Niliyoyashudia Morogoro sitasahau

Niliyoyashudia Morogoro sitasahau

bora mimi ninayefuga mbwa koko wangu, wote tushazoea ndefu, tena hua ananipa sapot mana mamb yakizd anazunguka tu hapo kwa asha kibajaji ananiletea sufuria namkwangulia ukoko wake na sufuria naenda uza, siku nikimpa tu vichwa vya dagaa atalipa fadhila week nzima, mana atanijazia vyomb kabati nzima, na yeye hatak mpak uwe mwiz, yan ukiwaza tu kuja kuiba yeye ndo anakufuata huko huko kwako mmalizane, sema ana shida tatu, kwanza n mzinzi, pili kukiwa na sherehe mtaani jiandae kupga usafi wa kutosha asubuh mana atajaza kila kitu hasa zile sahan nyeupe za makaratas na tatu akishba anadharau ukimwita anakuja huku anatambaa(wafugaji wanaelewa) na akikuona unakula dagaa anakuja kukujazia mifupa ya nyama alizokula hapo nje halaf analala huku katanua miguu juu na mdomo waz
Duh JF raha sana
 
Bado unajiona uko sawa? unawezaje kuhudumia mbwa gharama ya mil 4 ilihali wapo binadamu wenzako hawana uhakika hata wa mlo mmoja kwa siku?

Jitathmini, njia ya kwenda mbinguni ni nyembamba mno@
Unawezaje kununua bando ya kuingia JF ilihali kuna watu kibao wanalala njaa kwa kukosa hata mia ya maandazi tu? kila kitu kina nafasi yake
 
Unawezaje kununua bando ya kuingia JF ilihali kuna watu kibao wanalala njaa kwa kukosa hata mia ya maandazi tu? kila kitu kina nafasi yake
dah lakini kutoa 4m kwa ajili ya mbwa hapana ndugu kwa usawa huu[emoji22][emoji22][emoji22]
 
Mimi pia nashangaa mbwa wa Dar mabitoz,masistaduu kama wamiliki wao,sijui hata kama bangi wanavuta,mimi mbwa wangu walikuwa walikuwa wanakula uji la dona na furu na ukiwaona balaa jaribu kuleta ujuaji,mimi mwenyewe mama yao nlikuwa nawapikia tu kuwapa ni baby daddy au shemeji zangu sikutaka mazoea nao hata,we mijibwa mikubwa mpaka inatisha mikali balaa
Hao mbwa wa dar,hawawezi hata kula ugali??
 
bora mimi ninayefuga mbwa koko wangu, wote tushazoea ndefu, tena hua ananipa sapot mana mamb yakizd anazunguka tu hapo kwa asha kibajaji ananiletea sufuria namkwangulia ukoko wake na sufuria naenda uza, siku nikimpa tu vichwa vya dagaa atalipa fadhila week nzima, mana atanijazia vyomb kabati nzima, na yeye hatak mpak uwe mwiz, yan ukiwaza tu kuja kuiba yeye ndo anakufuata huko huko kwako mmalizane, sema ana shida tatu, kwanza n mzinzi, pili kukiwa na sherehe mtaani jiandae kupga usafi wa kutosha asubuh mana atajaza kila kitu hasa zile sahan nyeupe za makaratas na tatu akishba anadharau ukimwita anakuja huku anatambaa(wafugaji wanaelewa) na akikuona unakula dagaa anakuja kukujazia mifupa ya nyama alizokula hapo nje halaf analala huku katanua miguu juu na mdomo waz

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
nawewe na wenzako mnaoshangaa na kumpangia matumizi ya pesa zake mnajua upande wa 2 anasaidia hao wenye njaa sh ngapi?
Ili iweje sasa gharama zote hizo akati watu somalia wanakufa njaa.
 
nawewe na wenzako mnaoshangaa na kumpangia matumizi ya pesa zake mnajua upande wa 2 anasaidia hao wenye njaa sh ngapi?

kununua mbwa kwa gharama zote hizo maisha ya Mtaanzania haya ili iweje.?? huo upande wa pili ilibidi ajibu yeye mm nimezungumzia upande wa kwanza tu na tungeishia upande huu huu tu
 
kununua mbwa kwa gharama zote hizo maisha ya Mtaanzania haya ili iweje.?? huo upande wa pili ilibidi ajibu yeye mm nimezungumzia upande wa kwanza tu na tungeishia upande huu huu tu
sawa chief,ila kumbuka mkono wa kushoto ukitoa wa kulia usijue,mchana mwema
 
Tajeni wote lakini kuna huyu anaitwa jiwe ni mkali na mwepesi ku attack ana ogopwa kila kona
 
weka picha tuone hao umbwa wa rock teller ndio kwanza leo nawasikia
Mbwa anayeongelewa huwa ni aina hii
images.jpg
 
Back
Top Bottom