Niliyoyashuhudia nilipofunguliwa macho

Niliyoyashuhudia nilipofunguliwa macho

Nimekueleawa FF.

tafadhali acha lugha za kihuni za kuniita Simba ushuzi. Tuheshimiane ingawa hatujuani.

Hlo ombi lako la Arsis kutupa elimu yeye mwenyewe hapa , numemuomba sana, anachonijibu ni kua, Simba unayajua yote, fundisha usiogope.. Mimi namwambia mimi nitaandika nijuayo kwa nilioyashudia kwa macho yangu au kuyasikia kwa masikio yangu. Haya ya elimu, mimi siwezi sijawahi kua Mwalimu hata kidogo.

Naona kakusoma na wewe na wengine wameunga mkono hoja yako ingawa kihunu, kama kawaida ya JF lakini ujumbe alionipa sasa hjivi, anasewma malizia kisa chako cha Unguja, mimi niyaanza kutoa elimu yenye manufaa kwa wengi.

Uzuri wa Arsis hana ukiritimba wala kurembaremba akiahidi kaahidi.
Simba.
Tunamsubiri inshaallah
 
Kuna m
Huu uzi unatembea sana hata sikumbuki story ya mtoa mada niliishia wap kusoma
Kuna mtu kashauri ukurasa wa kwanza tuweke link zake. Kanielekeza namna ya kufanya.
Simba.
 
Mbona wewe umeombwa ulete maandiko kuthibitisha kuwa Adam ni mwanadamu wa kwanza hadi sasa unaleta porojo tu?
Ktk mantiki ya kawaida ni nani anayepaswa kuthibitisha kati anayesema kipo na anayesema hakipo?
Kimsingi anayesema hakipo anakuwa hana cha kuthibitisha.
Ambacho hakipo hakithibitishiki!
Jifunze kujadili hoja
Hv umefuatilia mjadala vizur?
 
Binafsi nashangaa wanao msifu ana elimu najiuliza elimu ipi?!
Maswali magumu hajibu ana kwepa na anayo jibu anajibu kwa porojo nyingi anazunguka kuleta nae upande wake hamna tena andionaweza jibu swali kwa swali 😁haya sawa kashasema Adam A. S sio wa kwanza japo tunajua waliishi majini wakafanya uharibifu akaletwa Adam basi nae aje na utetezi wa hoja yake iloshiba hakuna mara Marian bint Emraan hakua bikra alizaa mtoto kabla ya Issa sawa tuletee hakuna.
Ndio maana nimeacha huo mjadala,ni porojo na utoto mtupu
 
Quran ni kitabu chenye mtiririko wa hovyo, cha mwanzo kipo mwisho, cha mwisho ndio cha kwanza kwanza, cha kati kipo juuz yani mbele nyuma nyuma mbele hiyo ndip Quran ilivyo na ndio kinachowapa shida Waislamu.

Halafu imagine Quran ni kitabu kimoja tu kinawapa tabu kiasi hiki wakati Biblia ni vitabu 66 na vimapangwa kwenye mtiririko unaoeleweka kuanzia kitabu cha mwanzo mpaka Ufunuo.

Jibu lako Quran kutosema Adam ndio binadamu wa kwanza haina maana Adam si binadamu wa kwanza.

Unapokosa majibu ndani ya Quran soma Biblia utapata majibu na ndio uislamu unawaongoza hivyo muwaulize watu wa kitabu ambao ni Wayahudi na Wakristo.

Adam ndio binadamu wa kwanza aliumbwa kwa udongo na mke wa Lilith aliumbwa kwa udongo akawa na nguvu kumshinda Adam.

My thinking kuna damu ya Lilith inaisumbuwa dunia mpaka leo kuna wanawake wamewatawala wanaume hawana kauli.
Unakuwaje msemaji wa Quran na uislamu wakati haujui lolote na hauna elimu navyo!!! Chuki zako juu ya Uislamu na Quran haviwezi kua na athari yeyote kwa Waislamu wenye kuijua Quran kikamilifu zaidi utathibitisha how JAHIL you are!!!
"Hawatoridhia/hawatakua radhi Mayahudi na Manaswara mpaka mfuate mila zao", ulitaka Quran iwe na uandishi wa kutunga kama wenu!!!!
 
Shida Arsis mwenyewe anakuja hatoi ushahidi, Maneno matupu yanakuwa mengi kuliko maandiko.
Issue ya Adam tunajua inajadiliwa na wasomi wengi tu wadini wa sasa ni mjadala ambao hadi sasa watu wapo wana research kujiridhisha je is Adam a first human being?
Lakini ukweli unabaki kuwa mpaka sasa hoja zinazoonesha Adam Ni binadamu wa kwanza zina nguvu kuliko kinyume chake.
Nilitegemea Arsis atakuja na hoja za kidini zenye logic juu ya hii mada lakini mpaka sasa na yeye naona kapwaya.
Ngoja tuendelee kufanya Subra pengine akarudi kivingine.
ushahidi wa nini na anauliza mnataka ushahidi hewa?
Simba.
 
ushauri kwa tulio Lidafo Etugrul Bey Nourhan

Jiungeni mjue mnataka kuuliza nini, kama hamjui namna ya kujiunga pamoja kama group, ulizeni swali moja moja tu msijaze porojo kwenye page, au hamuelewi maana ya elimu? Niwaelekeze?
Simba.
aisee wewe jamaa kweli jini hukasiriki. unajibu kwa kutulia ingekua umughaka hapa kashawaambia hamnilipi stori yangu bando langu.
 
Ndio maana nimeacha huo mjadala,ni porojo na utoto mtupu
Umeshindwa kuthibitisha kuhusu Adam kua ni mtu wa kwanza kuumbwa kutoka kwenye Wur'an, ukapigwa kanzu na Arsis, ukakiri umemtoa kwenye biblia. Akakuuliza na Hawa umemtoa wapi? Mpaka umeshindwa kujibu.

Msalimie Nourhan.
Simba.
 
Unakuwaje msemaji wa Quran na uislamu wakati haujui lolote na hauna elimu navyo!!! Chuki zako juu ya Uislamu na Quran haviwezi kua na athari yeyote kwa Waislamu wenye kuijua Quran kikamilifu zaidi utathibitisha how JAHIL you are!!!
"Hawatoridhia/hawatakua radhi Mayahudi na Manaswara mpaka mfuate mila zao", ulitaka Quran iwe na uandishi wa kutunga kama wenu!!!!
Hilo kosa ndilo Arsis analilistiza Waislam waache na wawe wanaifundisja Qur'an, hawamuelewi. Hata hapa anawafundiusha hilo kuhusu Adam, Hawa, Sarah, haiwaingii akilini lakini ukweli wameuona tayari.
Simba.
 
Quran ni kitabu chenye mtiririko wa hovyo, cha mwanzo kipo mwisho, cha mwisho ndio cha kwanza kwanza, cha kati kipo juuz yani mbele nyuma nyuma mbele hiyo ndip Quran ilivyo na ndio kinachowapa shida Waislamu.

Halafu imagine Quran ni kitabu kimoja tu kinawapa tabu kiasi hiki wakati Biblia ni vitabu 66 na vimapangwa kwenye mtiririko unaoeleweka kuanzia kitabu cha mwanzo mpaka Ufunuo.

Jibu lako Quran kutosema Adam ndio binadamu wa kwanza haina maana Adam si binadamu wa kwanza.

Unapokosa majibu ndani ya Quran soma Biblia utapata majibu na ndio uislamu unawaongoza hivyo muwaulize watu wa kitabu ambao ni Wayahudi na Wakristo.

Adam ndio binadamu wa kwanza aliumbwa kwa udongo na mke wa Lilith aliumbwa kwa udongo akawa na nguvu kumshinda Adam.

My thinking kuna damu ya Lilith inaisumbuwa dunia mpaka leo kuna wanawake wamewatawala wanaume hawana kauli.
Huo nimuujiza wa Qur'an. Fikiria kama usemavyo na hukuti mkanganyiko (contradictions) kama vitabu va kibinadamu.
Simba.
 
Kweli kaka huyu jamaa elimu yake ni ndogo sana janja janja Kila swali analoulizwa hajibu chochote anakazi yakusema Hilo jambo la baadae mara Hilo ntafundisha ckunyngn au atakazania Adam umemtoa wap au Hawa umemtoa wap?

Yy Hana ushahidi anaouleta anachokijua nikupotosha watu tu kwakifupi? Hapa hakuna mjadala wakielimu
Umeshindwa kuonesha Adam ni mtu wa kwanza kuumbwa kutoka aya za Qur'an, ukajidai utakuja na hadithi, ukaja na kopi na pesti muflis.

Umeambiwa leta nani kaitunga hio hadithi, umeingia kizani.
Simba.
 
Mkuu mimi nilichoka jamaa aliposema mtume hakufasiri quran zaidi ya aya 20 hapo nikajua jamaa elimu ya dini hana yani mtume ashushiwe quran kwa miaka 23 alafu atolewe ufafanuzi aya 20 tu daah! Inalillah wainailay rajuun
Hata mimi hilolimenipa mashaka sana. Mtume kafundisha quran kadri ilivyoshuka na katoa maana kwa uma sasa iweje huyu bwana aseme hakufasir quran zaidi ya aya 20 tu
 
Hapo hawezi toa mkuu, Mimi nimemuuliza sana hayo maswali anakwepa, Na sababu ya kukwepa inajulikana hakuna namna anaweza toa aya ya kuthibitisha nani ni binadamu wa kwanza isifungamane na adamu,
Mimi binafsi namsubiri huyo Arsis aje na majibu maana kapotea kidogo, Simba ndio anajibu ila sasa simba kakiri mara nyingi kuwa yeye Elimu yake ndogo ni madrasa tu na form four kama sijakosea na kanuni ya kielimu mtu anavyokuwa na elimu ndogo anaweza pinga tu jambo kwakuwa elimu yake ipo limited.

Mimi namsubiri Arsis mwenye experience kubwa ya maisha na mwenye elimu kubwa kama simba anavyosema aje ajibu maswali.
Inshort, maswali yamekuwa mengi sana majibu kidogo ni muda wa majibu sasa.
Umesahau, unaanza kuzua? Nikukumbushe? Post zimo humu humu sio mbali.
Simba.
 
Husomi hadithi za mtume ww

Ww elimu yako ni ndogo
nasoma na nazijua za uongo ni zipi na za kweli ni zipi, ndio maana unaogopa kuzileta, utaumbuka.

Kuna hadithi bora zaidi ya Qur'an?
Simba.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom