Niliyoyashuhudia nilipofunguliwa macho

Niliyoyashuhudia nilipofunguliwa macho

Simuoni ndugu mshana akitia neno kwenye huu uzi ! aidha siwaoni wadau wake wakimualika kuja kuona kama ilivyo sunna yao, kwa maana tumezoea kuona nyuzi zenye asili ya nguvu za asili basi zina mchango wake katika aidha utoaji wa maoni au uongezaji wa nyama. sina maana kuwa ni lazima awepo kwa vile JF ni kubwa kuliko Mshana na kwa kusema hivyo sina maana ya kumdogosha Mshana.

hii thread ni miongoni mwa zile nazoweza kuziita ni multifunctioning kwa maana ya kwamba kwanza ni burudani kwa vile ni simulizi lakini pili, ni kile nachoweza kusema ni elimifu na inaibua hisia kwa vile tumeweza kufahamu au kusoma habari ambazo tusingetegemea kuzisikia mahala kwingine kama tusingezisoma hapa. binafsi siwezi kutoa credit kuwa ni kweli au ni kinywaji cha wazee lakini i am there watching.

My attention kwenye thread hii ni kuwa khaa kumbe even spirits ie Arsis are or may put in application matumizi ya vitu vya kibinadamu kama vile simu na namna members wanavyojibizana na msadikika Arsis kupitia jukwaa ! hii inafanya nijiulize ni kwa vipi Simba anampatia kifaa cha mawasiliano ya kibinadamu rafiki yake wakati hawaonani ?. but whatever it may be.

Kitu kinachofanya niamini walau kwa mbaaali sana kuwa may be jamaa ni spirit kweli na ako hapa tunazungumza ni pamoja na uvumilivu wa kimazungumzo aliokuwa nao. anaambiwa maneno ya karaha lakini yeye hajibu karaha, ame relax sana anakutizameni mnavyorukaruka kuvitetea vitabu vyetu vitukufu. kwa mfano mtu kaambiwa alete maandiko yanayosema kuwa Adam ndiye mtu wa kwanza ndani ya Qur an, badala ya kusema kwanza hakuna then ndo alete excuse ya alternative verses ! and infact haipunguzi chochote katika imani yako kwani waislamu tunaelekezwa kuacha ujuaji pale tusipolielewa jambo kwa undani wake, lakini mtu huyo ataanza kuleta aya ambazo hazitoshi kujibu explicit question on table. na hakubali kuwa hakuna, and by the way kama haipo haipo tu na wala haibatilishi uhalali wa qur an kwa mujibu wa qur an yenyewe ukisoma sura ya kwanza aya ya pili.

Lakini pia ishara ndogo nyingine ya kwamba labda ni kweli jamaa ni spirit ni ; tabia ya utoto anayoionesha katika majibizano yake. binafsi sina elimu ya majini na watu wasioonekana kwa vile amesema yeye ni mtu, lakini ufahamu wangu mdogo katika dini yetu ni kwamba spirits wana ile inferiority complex juu ya mwanadamu ! wako na wivu juu vile mwanadamu ndio kiongozi wa dunia na hawakupenda kwahio, wherever they are in contact with us they want to show us that they are better than us na hivyo anachokisema yeye hataki kibishiwe, you don't have to reason before his or her eyes ,just say "yes sir", ndio kusema; badala waendelee na mazungumzo ya kuwa watu wengine ni kina nani before Adam, yeye anang'ang'ania ni lazima mkiri kwanza qur an haijasema kuwa Adam ndiye mtu wa kwanza na Hawa hajawa adressed ndani ya kitabu hicho. na nimeona mahala mtu akimpledge Arsis basi jamaa hufurahi sana. hahahaha ndo jamaa walivyo najua nyie mnafahamu watoto waking'ang'ania kitu how it appears, hususan wanaogombania nani mkubwa kuliko nani jaribu kuconnect.

Kuhusu juju wa majuju nilifurahi niliposkia wana dunia yao ya kujitegemea kutoka kwa mwamba huyu Arsis, lakini kuna fikra iliyopita kama umeme kwenye kichwa changu kwa vile nakumbuka when i was in my O level studies nilikuwa nimekwisha wiva kiasi kuhusu dini ya kiislamu[ nimesoma seminary ya kiislamu ilemela mwanza], sasa kuna kitabu kimoja kilichokuwa katika lugha ya kiarabu kilikuwa kinazungumza kuhusu dalili za kiyama, dini yetu inaeleza kuwa hao raia[AKINA JUJU] watakuja nyakati za mwisho kuifisadi dunia sasa, ndani ya kile kitabu sehemu inayowaeleza hawa wadudu wenye uzito wake palichorwa ukuta fulani hivi kama ngome na kwamba watakapokuja duniani kufanya ufisadi watapitia maeneo hayo.

hiyo ngome tuliisema kwa mengi na kimsingi yalikuwa ni mawazo yetu kama growing elites kwamba inawezekana ndio ule ukuta tulioambiwa na vitabu kuwa jamaa wanaula kuanzia asubuhi hadi jioni, kisha kitapobaki kipande kidogo kutoboa duniani basi jioni ingefika na wangerudi kulala huku wakisema aaah hapa tutapamalizia kesho bila kusema Allah akipenda[INSHAA ALLAH]. basi kesho wangeukuta hivyo na ikawa zoezi la kila siku mpaka siku watakapompa credit muumba wao basi watakuta mambo kama walivyotarajia na hatimae kuingia duniani.

kwa wale wapenzi wa movie ukuta huo umeoneshwa kwenye movie moja siifahamu jina lake kwa vile siyo mambo yangu hayo, ni movie ya kichina sasa kuna wanyama hao walikuwa na kazi ya kuvamia ngome ile ni wakali balaa na ni wengi kuliko walivyo hata ! najua umenilewa, so wanashambulia mpk watapoweza lakin badae wataondoka.

Sasa fikra zangu zinaniambia kwamba hahahaha eti kwa vile Qur an imeeleza kuwa hawa wadudu wapo lakini haikusema wapo wapi, na kwa vile Arsis anatuambia wapo dunia yao huko hapaendeki, na kwa vile wapo wanaojitahidi kusema kuwa hilo eneo hapo china ndo kuna mlango wao, basi najaribu kufikiri kuwa hapo kwenye hiyo ngome kuna mlango wengine mnasema cjui portal, ambayo inaweza kumtoa kiumbe hapa duniani kwetu kwenda dunia zingine ikiwemo hiyo ya kina juju, haya ni mawazo tu baada ya kula ugali sihitaji ligi pia mwenye mawazo au ufahamu zaidi basi tutaendelea kusomana.The story is telling kwa kweli , kuanzia kule sokoni chalinze, shinyanga, tabora, tanga na hata unguja huko,

Ushauri wangu kwa wasomaji, put away hizo fanatic feelings zote pembeni[udini], then open to learn utajifunza habari nyingi sana kwa vile walioishi kabla yetu hawakuswali swala tano wala kushika misalaba.

Mwisho niwaombe radhi kwanza kwa maneno mengi ilihali uzi sio wa kwangu, pili kwa makosa ya kiuandishi yatakayoonekana kwa vile sinaga kawaida ya kupitia mara mbilimbili nilichoandika.
Gazeti la Mwananchi
 
Majini wanatumia vifaa ila mpaka apewe na binadamu.

Pia jinn huwa wanawasiliana na mtu kichwani anamwambia andika hivi hivi SEMA hivi sio lazima apande kichwani mtu atokwe ufahamu.
Simuoni ndugu mshana akitia neno kwenye huu uzi ! aidha siwaoni wadau wake wakimualika kuja kuona kama ilivyo sunna yao, kwa maana tumezoea kuona nyuzi zenye asili ya nguvu za asili basi zina mchango wake katika aidha utoaji wa maoni au uongezaji wa nyama. sina maana kuwa ni lazima awepo kwa vile JF ni kubwa kuliko Mshana na kwa kusema hivyo sina maana ya kumdogosha Mshana.

hii thread ni miongoni mwa zile nazoweza kuziita ni multifunctioning kwa maana ya kwamba kwanza ni burudani kwa vile ni simulizi lakini pili, ni kile nachoweza kusema ni elimifu na inaibua hisia kwa vile tumeweza kufahamu au kusoma habari ambazo tusingetegemea kuzisikia mahala kwingine kama tusingezisoma hapa. binafsi siwezi kutoa credit kuwa ni kweli au ni kinywaji cha wazee lakini i am there watching.

My attention kwenye thread hii ni kuwa khaa kumbe even spirits ie Arsis are or may put in application matumizi ya vitu vya kibinadamu kama vile simu na namna members wanavyojibizana na msadikika Arsis kupitia jukwaa ! hii inafanya nijiulize ni kwa vipi Simba anampatia kifaa cha mawasiliano ya kibinadamu rafiki yake wakati hawaonani ?. but whatever it may be.

Kitu kinachofanya niamini walau kwa mbaaali sana kuwa may be jamaa ni spirit kweli na ako hapa tunazungumza ni pamoja na uvumilivu wa kimazungumzo aliokuwa nao. anaambiwa maneno ya karaha lakini yeye hajibu karaha, ame relax sana anakutizameni mnavyorukaruka kuvitetea vitabu vyetu vitukufu. kwa mfano mtu kaambiwa alete maandiko yanayosema kuwa Adam ndiye mtu wa kwanza ndani ya Qur an, badala ya kusema kwanza hakuna then ndo alete excuse ya alternative verses ! and infact haipunguzi chochote katika imani yako kwani waislamu tunaelekezwa kuacha ujuaji pale tusipolielewa jambo kwa undani wake, lakini mtu huyo ataanza kuleta aya ambazo hazitoshi kujibu explicit question on table. na hakubali kuwa hakuna, and by the way kama haipo haipo tu na wala haibatilishi uhalali wa qur an kwa mujibu wa qur an yenyewe ukisoma sura ya kwanza aya ya pili.

Lakini pia ishara ndogo nyingine ya kwamba labda ni kweli jamaa ni spirit ni ; tabia ya utoto anayoionesha katika majibizano yake. binafsi sina elimu ya majini na watu wasioonekana kwa vile amesema yeye ni mtu, lakini ufahamu wangu mdogo katika dini yetu ni kwamba spirits wana ile inferiority complex juu ya mwanadamu ! wako na wivu juu vile mwanadamu ndio kiongozi wa dunia na hawakupenda kwahio, wherever they are in contact with us they want to show us that they are better than us na hivyo anachokisema yeye hataki kibishiwe, you don't have to reason before his or her eyes ,just say "yes sir", ndio kusema; badala waendelee na mazungumzo ya kuwa watu wengine ni kina nani before Adam, yeye anang'ang'ania ni lazima mkiri kwanza qur an haijasema kuwa Adam ndiye mtu wa kwanza na Hawa hajawa adressed ndani ya kitabu hicho. na nimeona mahala mtu akimpledge Arsis basi jamaa hufurahi sana. hahahaha ndo jamaa walivyo najua nyie mnafahamu watoto waking'ang'ania kitu how it appears, hususan wanaogombania nani mkubwa kuliko nani jaribu kuconnect.

Kuhusu juju wa majuju nilifurahi niliposkia wana dunia yao ya kujitegemea kutoka kwa mwamba huyu Arsis, lakini kuna fikra iliyopita kama umeme kwenye kichwa changu kwa vile nakumbuka when i was in my O level studies nilikuwa nimekwisha wiva kiasi kuhusu dini ya kiislamu[ nimesoma seminary ya kiislamu ilemela mwanza], sasa kuna kitabu kimoja kilichokuwa katika lugha ya kiarabu kilikuwa kinazungumza kuhusu dalili za kiyama, dini yetu inaeleza kuwa hao raia[AKINA JUJU] watakuja nyakati za mwisho kuifisadi dunia sasa, ndani ya kile kitabu sehemu inayowaeleza hawa wadudu wenye uzito wake palichorwa ukuta fulani hivi kama ngome na kwamba watakapokuja duniani kufanya ufisadi watapitia maeneo hayo.

hiyo ngome tuliisema kwa mengi na kimsingi yalikuwa ni mawazo yetu kama growing elites kwamba inawezekana ndio ule ukuta tulioambiwa na vitabu kuwa jamaa wanaula kuanzia asubuhi hadi jioni, kisha kitapobaki kipande kidogo kutoboa duniani basi jioni ingefika na wangerudi kulala huku wakisema aaah hapa tutapamalizia kesho bila kusema Allah akipenda[INSHAA ALLAH]. basi kesho wangeukuta hivyo na ikawa zoezi la kila siku mpaka siku watakapompa credit muumba wao basi watakuta mambo kama walivyotarajia na hatimae kuingia duniani.

kwa wale wapenzi wa movie ukuta huo umeoneshwa kwenye movie moja siifahamu jina lake kwa vile siyo mambo yangu hayo, ni movie ya kichina sasa kuna wanyama hao walikuwa na kazi ya kuvamia ngome ile ni wakali balaa na ni wengi kuliko walivyo hata ! najua umenilewa, so wanashambulia mpk watapoweza lakin badae wataondoka.

Sasa fikra zangu zinaniambia kwamba hahahaha eti kwa vile Qur an imeeleza kuwa hawa wadudu wapo lakini haikusema wapo wapi, na kwa vile Arsis anatuambia wapo dunia yao huko hapaendeki, na kwa vile wapo wanaojitahidi kusema kuwa hilo eneo hapo china ndo kuna mlango wao, basi najaribu kufikiri kuwa hapo kwenye hiyo ngome kuna mlango wengine mnasema cjui portal, ambayo inaweza kumtoa kiumbe hapa duniani kwetu kwenda dunia zingine ikiwemo hiyo ya kina juju, haya ni mawazo tu baada ya kula ugali sihitaji ligi pia mwenye mawazo au ufahamu zaidi basi tutaendelea kusomana.The story is telling kwa kweli , kuanzia kule sokoni chalinze, shinyanga, tabora, tanga na hata unguja huko,

Ushauri wangu kwa wasomaji, put away hizo fanatic feelings zote pembeni[udini], then open to learn utajifunza habari nyingi sana kwa vile walioishi kabla yetu hawakuswali swala tano wala kushika misalaba.

Mwisho niwaombe radhi kwanza kwa maneno mengi ilihali uzi sio wa kwangu, pili kwa makosa ya kiuandishi yatakayoonekana kwa vile sinaga kawaida ya kupitia mara mbilimbili nilichoandika.
 
Akili ni nini kwa mujibu wa Qur'an?
Asante kwa swali lako, Kwanza ni vema kutambua Qur an sio kamusi kwamba utakuta inatoa maana ya maneno moja kwa moja mfano ukute eti kwenye quran kumeandikwa akili ni '.................' hilo hakuna ila quran inatoa dondoo ambazo zinaweza kutupa maana ya akili.
Quran ilipoitaja akili ilikuwa inajua inaongea na watu ambao tayari wana lugha yao ambayo wanaelewa maana ya akili, Ijapokuwa tafsiri ya neno huweza kubadilika kulingana na muktadha na uelewa wa mfasiri kama vile ambavyo sisi waswahili unaweza uliza watu kumi kuwa mnajua maana ya akili wakakujibu ndio ila ukisema kila mtu mmoja aelezee atatoa maelezo yake tofauti ila maana alisi inabaki vilevile.
Kwa kiswahili Neno “akili” ni uwezo wa mtu wa kufikiri, kuelewa, na kufanya maamuzi. Hii ni pamoja na uwezo wa kupanga, kutatua matatizo, na kujifunza vitu vipya.
Tuje kwa mujibu wa Quran sasa, Katiaka quran neno akili limetumika katika aya hizi

1. Al-Imran 3:190 "إِنَّ فِي خَلْقِ السَّمَاوَاتِ وَالْأَرْضِ وَاخْتِلَافِ اللَّيْلِ وَالنَّهَارِ لَآيَاتٍ لِّأُو۟لِي ٱلْأَلْبَابِ"
"Hakika katika uumbaji wa mbingu na ardhi na utofauti wa usiku na mchana kuna ishara kwa wenye akili."

2.Al-Mulk 67:10 "وَقَالُوا لَو كُنَّا نَسْمَعُ أَوْ نَعْقِلُ مَا كُنَّا فِي أَصْحَابِ السَّعِيرِ"
Na walisema: ‘Kama tungelisikia au kuwa na akili, tusingekuwa miongoni mwa watu wa moto.’"
Hizo ni baadhi ya aya zenye matumizi ya neno akili sasa kupitia dondoo hizo tunaweza sema kwa mujibu wa quran akili ni:-
1. inamaanisha uwezo wa kufikiri, kuelewa, na kufanya maamuzi. Hii ni pamoja na matumizi ya hekima na busara katika maisha ya kila siku.

2.Ni uwezo wa binadamu kufahamu, kuelewa, na kufanya maamuzi sahihi katika mambo ya kiroho na ya maisha ya kila siku. Ni sehemu muhimu ya kuelewa na kutekeleza maagizo ya Mungu.

Karibu kwa maswali zaidi mkuu.
 
My Life Experience 03

Vitabu vya dini vipo sahihi kwa kiasi isipokuwa watafsiri wa hivyo vitabu ndo wanapindisha mambo.

Djinn ambae wapo kwenye vitabu vya dini ni kweli wameumbwa kwa moto, Pia anaezungumziwa kwenye vitabu vya dini sio hawa ambao ni Chotara/Djinn/Soul/Nafsi bali ni hao ambao wapo kwenye Ulimwengu/Dunia/Sayari ya pili baada ya hii yetu.

Jiulize tu Kiumbe kimeumbwa kwa moto then inakuaje akaweza kukaa na kustahimili katika ulimwengu huu wa kwetu ambao viumbe vyake vimeumbwa kwa udongo?

Djinn wa kwenye vitabu vya dini hafungamani na binadamu, Hata kumuona kwake ni mtihani ingawa wanakuja mara chache na kukaa kwa muda mfupi usiozidi masaa matano katika ulimwengu huu.

Kuna nyota huwa zinachomoza ghafla angani na huwa zina ng'aa sana, Nyota hizi zinaweza kaa ndani ya wiki moja, mbili, tatu na mpaka nne ndio zinatoweka. Nyota hizi zina ashiria kuna binadamu amezaliwa ambae ana nguvu za kimungu ndani yake, Hivyo hawa Djinn halisi ndio huja ulimwengu huu kwaajili ya Binadamu huyo na watakuja mara kwa mara kumuona mpaka Binadamu huyo atakapo fariki.

Wanakuja kumpa Elimu ya Mafumbo, Alama na Maandishi. Hawatoengea nae neno hata moja kwasabau lugha yao na yetu ni tofauti.

Hakuna Binadamu mwenye uwezo wa kuwaita wala kuwa control isipokuwa kwa yule waliye mjia tu.
Mkuu kwa kuwa hiyo ni life experience basi wewe endelea na episode tu huenda tukajifunza jambo, Kuna mambo umeyaeleza yanaendana na vitabu vya dini na kuna mambo hayaendani na vitabu but all in all wewe tiririka tu.
 
Arsis: Qur'an ni muujiza unaoishi. Hakuna dalil ya kukisia.

Weka hio aya tukufahamishe kilichokusudiwa. Kama huna haraka sana, baada ya kukiri kuwa huna aya naa kuleta aya biblia, sasaunatakiwa ulete Hawa, manesema ni mkewe Adam, Waislam mmemsoma wapi? ummmetowa wapi?

Tukimalizana na la Hawa, naahidi kuanza kuwa elimu kidogo kidogo ya adam ni nani. kwa mujibu wa Qur'an.

Unajua kua Adam wako wengi, sio mmoja tu?
Arsis.
Kama unasema Adamu wapo wengi maana yake Waliumbwa Adam wengi, Huoni kuwa hiyo haibadilishi kauli ya kuwa mtu wa kwanza kuumbwa ni Adamu?
maana kama kuna adamu wengi basi yeyete katika hao adamu walioumbwa awe atakavyokuwa ila itabaki mtu wa kwanza kuumbwa ni adamu nafikiri logically nipo sahihi.
Ningetegemea useme kuwa adamu sio mtu wa kwanza kuubwa kisha utuambie kwa mujibu wa quran mtu wa kwanza kuumbwa ni.......... kisha utupe ushahidi, Lakini hoja ya kusema kuna Adamu wengi sio hoja kuwa adamu sio wa kwanza.
Mimi nasubiri useme kwa mujibu wa quran Nani ni binadamu wa kwanza ? na yeye adamu aliyetajwa katika baqarah ni wangapi ? huyo wa kwanza anaitwa nani? na katajwa wapi katika quran?
Tikienda kwa njia hii tutaelimishana vizur kuliko maneno mengi yasiyo na majibu.
 
Simuoni ndugu mshana akitia neno kwenye huu uzi ! aidha siwaoni wadau wake wakimualika kuja kuona kama ilivyo sunna yao, kwa maana tumezoea kuona nyuzi zenye asili ya nguvu za asili basi zina mchango wake katika aidha utoaji wa maoni au uongezaji wa nyama. sina maana kuwa ni lazima awepo kwa vile JF ni kubwa kuliko Mshana na kwa kusema hivyo sina maana ya kumdogosha Mshana.

hii thread ni miongoni mwa zile nazoweza kuziita ni multifunctioning kwa maana ya kwamba kwanza ni burudani kwa vile ni simulizi lakini pili, ni kile nachoweza kusema ni elimifu na inaibua hisia kwa vile tumeweza kufahamu au kusoma habari ambazo tusingetegemea kuzisikia mahala kwingine kama tusingezisoma hapa. binafsi siwezi kutoa credit kuwa ni kweli au ni kinywaji cha wazee lakini i am there watching.

My attention kwenye thread hii ni kuwa khaa kumbe even spirits ie Arsis are or may put in application matumizi ya vitu vya kibinadamu kama vile simu na namna members wanavyojibizana na msadikika Arsis kupitia jukwaa ! hii inafanya nijiulize ni kwa vipi Simba anampatia kifaa cha mawasiliano ya kibinadamu rafiki yake wakati hawaonani ?. but whatever it may be.

Kitu kinachofanya niamini walau kwa mbaaali sana kuwa may be jamaa ni spirit kweli na ako hapa tunazungumza ni pamoja na uvumilivu wa kimazungumzo aliokuwa nao. anaambiwa maneno ya karaha lakini yeye hajibu karaha, ame relax sana anakutizameni mnavyorukaruka kuvitetea vitabu vyetu vitukufu. kwa mfano mtu kaambiwa alete maandiko yanayosema kuwa Adam ndiye mtu wa kwanza ndani ya Qur an, badala ya kusema kwanza hakuna then ndo alete excuse ya alternative verses ! and infact haipunguzi chochote katika imani yako kwani waislamu tunaelekezwa kuacha ujuaji pale tusipolielewa jambo kwa undani wake, lakini mtu huyo ataanza kuleta aya ambazo hazitoshi kujibu explicit question on table. na hakubali kuwa hakuna, and by the way kama haipo haipo tu na wala haibatilishi uhalali wa qur an kwa mujibu wa qur an yenyewe ukisoma sura ya kwanza aya ya pili.

Lakini pia ishara ndogo nyingine ya kwamba labda ni kweli jamaa ni spirit ni ; tabia ya utoto anayoionesha katika majibizano yake. binafsi sina elimu ya majini na watu wasioonekana kwa vile amesema yeye ni mtu, lakini ufahamu wangu mdogo katika dini yetu ni kwamba spirits wana ile inferiority complex juu ya mwanadamu ! wako na wivu juu vile mwanadamu ndio kiongozi wa dunia na hawakupenda kwahio, wherever they are in contact with us they want to show us that they are better than us na hivyo anachokisema yeye hataki kibishiwe, you don't have to reason before his or her eyes ,just say "yes sir", ndio kusema; badala waendelee na mazungumzo ya kuwa watu wengine ni kina nani before Adam, yeye anang'ang'ania ni lazima mkiri kwanza qur an haijasema kuwa Adam ndiye mtu wa kwanza na Hawa hajawa adressed ndani ya kitabu hicho. na nimeona mahala mtu akimpledge Arsis basi jamaa hufurahi sana. hahahaha ndo jamaa walivyo najua nyie mnafahamu watoto waking'ang'ania kitu how it appears, hususan wanaogombania nani mkubwa kuliko nani jaribu kuconnect.

Kuhusu juju wa majuju nilifurahi niliposkia wana dunia yao ya kujitegemea kutoka kwa mwamba huyu Arsis, lakini kuna fikra iliyopita kama umeme kwenye kichwa changu kwa vile nakumbuka when i was in my O level studies nilikuwa nimekwisha wiva kiasi kuhusu dini ya kiislamu[ nimesoma seminary ya kiislamu ilemela mwanza], sasa kuna kitabu kimoja kilichokuwa katika lugha ya kiarabu kilikuwa kinazungumza kuhusu dalili za kiyama, dini yetu inaeleza kuwa hao raia[AKINA JUJU] watakuja nyakati za mwisho kuifisadi dunia sasa, ndani ya kile kitabu sehemu inayowaeleza hawa wadudu wenye uzito wake palichorwa ukuta fulani hivi kama ngome na kwamba watakapokuja duniani kufanya ufisadi watapitia maeneo hayo.

hiyo ngome tuliisema kwa mengi na kimsingi yalikuwa ni mawazo yetu kama growing elites kwamba inawezekana ndio ule ukuta tulioambiwa na vitabu kuwa jamaa wanaula kuanzia asubuhi hadi jioni, kisha kitapobaki kipande kidogo kutoboa duniani basi jioni ingefika na wangerudi kulala huku wakisema aaah hapa tutapamalizia kesho bila kusema Allah akipenda[INSHAA ALLAH]. basi kesho wangeukuta hivyo na ikawa zoezi la kila siku mpaka siku watakapompa credit muumba wao basi watakuta mambo kama walivyotarajia na hatimae kuingia duniani.

kwa wale wapenzi wa movie ukuta huo umeoneshwa kwenye movie moja siifahamu jina lake kwa vile siyo mambo yangu hayo, ni movie ya kichina sasa kuna wanyama hao walikuwa na kazi ya kuvamia ngome ile ni wakali balaa na ni wengi kuliko walivyo hata ! najua umenilewa, so wanashambulia mpk watapoweza lakin badae wataondoka.

Sasa fikra zangu zinaniambia kwamba hahahaha eti kwa vile Qur an imeeleza kuwa hawa wadudu wapo lakini haikusema wapo wapi, na kwa vile Arsis anatuambia wapo dunia yao huko hapaendeki, na kwa vile wapo wanaojitahidi kusema kuwa hilo eneo hapo china ndo kuna mlango wao, basi najaribu kufikiri kuwa hapo kwenye hiyo ngome kuna mlango wengine mnasema cjui portal, ambayo inaweza kumtoa kiumbe hapa duniani kwetu kwenda dunia zingine ikiwemo hiyo ya kina juju, haya ni mawazo tu baada ya kula ugali sihitaji ligi pia mwenye mawazo au ufahamu zaidi basi tutaendelea kusomana.The story is telling kwa kweli , kuanzia kule sokoni chalinze, shinyanga, tabora, tanga na hata unguja huko,

Ushauri wangu kwa wasomaji, put away hizo fanatic feelings zote pembeni[udini], then open to learn utajifunza habari nyingi sana kwa vile walioishi kabla yetu hawakuswali swala tano wala kushika misalaba.

Mwisho niwaombe radhi kwanza kwa maneno mengi ilihali uzi sio wa kwangu, pili kwa makosa ya kiuandishi yatakayoonekana kwa vile sinaga kawaida ya kupitia mara mbilimbili nilichoandika.
Hoja kuwa Arsis ni kiumbe gani haina shaka hiyo huyu ni jinn kwa ambaye anaelewa kidogo kuhusu viumbe hivi utajua kuwa ni jinn.
Na ukifuatilia vizuri story zake utagundua kuna mahali imesemwa kabisa kuwa ni JINN
Mimi natilia mkazo tu mkuu majini wengi sturborn ndio maana hapo Arsis hawezi endelea mpaka tukiri aya ya kuwa Adam Ni binadamu wa kwanza haipo kwenye quran
Kama angiwa ni binadamu angemwaga elimu tu alafu mwishoni wenyewe tungekiri kuwa Adam sio wa kwanza kuumbwa.
 
Pole mkuu umejaribu kupata tiba yoyote ? kama ndio ni tiba gani?
hospital nimezunguka sana, hakuna kilicho eleweka, nikapelekwa kwa watu wa kiroho na kwenyewe ni watu wa pesa, nikaona ni ufala nitulie tu. natamani kuona hiyo siri niliofichwa na hapo ndo kipengele huanza.
 
Wewe lete mkasa tusome ndo unakiweza hufurahia, elimu huna wala huyo Arsis wako, hakuna wajinga humu wa kupotoshwa na elimu sio 😀
Dada, ni wapi umeagizwa hivyo na members humu?

Be humble, ni topic yake Jamaa, muache aitawale apendavyo na Tuache members tunaotaka kuendelea kumsoma, Tumsome kwa Amani.

You can’t control what’s not Yours.
 
Umesema kuna majini wazuri na majini wabaya, je mgawanyiko huo upo pia kwa Malaika ikiwa ona maana kuwa kuna Malaika wazuri na Malaika wabaya?
Chifu hakuna malaika wazuri wala wabaya inategemea aliyewatuma, amewatuma kwa kazi gani
 
Wewe una porojo sana boss,aya tumekuletea za qur'an lkn naona sasa tunafanyana watoto wakati sisi ni watu wazima

Tumekuletea za biblia bado unaleta porojo,sasa unataka kuhamishia mambo kwa hawa,ebu acha porojo na utoto,kwa umri wako huo wa miaka 5000 bado unakuwa kama jini mwenye miaka 100

Pili waislamu tunaamini vitabu vyote na mitume wote,kwahiyo hakuna ubaya baadhi ya mambo kuyachek katika biblia,ingawa tunajua kuna mambo mengi yamechezewa katika hiko kitabu

Kwahiyo bakia kwenye hoja na usianze kuleta maneno ambayo sio hoja iliyopo mezani hapa

Binafsi hii ishu naachana nayo kwakuwa naona tunapotezeana mda tu hapa

Tutajadiliana mambo mengine lkn si ishu ya adam tena

Asante
Hizo za bibia nimekwambia ndsio umeyaakinisha usemi wangu, kua Waislam hakuijui Qur'an, mnatumia biblia kua ndio tafsirri ya Qur'an.

Hilo ni kosa kubwa sana, mnatakiwa muisome Qur'an kama ilivyom Qur'an haikuja kuiyakinisha biblia. Qur'ana imekuja kuweka kuweka wazi ukweli , imewajia haki.

Hata ukiukwepa mjadala wa Adam, hujafanya kitu, kwa sababu ni mengi sana mnayatafiri kutoka kwenye biblia, mmejazwa uongo na nyinyi mnausambaza bila kujijua. Nyinyi na mashehe zenu.

Arsis: Hilo la Adam kua mtu wa kwanza ni la fikra zako wewe Kwa kua umeshakua brain washed kwa miaka, Halipo kwenye Qur'an. Siwezi kuilingania dini ya Allah kwa kuongeza langu kwenye Qur'an, mbalo halipo kabisa, kwa kulitoa kwenye bibllia.

Hicho ndicho ninachokisisitiza. Waislam kama tumeshaamini vitabu vyake, tuisome Qur'an kama ilivyo, biblia sio katika vitabu vya Allah. Qur,an ni ni nyepesi sana kuielewa. Ukiangaza kuingiza yasiokuemo unajifanyia mwenyewe ugumu, unaishia kuilingania na kufundish biblia bila kujijua,

la Adam unalikwepa, jibu la Hawa basi. Kua mkweli wa nafsi yako, mmemtoa wapi? kama huwezi kujibu, mimi nasema, mmemtoa kwenye biblia pia. kama unapinga hilo sema wewe umemtoa wapi? Muulze na Shehe wako kamtoa wapi?

Nakupa nyingine mpya, hizo umerusha lakinoi hazikwepeki. Sarah, Waislam mmemtoa wapi na hata majini wakiisikia wanayakinisha hili na kutetemeka kwa ubira wake.kumtungia visa chungu nzima?

Hii elimu ipo ndani ya Qur'an ni kubwa na pana sana, mnatakiwa mtulizane kuisoma.Muulize mashehe wenu,mfanye na tafiti zenu, muache kuisambaza biblia bila kujijua.

Fundisheni Qur'an kwa walimwengu wote, ni kitabu bora ambacho hakina shaka ndani yake na hakikuletwa kwa ajili ya wanaojiita Waislam tu, muongozo kwa kila mmoja wetu na atakaeusoma lazima aongoke na apate hamu ya kuujua Uislam ni nini. Hata babu zako ilikua hivyo.

Arsis.


.
 
Umwagaji damu kwa maana mauji ufisadi, lkn naona unalinganisha adam na damu,sio sawa

Je majini hawana damu?
Jitahidi sana kusoma ili uelewe kwanza kabla ya kutafuta majibu.

Nimeandika; Damu (Adamu?!)

Unatambua lugha za uandishi?


Kingine, huo unaosema umwagaji Damu na ufisadi vyote ni tafsiri na sifa za binaadam/Bin- Adamu.

Kama majini yameumbwa kwa moto, hiyo Damu wataitoa wapi?

Damu ni nini?




Ni kweli kwamba Islams tunasoma na kutengeneza tafsiri zaidi kwenye Quran kuliko Quran yenyewe.
 
hospital nimezunguka sana, hakuna kilicho eleweka, nikapelekwa kwa watu wa kiroho na kwenyewe ni watu wa pesa, nikaona ni ufala nitulie tu. natamani kuona hiyo siri niliofichwa na hapo ndo kipengele huanza.
Pole sana, Kwanza anza kubadilisha mfumo wa maisha yako kama kuna mambo unafanya hayampendezi Mungu acha kabisa, Maaswi yanampa nguvu shetani. Hii ni katika tiba za kitabia .
Pili kuna tiba za kimaumbile yaani hakikisha mazingira yako na wewe mwenyewe unakuwa msafi muda wote safisha mwili, ondoa najsi na uchafu katika mazingira yako.
Tatu, Anza kufanya ibada mimi sijui wewe ni dini gani ila nacho kuambia anza kufanya ibada mkuu hasa muombe Mungu msamaha kwa makosa unayoyajua na usiyo ya jua omba sana msamaha narudia sana kuna siri katika kuomba msamaha wa makosa yetu sisi waislamu tunasema kuleta istighfar.
Mwisho, tumia chumvi unapooga ya mawe au kawaida, tafuta majani ya mkunazi ogea , tafuta majani ya mbaazi twanga ogea na mizizi yake kausha ogea mengine kunywa.
Mwisho toa sadaka tafuta mtoto yatima mpe sadaka kisha mwambie akuombee dua.
Usichoke mkuu matatizo ni sehemu ya maisha yetu ila usikate tamaa na rehma za mola wako
 
Mbona hujadaut uelewa wa Arsis kuhusu Uyaudi?
Simba; hakuna nchi inaitwa Uyahudi, si zamani au sasa. Kuna wayahudi' ambao ni kizazi cha Yuda.

Kusema uyahudi ni kama upo Dodoma mjini useme kuna uhindini, ni kisehemu ambacho wanaishi wahindi. Hili lipo sana Tanzania, Dar kuna Uzunguni. Kuna uhindini na siku hizi kuna uswahilini. kwingine Tanzania kuna Uarabuni. Kuna Ungindoni.

Kuna China Town huko New York, haimaanishi upo Uchina.

Natumai umeielewa hio mifano ya kufafanua kuhusu uyahudi.
Simba.
 
Umesema kuna majini wazuri na majini wabaya, je mgawanyiko huo upo pia kwa Malaika ikiwa ona maana kuwa kuna Malaika wazuri na Malaika wabaya?
Simba; haupo kwa malaika, kwa sababu malaika hajapewa matamanio na maamuzi, wanafanya walichoamrisha na muuma wao wetu.

wazuri na wabaya ni sifa za watu na majini.
Simba.
 
Kama watu mko makini mtagundua Arsis anapenda kujibu kaswali kwa kuuliza Maswali. Hii ni njia bora ya kujibu kutoka kwenye unknown to known, yaan anataka ufaham kutokea pale usipoelewa, yaan ku unridle. Njiaa hii pia ilitumika ancient time na wanafalsafa kama akana Socrate, na Aristotle, kwenye reasoning.

Changamoto ni kuwa watu tumezoea majibu ya rahisi, hatutaki kufikilia. Arsis antaka ufikirie af uulize tena ukikwama uulize alternative. Ni niia bora ya kujifunza japo inahitaji mtu mwenye uharaka wa kutatua mtego na kurusha kete yaan kama Draft.
Mwaga elimu.
Simba.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom