Undercover_Bot
JF-Expert Member
- May 8, 2018
- 416
- 414
weka picha tuone hao umbwa wa rock teller ndio kwanza leo nawasikia
Si bora ufuge ng'ombe tuNinao kumi ninawatunza kwa gharama kubwa kwa mwezi wanakula chakula cha 4m
HahahahaSi bora ufuge ng'ombe tu
Siku ukiwapa chakula cha 2m tegemea ya huyo mzee wa moroNinao kumi ninawatunza kwa gharama kubwa kwa mwezi wanakula chakula cha 4m
Wananijua yani kama mimi ndio baba yaoSiku ukiwapa chakula cha 2m tegemea ya huyo mzee wa moro
la 2Wewe ni daktari wa hospitali au wa nguvu za giza?
Wakujue hivyohivyo chakula chao kisishuke chini ya 4mWananijua yani kama mimi ndio baba yao
Nitafanya ufisadi siku niwape hata cha m1Wakujue hivyohivyo chakula chao kisishuke chini ya 4m
Mbona yule walimla? Ama waligundua kuwa anawaibia sehemu yao? Walimwona akibeba furushi kila wakati wakijua ni nyama yao hiyoo inaeenda?Wakali mno yani mmoja tu aliwalaza majambazi wawili sema wamefundishwa hawaui
Basi hao mbwa ni wamzeee wako na kama wanatumia 4m Kwa mwezi hizo so zako kwahy tengua kauli wacha kujipaishaaa mjombaàNi mbwa mkuu mzee alitoka nao Ujeruman chakula wanakula kilicho pikwa vizuri ugali hawali
Bata mzinga kweli wewe hivi unajua hata bajeti ya mbwa koko au paka shume hadi unalopoka uhalo hapaBasi hao mbwa ni wamzeee wako na kama wanatumia 4m Kwa mwezi hizo so zako kwahy tengua kauli wacha kujipaishaaa mjombaà
Afu Mzee huyu sio mbwa bali mashetani yako,hawezi kuwa mbwa huyu,,,af pia kilo 50 zitoke wap hapo
NakweliWakujue hivyohivyo chakula chao kisishuke chini ya 4m
akikujibu ni tagWewe ni daktari wa hospitali au wa nguvu za giza?
Hawaitwi rock teller, jina lao ni rot weiller..mbwa hatari sanaa. Mimi ninaye mmoja naishi naye ndani. Nkienda mishemishe zangu namuacha sebuleni sasa wewe kibaka jaribu kuja kuiba uone cha moto.weka picha tuone hao umbwa wa rock teller ndio kwanza leo nawasikia
Mkuu uliwafundisha nwenyewe, au unanunua wakiwa wameshafundishwa?Wakali mno yani mmoja tu aliwalaza majambazi wawili sema wamefundishwa hawaui
Hao mbwa wa dar,hawawezi hata kula ugali??Ni mbwa mkuu mzee alitoka nao Ujeruman chakula wanakula kilicho pikwa vizuri ugali hawali