Niliyoyashuhudia nilipofunguliwa macho

Niliyoyashuhudia nilipofunguliwa macho

Umeshindq kuonsha Adam wa kwanz akutoka aya ta Qur'an, ukajidai utakuja na hadithi, ukaja na kopi na petri muflis. Umeambiwa leta nani kaitunga hio hadithi, umeingia kizani.
Simba.
Leta elimu acha janja janja

Kwakifupi huna elimu case closed ukiwa nahoja na majibu tutakuuliza Tena maswali ila for now huna hoja mjomba.
 
Character za Lilith ndio zinachangia kuvunja ndoa nyingi sasa hivi.

Mungu hakosei lakini hapa Mungu aligunduwa amekosea akamuondowa Lilith na kumuumba Hawa kutokea ubavuni mwa Adam, Hawa hakuumbwa kwa udongo.
Astaghafirullah.
Simba.
 
Hata mimi hilolimenipa mashaka sana. Mtume kafundisha quran kadri ilivyoshuka na katoa maana kwa uma sasa iweje huyu bwana aseme hakufasir quran zaidi ya aya 20 tu
Ndouone kwamba jamaa ni muongo

Lakini kingine wazee tujue tu ntakuwekea akilini ni kwamba miongoni mwa watu waliomuonea wivu Adam baada ya kuumbwa ni ibilisi aliyelaaniwa ambaye anaasili ya ujini ko wekeni akilini majini wanatuonea wivu binadamu kwasababu sisi ndotumepewa ukhalifa kwenye Ardhi
 
Ko huenda kwamawazo yangu kunafikra inapenyezwa kuonyesha kwamba Adam sio binadamu wa mwanzo na hao majini watataka kuja na hoja kwamba ndio maana waligoma kumsujudia

Tuwe makini Kuna mengi yajayoooo. Tuwe macho nakutumia fikra zetu kutafakari hizo fikra na ajenda atakazo kuja nazo.
 
Binafsi nashangaa wanao msifu ana elimu najiuliza elimu ipi?!
Maswali magumu hajibu ana kwepa na anayo jibu anajibu kwa porojo nyingi anazunguka kuleta nae upande wake hamna tena anaweza jibu swali kwa swali 😁haya sawa kashasema Adam A. S sio wa kwanza japo tunajua waliishi majini wakafanya uharibifu akaletwa Adam basi nae aje na utetezi wa hoja yake iloshiba hakuna mara Marian bint Emraan hakua bikra alizaa mtoto kabla ya Issa sawa tuletee hakuna.
Sheikh wako alishindwa akaja na maswali badala ya majibu, umesahau? Unakumbuka aliulizwa nini?

Aliulizwa ana ijua Arsh ni nini? Akqja na porojo na sauti lake la kishehe ubwabwa.

Wewe una swali hujajibiwa? Au une eleimu unataka kutupa?

Msalimie Etugrul Bey
Simba.
 
1724835946225.jpg

Nataka kueleweshwa hii.
 
Ko huenda kwamawazo yangu kunafikra inapenyezwa kuonyesha kwamba Adam sio binadamu wa mwanzo na hao majini watataka kuja na hoja kwamba ndio maana waligoma kumsujudia

Tuwe makini Kuna mengi yajayoooo. Tuwe macho nakutumia fikra zetu kutafakari hizo fikra na ajenda atakazo kuja nazo.
Fikra zako bila kuleta aya kua Adam ni mtu wa kwanza kuumbwa zinabaki kua ni fikra Muflis.
Hawa mmemtoa wapi Waislam?
Simba.
 
Mkuu mimi nilichoka jamaa aliposema mtume hakufasiri quran zaidi ya aya 20 hapo nikajua jamaa elimu ya dini hana yani mtume ashushiwe quran kwa miaka 23 alafu atolewe ufafanuzi aya 20 tu daah! Inalillah wainailay rajuun
Si leta hizo aya na alivyo fasiri Mtume? Usipate kihgugumizi cha elimu.
Elimu ama ipo ama haipo, haina kati kwa kati. Unafahamu maana ya elimu?
Simba.
 
Nakazia hapa, Kuna watu wabishi sana yaani mtu anabishana na mtu aliyewahi kuishi na anaishi na viumbe vya kutisha mpaka Leo .halafu yeye kusoma kwenye vitabu na kuhadithiwa anajiona anajua kuliko anayejionea live.
usishangae, wengi wachawi na washirikina humu, wengine mashehe ubwabwa, kama shehe wa Nourhan.
Simba.
 
Kwa hili story yako moja unajidhania umeona vyote au unajua vyote?
Acha ujuaji jifunze.
Pia story yako ulikuwa ndotoni, yaani uliota. mwenzako anasimulia alivyoviona, huoni km ni vitu viwili tofauti?
Usiidharau, majini na malaika wanakuja ndotoni.

Kuna siku Arsis alielezea kidogo humu kuhusu ndoto ni nini, kaniacha hoi.
Simba.
 
Duniani watu wabaya ni wengi kuliko wema kama ndivyo hivyo kwa majini sasa mbona uovu hautaisha duniani mpaka muumba aingilie kati.
Hilo nalikubali kabisa. Mimi ni shahidi wa maisha, koo zetu zina mambo ya ajabu sana, kama hajaingilia Muumba wetu kati, kuchomoka ni ngumu sana, ushetani mwingi kupita kiasi hivi sasa.
Simba.
 
Ndugu acha kuwa jahili, Ndio quran haijasema kuwa Adam Ni binadamu wa kwanza ila imetoa dondoo zitakazo onyesha nani ni binadamu wa kwanza na dondoo hizo zinaonyesha Adamu ndio binadamu wa kwanza.
Namaaanisha katika quran hakuna aya inayosema hivi" Enyi waumini Adamu ndio binadamu wa kwanza" hio hakuna zipo aya zinazomtaja Adamu zinazo ashiria Adamu ndio binadamu wa kwanza huelewi nini hapo?
Kuna mdau hapa kakuwekea mpaka hadithi inayoonesha Adamu ndio binadamu wa kwanza mbona haujibu? Nanilikuuliza au wewe hutaki hadithi unataka quran tu? Utuambie tujue mwenzetu una uislamu wako mpya ambao hamswalii maiti, mna rakaa zenu za swala za faradhi maana haya yote quran haijaekeleza namna ya kufanya ila mbona yanafanywa.
Kwanza nafurahi umekiri halafu ukaja na "dondoo". Hizo dondoo ziko wapi? Tupe elimu na sisi unaotuigta jahili, kama za kweli hatuna sababu ya kuzipinga, labda umekisoma kitu hujakielewa, jahili tutakufahamisha tulivyokielewa sisi.

La Adam umekiri hapo, hilo umemaliza, sasa tumngoje Arsis agtupe elimu ya hilo kama alivyoahidi.

Hawa nae mmemtoa wapi?
Simba.
 
ushahidi wa nini na anauliza mnataka ushahidi hewa?
Simba.
Ee ushahidi hewa tena sikuna maswali mengi tu apitie atolee majibu. Au na maswali ni maswali hewa ? anyway nikisema ushahidi namaaanisha atoe aya za maandiko
Umesahau, unaanza kuzua? Nikukumbushe? Post zimo humu humu sio mbali.
Simba.
Nikumbushe
 
Kqanza nafurahi umekiri halafu ukaja na "dondoo". Hizo dondoo ziko wapi? Tupe elimu na sisi unaotuigta jahili, kama za kweli hatuna sababu ya kuzipinga, labda umekisoma kitu hujakielewa, jahili tutakufahamisha tulivyokielewa sisi.

La Adam umekiri hapo, hilo umemaliza, sasa tumngoje Arsis agtupe elimu ya hilo kama alivyoahidi.

Hawa nae mmemtoa wapi?
Simba.
Hoja yako hapo ni nini sasa?
Rudia kunisoma hujaelewa.
 
Hata mimi hilolimenipa mashaka sana. Mtume kafundisha quran kadri ilivyoshuka na katoa maana kwa uma sasa iweje huyu bwana aseme hakufasir quran zaidi ya aya 20 tu
Yaani hata jahili awezi sema iyo kauli.
 
Ko huenda kwamawazo yangu kunafikra inapenyezwa kuonyesha kwamba Adam sio binadamu wa mwanzo na hao majini watataka kuja na hoja kwamba ndio maana waligoma kumsujudia

Tuwe makini Kuna mengi yajayoooo. Tuwe macho nakutumia fikra zetu kutafakari hizo fikra na ajenda atakazo kuja nazo.
Tutajua tu lengo lake nini kutoa elimu, kubishana , majivuno tu yasiyo na maana au ana hidden agenda yake.
Binafsi naacha muda uongee.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom