Baba Swalehe
JF-Expert Member
- Jun 6, 2017
- 20,298
- 40,100
Aaah jamaa unazngua nkajua sijui story ya nn kumbe mbwa aaah !!!
Unapata Faida GaniNinao kumi ninawatunza kwa gharama kubwa kwa mwezi wanakula chakula cha 4m
mm nilijua kakuta watu wanajifanya road!lolKichwa cha habari nilivyokiona nikajua umekutana na wadada wa pale Itigi au Samaki Sport
[emoji23] [emoji23] [emoji23] kumbe mbwa okay na mi nakuja na story ya mbwa koko.. Tena ntaandika news alertKichwa cha habari nilivyokiona nikajua umekutana na wadada wa pale Itigi au Samaki Sport
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] daaaah mkuu nimekuwa kibaka tena!!!!Hawaitwi rock teller, jina lao ni rot weiller..mbwa hatari sanaa. Mimi ninaye mmoja naishi naye ndani. Nkienda mishemishe zangu namuacha sebuleni sasa wewe kibaka jaribu kuja kuiba uone cha moto.
Mimi nna mbwa koko wangu kunasiku nilimpima siku mpa msosi usiku,Ila nilimwona amechangamka tu na akatekeleza majukumu yake kama kawaida.Wakujue hivyohivyo chakula chao kisishuke chini ya 4m
Hivi unajua kuna mbwa ambao wanauwezo wa kumuua Simba?Afu Mzee huyu sio mbwa bali mashetani yako,hawezi kuwa mbwa huyu,,,af pia kilo 50 zitoke wap hapo
Cjui ila naomba unambiee ni mbwa wa aina gan au jina lake nifanye uchunguzi au tupia picha ake hapaHivi unajua kuna mbwa ambao wanauwezo wa kumuua Simba?
yani mi nazumgumzia tahadhar we ndo kwanza unawatakaMkuu uliwafundisha nwenyewe, au unanunua wakiwa wameshafundishwa?
Nikihitaji kununua nitafanyaje ili wanizoee mimi na familia yangu, maana isije siku wakanilia mwanangu au mtoto wangu.
Napenda sana kufuga hao majibwa.
asante kwa kuniweka sahihi hpoWanaitwa rot weillers. Wanakatwa mkia wakiwa bado wadogo.
Rhodesian ridge backCjui ila naomba unambiee ni mbwa wa aina gan au jina lake nifanye uchunguzi au tupia picha ake hapa
umefanya nicheke kw nguvu[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] daaaah mkuu nimekuwa kibaka tena!!!!
huyo muuze mkuu[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]bora mimi ninayefuga mbwa koko wangu, wote tushazoea ndefu, tena hua ananipa sapot mana mamb yakizd anazunguka tu hapo kwa asha kibajaji ananiletea sufuria namkwangulia ukoko wake na sufuria naenda uza, siku nikimpa tu vichwa vya dagaa atalipa fadhila week nzima, mana atanijazia vyomb kabati nzima, na yeye hatak mpak uwe mwiz, yan ukiwaza tu kuja kuiba yeye ndo anakufuata huko huko kwako mmalizane, sema n mzinzi na kukiwa na sherehe mtaani jiandae kupga usafi wa kutosha asubuh mana atajaza kila kitu hasa zile sahan nyeupe za makaratas