Niliyoyaona Jijini Mwanza

Niliyoyaona Jijini Mwanza

Yaan hata maneno yako yanaonesha haujiamini na kujikubali...kuna watu unaona ni Bora zaidi yako so unakuwa na shobo nao...

Trust yourselves bro...Haya mambo ya kuishi ukiwa unajistukia sio mazuri kwa maendeleo binafsi....na vijana wengi wa Arusha mna ili tatizo...ndo maana mnajiingiza kwenye bang, kuolewa na vibibi...kuiga umarekani ambao hata hao wamarekani wanajithidi kuusolve..nk nk
Huwezi pinga hili.

Utalii na mwingiliano mkubwa na wageni toka nje imesaidia bakubwa wakazi wa A town kujifunza mambo mapya mazuri tofauti na wewe kijana hapo Nyamagana Mwanza.

Arusha ni safari capital hapa Tanzania.

Kwanamna yoyote ile wakazi wa Arusha wanapata advantage yakuwa mbele kwa mambo mengi "exposure" ukilinganisha na wakazi wa maeneo mengine Tanzania.

Ukishindwa kuona ukweli huu utakuwa na shida mahali.
 
Wakuu wazima?

Nafikiri kuna kapost kangu niliwah post humu kuuliza sehem nzuri ya kupumzika kwa hapa Mwanza.
Sasa kwa kipindi hiki cha wiki 2 nilizokaa huku hay ndo niliyoyaona na kujifunza

1. Wanawake wanapiga kazi sana huku(wanajishughulisha) mida ya jioni barabarani utakutana nao sana wakiuza either matunda, dagaa, samaki, maharagwe yaliyochemshwa tu, nyanya na vikorombwezo vingine4, pia wanachoma mahindi na kuyauza.

2. Wengi wa wasichana huku ni waoga sana hasa kwa strangers.

3. Draft la huku wengi hucheza French( hawajui kuhusu British).

4. Kila wanapokaa hudhani wote ni wa huku hivyo huongea tu kilugha.

5. Hotels and Lodge za huku no bei rahis sana sana huanzia 30k.

6. Mwanza ni mji mzuri sana, una mandhari nzuri kuliko Arusha( kwa mtazamo wangu)

Asanteni wakuu
Safi sana, umetanabaisha maisha halisi yalivyo mtaani hapo Mwanza.
 
Wakuu wazima?

Nafikiri kuna kapost kangu niliwah post humu kuuliza sehem nzuri ya kupumzika kwa hapa Mwanza.
Sasa kwa kipindi hiki cha wiki 2 nilizokaa huku hay ndo niliyoyaona na kujifunza

1. Wanawake wanapiga kazi sana huku(wanajishughulisha) mida ya jioni barabarani utakutana nao sana wakiuza either matunda, dagaa, samaki, maharagwe yaliyochemshwa tu, nyanya na vikorombwezo vingine4, pia wanachoma mahindi na kuyauza.

2. Wengi wa wasichana huku ni waoga sana hasa kwa strangers.

3. Draft la huku wengi hucheza French( hawajui kuhusu British).

4. Kila wanapokaa hudhani wote ni wa huku hivyo huongea tu kilugha.

5. Hotels and Lodge za huku no bei rahis sana sana huanzia 30k.

6. Mwanza ni mji mzuri sana, una mandhari nzuri kuliko Arusha( kwa mtazamo wangu)

Asanteni wakuu
Labda ulikuwa Goma, maana unayoyasema hayapo Hapa Mwanza!
 
Mkuu! Vipi kuhusu samaki? By the way karibu sana jiji la miamba, nipo tayari kukutafutia kiwanja ili siku moja uishi Mwanza.
 
Wakuu wazima?

Nafikiri kuna kapost kangu niliwah post humu kuuliza sehem nzuri ya kupumzika kwa hapa Mwanza.
Sasa kwa kipindi hiki cha wiki 2 nilizokaa huku hay ndo niliyoyaona na kujifunza

1. Wanawake wanapiga kazi sana huku(wanajishughulisha) mida ya jioni barabarani utakutana nao sana wakiuza either matunda, dagaa, samaki, maharagwe yaliyochemshwa tu, nyanya na vikorombwezo vingine4, pia wanachoma mahindi na kuyauza.

2. Wengi wa wasichana huku ni waoga sana hasa kwa strangers.

3. Draft la huku wengi hucheza French( hawajui kuhusu British).

4. Kila wanapokaa hudhani wote ni wa huku hivyo huongea tu kilugha.

5. Hotels and Lodge za huku no bei rahis sana sana huanzia 30k.

6. Mwanza ni mji mzuri sana, una mandhari nzuri kuliko Arusha( kwa mtazamo wangu)

Asanteni wakuu
Hujaenda kwa zumaridi?
 
Mkuu kanda ya ziwa n balaaa yaaan kilugha popote....alafu wakiona ww hujui lugha yao wanakuita kwa jna la kabila lao
Hii kweli kanda ya ziwa nao wabadirike aiseee hasa Wasukuma, hii sehem niliyopanga kuna wasukuma kama 2 hivi, ikifika Jmosi basi nikupiga nyimbo zao yaani kelele masauti ya juu tafu mbaya zaidi sijui nyimbo zao wanarekodia studio gani hazina melody nzuri hazina nini sauti zimekaa kaa vibaya
 
Wewe unazungumzia Mwanza, sasa Arusha inahusikaje?
Hio ni battle mpya

MWANZA vs ARUSHA

Wapi ni zaidi ya kwingine?

Mleta mada anasema Mwanza ni zaidi ya Arusha na wewe unasemaje?
 
Mwanza hua ni nzuri bana, ndoto za watu wa Arusha ni kuishi na kuwekeza mwanza hauwezi the kusikia msukuma anawaza kwenda arusha afadhali aende ifakara, lindi, chunya, kigoma, mpanda, sumbawanga, madibila, rujewa, ubaruku, ambapo atalima na kufuga au kuchimba dhahabu , kuliko akateseke arusha
Tayari battle ushaanza uzi umebadirika rangi
 
Back
Top Bottom