Sio muiko Wala mwiko. Hajui wazungu wenyewe Wana kabila zao na hizo lugha za mataifa yao Ni tizi kuzimasta. Franch, Germany language Ni national language Kuna makabila bado humo ndani ndani ya hizo nchi.
Kuna watu wakishasoma ama wakifika USA wakirudi Ni kutema slang ya kufa mtu eg you know,I gonna,I wanna die hard getting this psyy so wanajiona wako juu ama wamestaraabika fulani.
Yaani mtu kukataa vya kikwenu inaonekana kma wewe mjanja Mara mie sijakulia kijijini na wakati Kuna watt wamezaliwa new York wanajua kuongea kikurya Sasa wewe kuzaliwa kwa mtoghole ama igoma unajiona Kama Ni ujanja kutotukuza lugha yako.
# copied
European countries are more developed and among the first world countries.
They are made up of the same ethnic group in a single country.
For example England is predominantly English
France is predominantly French
Netherlands is predominantly Dutch.
These people have a common language, ancestry and a common goal.
Just look at Nigeria for example where they packed Hausa, Yoruba, Igbo, Edo, ijaw into one country.
Like we have anything in common.
Imagine a country with Igbo people only, a country with Hausa people only, a country with Yoruba people only.
We don't have to worry which tribe is going to rule or if my ethnic group have senate President or federal appointment or not.
We'll focus on building our ethnic nation. I swear Nigeria must divide. We are not one
That's just my observation about developed and undeveloped country because a country like Nigeria can never developed..
#COPIED