Niliyoyashudia Morogoro sitasahau

Niliyoyashudia Morogoro sitasahau

Ni mbwa mkuu mzee alitoka nao Ujeruman chakula wanakula kilicho pikwa vizuri ugali hawali
Wewe unatoka familia ya kipumbavu Sana, siyo wewe tu, mpo wengi mashwaini hapa duniani.
yaani Kuna watoto yatima, wagonjwa, wajane, vilema wanaoteseka na wanahitaji msaada, halafu unatumia mil 4 kwa mwezi kutunza hayawani,aisee ni kweli jehanamu ipo, Dunia ina mijitu mijinga mno.
 
bora mimi ninayefuga mbwa koko wangu, wote tushazoea ndefu, tena hua ananipa sapot mana mamb yakizd anazunguka tu hapo kwa asha kibajaji ananiletea sufuria namkwangulia ukoko wake na sufuria naenda uza, siku nikimpa tu vichwa vya dagaa atalipa fadhila week nzima, mana atanijazia vyomb kabati nzima, na yeye hatak mpak uwe mwiz, yan ukiwaza tu kuja kuiba yeye ndo anakufuata huko huko kwako mmalizane, sema ana shida tatu, kwanza n mzinzi, pili kukiwa na sherehe mtaani jiandae kupga usafi wa kutosha asubuh mana atajaza kila kitu hasa zile sahan nyeupe za makaratas na tatu akishba anadharau ukimwita anakuja huku anatambaa(wafugaji wanaelewa) na akikuona unakula dagaa anakuja kukujazia mifupa ya nyama alizokula hapo nje halaf analala huku katanua miguu juu na mdomo waz
Ha ha ha haaah duh, inafurahisha sana.
 
Sheria yangu sifugi kiumbe kisichozalisha maziwa,mayai au nyama.
 
Bata mzinga kweli wewe hivi unajua hata bajeti ya mbwa koko au paka shume hadi unalopoka uhalo hapa
haha haha .....mmeshafika huku Mara hii""....haya Mwenye nguvu apute basiiiiii"" anilipie na ng'ombe wangu ...""
 
bora mimi ninayefuga mbwa koko wangu, wote tushazoea ndefu, tena hua ananipa sapot mana mamb yakizd anazunguka tu hapo kwa asha kibajaji ananiletea sufuria namkwangulia ukoko wake na sufuria naenda uza, siku nikimpa tu vichwa vya dagaa atalipa fadhila week nzima, mana atanijazia vyomb kabati nzima, na yeye hatak mpak uwe mwiz, yan ukiwaza tu kuja kuiba yeye ndo anakufuata huko huko kwako mmalizane, sema ana shida tatu, kwanza n mzinzi, pili kukiwa na sherehe mtaani jiandae kupga usafi wa kutosha asubuh mana atajaza kila kitu hasa zile sahan nyeupe za makaratas na tatu akishba anadharau ukimwita anakuja huku anatambaa(wafugaji wanaelewa) na akikuona unakula dagaa anakuja kukujazia mifupa ya nyama alizokula hapo nje halaf analala huku katanua miguu juu na mdomo waz
hahaaaa haaaaa haaaaa "" bangi hizi "" daah
 
uongo mbaya jaman ingekuwa kweli ungekuwa hata humu jamiiforum hupajui! keyboard zinaficha mengi ukute unakaa tandale

Mkuu tupia picha ya tandale tuione ilivyo maana sisi wa huku Ihomasa tunaisikia tu redioni "Tandale".
 
bora mimi ninayefuga mbwa koko wangu, wote tushazoea ndefu, tena hua ananipa sapot mana mamb yakizd anazunguka tu hapo kwa asha kibajaji ananiletea sufuria namkwangulia ukoko wake na sufuria naenda uza, siku nikimpa tu vichwa vya dagaa atalipa fadhila week nzima, mana atanijazia vyomb kabati nzima, na yeye hatak mpak uwe mwiz, yan ukiwaza tu kuja kuiba yeye ndo anakufuata huko huko kwako mmalizane, sema ana shida tatu, kwanza n mzinzi, pili kukiwa na sherehe mtaani jiandae kupga usafi wa kutosha asubuh mana atajaza kila kitu hasa zile sahan nyeupe za makaratas na tatu akishba anadharau ukimwita anakuja huku anatambaa(wafugaji wanaelewa) na akikuona unakula dagaa anakuja kukujazia mifupa ya nyama alizokula hapo nje halaf analala huku katanua miguu juu na mdomo waz
hahhahahahahahahaha unafuga kibaka unasingizia mbwa
 
Mkuu uliwafundisha nwenyewe, au unanunua wakiwa wameshafundishwa?

Nikihitaji kununua nitafanyaje ili wanizoee mimi na familia yangu, maana isije siku wakanilia mwanangu au mtoto wangu.

Napenda sana kufuga hao majibwa.
Nenda PH Kennel pale kimara anao anauza
 
TAHADHARI
ROTTWEILER ni miongoni mwa mbwa hatari sana na ni jeuri mno.wakiwa na njaa wanaweza kutafuna mtoto.
Mimi ni mfugaji wa mbwa wa kisasa, ninapendelea GERMAN NA BELGIAN SHEPHARD
Belgian shepherd anafananaje?

Vv
 
Belgian shepherd anafananaje?

Vv
Aina mojawapo
Screenshot_2018-06-01-18-54-54.jpg
 
kununua mbwa kwa gharama zote hizo maisha ya Mtaanzania haya ili iweje.?? huo upande wa pili ilibidi ajibu yeye mm nimezungumzia upande wa kwanza tu na tungeishia upande huu huu tu
Huyo mbwa anayezungumziwa hapa niliwaona kwa Wazungu fulani wenye orphanage Center huko Kigamboni.

Siku moja nikawauliza kama wanauza, wakaniambia wanaye mdogo wa miezi 6 na wanamuuza Euro 1,000/- yaani zaidi ya milioni mbili, nilikaa kimya kama sikuuliza.

Vv
 
Huyo mbwa anayezungumziwa hapa niliwaona kwa Wazungu fulani wenye orphanage Center huko Kigamboni.

Siku moja nikawauliza kama wanauza, wakaniambia wanaye mdogo wa miezi 6 na wanamuuza Euro 1,000/- yaani zaidi ya milioni mbili, nilikaa kimya kama sikuuliza.

Vv
Bei ndogo sana, huuzwa hadi $3,500
 
Back
Top Bottom