna muda nilimwambia huyu jinn wa kike kanifundisha namna ya kumuita pia kanipa na Pete hlf kanitamanishia mali.
Akasema hzo n mbinu za ibiris kutaka attention yako usije thubutu kufanya anavyotaka.... Siri hapa n yeye akutii na afate matakwa yako usimfatilize ishi Kama hayupo🤝
Fanya ibada mpk aweke siraha chini

Huo ndo ushauri niliopewa
Hakaika uko na maarifa mengi yahusuyo viumbe ( spirits )
 
Imebidi nicheke tu na hii sababu yako.

Mwenyezi Mungu anatuona na anatusikia hata ndani ya nafsi zetu bila kutamka yetu.

Hio ya kwenda milimani naona ni sababu yakupata utulivu na ukimya tu.
Simba.
Na atashangaa zaidi,Allah anasema katika qur'an yeye yupo karibu nasi kuliko hata sisi tulivyo karibu na mshipa wetu wa shingo,sasa ebu jiulize mshipa wa shingo upo mwilini mwako lkn Mungu yupo karibu zaidi kuliko huo mshipa

Nimepata jibu moja,sisi viumbe tumepuliziwa roho itakayo kwake,kwahiyo roho ambayo ipo ndani yetu hakika ndio ukaribu wetu na mungu zaidi.

Lakini kwa kukazia zaidi,iwapo bwana simba akitaka kuongea na arsis huwa anaongea nae kwa mawazo tu na kumbuka huyo ni kiumbe wa Mungu,je vp kuhusu muumba mwenyewe?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom