Niliyoyaona Jijini Mwanza

Niliyoyaona Jijini Mwanza

Arusha isingekuwa usela mavi wa wale machalii clearly hii battle ya Arusha vs Mwanza wala isingekuwa ngumu. Tatizo la Arusha ni vijana wengi wana usela wa miaka ya 90 karne hii..

Arusha ipo mbele ya Mwanza kwa karibia kila kitu, kitu pekee kinachoichafua Arusha ni tabia za vijana wengi wenyeji wa hapo hawana lugha wala charisma ya kuwapokea na kukaa na wageni. Wao kwao mgeni wanamwona ni Mzungu tu.
Uko sawa binafsi nimekaa Arusha na mwanza pia,ila kwangu mwanza naipa salute
 
Arusha isingekuwa usela mavi wa wale machalii clearly hii battle ya Arusha vs Mwanza wala isingekuwa ngumu. Tatizo la Arusha ni vijana wengi wana usela wa miaka ya 90 karne hii..

Arusha ipo mbele ya Mwanza kwa karibia kila kitu, kitu pekee kinachoichafua Arusha ni tabia za vijana wengi wenyeji wa hapo hawana lugha wala charisma ya kuwapokea na kukaa na wageni. Wao kwao mgeni wanamwona ni Mzungu tu.
Hapa Arusha wapo watu kutoka mikoa yote ya Tanzania. Je, unaweza kusema hao watu wamefanyiwa "usela mavi" upi kama ulivyoita?

Nachoona mimi ni kujishtukia tu. Ni kama vile Watz wanavyojishtukia na kudhani wanadharauliwa na Wakenya.

Bila shaka wewe ni mkazi wa A town au uliishi hapa. Wewe binafsi umeshawahi kumfanyia "usela mavi" mtu yeyote?

Binafsi mimi napenda watu wote, haijalishi unatokea wapi iwe Mtwara, Sumbawanga au Mwanza.
 
Tatizo watu wanaotoka mikoa tofauti na A town (ukiondoa Kilimanjaro) wana inferiority complex wakikutana na vijana/wakazi kutoka A town.

Wengi wanakosa kujiamini na kudhani wanabaguliwa kumbe hakuna mtu mwenye time nao.

Unaweza gundua hili kwa urahisi tu hasahasa miongoni mwa vijana chini ya miaka 35. Kwa wazee hauwezi kuona hili. Hii naifananisha vile Watanzania wengi walivyo na inferiority complex wakikutana na waKenya.

Hapa Arusha tourism imesaidia pakubwa vijana wengi kuwa na self confidence kwasababu yamwingiliano na wageni.

Jambo la msingi na lakukumbuka, sisi Watanzania wote ni watu poa. Haina haja yakujiona dhaifu au kudhani wakazi wa Arusha wanawachukia wakazi wa maeneo mengine ya Tanzania.

Tanzania ni moja.
Nyie ndo hamjiamini😂😂mara mwamba wa kaskazini mnafosi kubattle eti nimetoka chuga

Nyie hamjiamini ng'o hakuna mtu ana wasifia ila wenyewe mnajipa promo...wengi waliostarabika kwa mavazi yenu wanawaona kama wezi yaani vibaka si vibaka ..

Nimekaa nao bweni wao kila siku kuleta ukanda " eti nyie watu wa Pwani mbona mnajifanya wajijuaji San"😂😂😂

Nenda kweny watu wenye kiswahili kizuri utakuta wao ndo wanajiproud ila majority wanajua sehemu fulani ndo wanaongea vizuri
 
Nyie ndo hamjiamini😂😂mara mwamba wa kaskazini mnafosi kubattle eti nimetoka chuga

Nyie hamjiamini ng'o hakuna mtu ana wasifia ila wenyewe mnajipa promo...wengi waliostarabika kwa mavazi yenu wanawaona kama wezi yaani vibaka si vibaka ..

Nimekaa nao bweni wao kila siku kuleta ukanda " eti nyie watu wa Pwani mbona mnajifanya wajijuaji San"😂😂😂

Nenda kweny watu wenye kiswahili kizuri utakuta wao ndo wanajiproud ila majority wanajua sehemu fulani ndo wanaongea vizuri
Halafu wakiingia daslam ndio wa Kwanza kufosi lafudhi ya pwani 😅msinipige mawe bana natania tu 😅
 
Arusha isingekuwa usela mavi wa wale machalii clearly hii battle ya Arusha vs Mwanza wala isingekuwa ngumu. Tatizo la Arusha ni vijana wengi wana usela wa miaka ya 90 karne hii..

Arusha ipo mbele ya Mwanza kwa karibia kila kitu, kitu pekee kinachoichafua Arusha ni tabia za vijana wengi wenyeji wa hapo hawana lugha wala charisma ya kuwapokea na kukaa na wageni. Wao kwao mgeni wanamwona ni Mzungu tu.
Usela wa kijinga yaani sijawahi kupapenda kabisa wala sitaki kabisa kizazi changu kije kuiga ile tabia yao .

Vijana hawana future yaani nimefika pale Yale mavazi nimeona kama nipo mwaka 1990's hujui aliyesoma ni yupi ..wamekaa kizamani zamani na almost pale stendi unaona watu wamevaa Yale matairi ya wamasai ya kuchungia "kata mbuga"


Almost nikiangalia watu wengi walivyo kama vibaka hawaeleweki wamevaa hovyo kabisa
 
Nyie ndo hamjiamini😂😂mara mwamba wa kaskazini mnafosi kubattle eti nimetoka chuga

Nyie hamjiamini ng'o hakuna mtu ana wasifia ila wenyewe mnajipa promo...wengi waliostarabika kwa mavazi yenu wanawaona kama wezi yaani vibaka si vibaka ..

Nimekaa nao bweni wao kila siku kuleta ukanda " eti nyie watu wa Pwani mbona mnajifanya wajijuaji San"😂😂😂

Nenda kweny watu wenye kiswahili kizuri utakuta wao ndo wanajiproud ila majority wanajua sehemu fulani ndo wanaongea vizuri
Ngoja nikuambie kitu.

Wakazi wa A town wapo na strong personality kama vile walivyo Wakenya.

Hii inasababisha watu wanaotoka mikoa mingine kujiona inferior wanapokutana na watu kutoka A town.

Hii utagundua kwa urahisi sana mashuleni na hata makazini. Hasahasa kwa vijana chini ya 35 years.

Ni shida kubwa.
 
Ngoja nikuambie kitu.

Wakazi wa A town wapo na strong personality kama vile walivyo Wakenya.

Hii inasababisha watu wanaotoka mikoa mingine kujiona inferior wanapokutana na watu kutoka A town.

Hii utagundua kwa urahisi sana mashuleni na hata makazini. Hasahasa kwa vijana chini ya 35 years.

Ni shida kubwa.
Wapi sisi wa Pwani ndo tunajiamini hatuna kelele nyie hamna kitu mnafanya ..kwanza tuanwaonea huruma .

Kumingle haswa mademu zenu hatuna time kabisa ...
 
Kuna msela alikuja pm eti tukapigane 😂😂wa huko chuga sasa naona katulia mtu yupo miaka 35 eti anataka kupigana kisa tumebishana kweny Uzi.
Hahahah unaniua mbavu, full usela😅Mie nimetoka chugga nikaenda Dizimu nikajiona tofauti Sana hata worker's wenzangu walikuwa wananishangaa mwanzo,ila after a year nikachange
 
Mwanza hua ni nzuri bana, ndoto za watu wa Arusha ni kuishi na kuwekeza mwanza hauwezi the kusikia msukuma anawaza kwenda arusha afadhali aende ifakara, lindi, chunya, kigoma, mpanda, sumbawanga, madibila, rujewa, ubaruku, ambapo atalima na kufuga au kuchimba dhahabu , kuliko akateseke arusha
Madibila🥰
 
Usela wa kijinga yaani sijawahi kupapenda kabisa wala sitaki kabisa kizazi changu kije kuiga ile tabia yao .

Vijana hawana future yaani nimefika pale Yale mavazi nimeona kama nipo mwaka 1990's hujui aliyesoma ni yupi ..wamekaa kizamani zamani na almost pale stendi unaona watu wamevaa Yale matairi ya wamasai ya kuchungia "kata mbuga"


Almost nikiangalia watu wengi walivyo kama vibaka hawaeleweki wamevaa hovyo kabisa

Wapi sisi wa Pwani ndo tunajiamini hatuna kelele nyie hamna kitu mnafanya ..kwanza tuanwaonea huruma .

Kumingle haswa mademu zenu hatuna time kabisa ...
Itachukua miaka mingi watu wa mikoa tofauti na A town kuondoa inferiority complex mliyonayo mnapokutana na wakazi/vijana wa A town.

Hii inaonekana wazi tu na hata wageni wasio watanzania wanasema hii. Wakazi wa A town wapo na strong personality.

Nafahamu unaweza jihisi vibaya na kujiona dhaifu lakini hiyo si lengo langu ujihisi hivyo.

Muhimu endeleeni kujenga self confidence na mtakuwa sawa tu.
 
Itachukua miaka mingi watu wa mikoa tofauti na A town kuondoa inferiority complex mliyonayo mnapokutana na wakazi/vijana wa A town.

Hii inaonekana wazi tu na hata wageni wasio watanzania wanasema hii. Wakazi wa A town wapo na strong personality.

Nafahamu unaweza jihisi vibaya na kujiona dhaifu lakini hiyo si lengo langu ujihisi hivyo.

Muhimu endeleeni kujenga self confidence na mtakuwa sawa tu.
No strong personality zaidi ya boosting and hyping😂😂.

Kijana wenu kama Nikki hamna kitu hana confidence ushamba kibao mpaka anapigiwa kweupe.

Yaani hamna kitu naweza kufurahia mademu zenu vile wanatuappreciate laiti mngejua mngejua sisi wa Pwani ndo tuna confidence hapo elimu hatuna time nayo wala pesa ila tunajiamini...

Nyie mpaka mvute bangi 😂😂hamjiamini
 
HAkuna mji mzuri kama Arusha Tanzania hii...mbali na kuhesabu ghorofa..ni wajanja pekee watanielewa
Ngongo
Kitu inawasumbua wakazi wa mikoa tofauti na A town ni ile hali yakujihisi wao wanadharaulika wanapokutana na wakazi wa A town.

Ni shida kubwa.

Wao ni kulalamika tu. Mara A town hivi mara vile.

Ushauri kwao ni huu. Jiamini lakini pia usijishtukie mtu mwingine anapoonyesha kujiamini. Hiyo haikufanyi wewe uwe dhaifu.
 
No strong personality zaidi ya boosting and hyping😂😂.

Kijana wenu kama Nikki hamna kitu hana confidence ushamba kibao mpaka anapigiwa kweupe.

Yaani hamna kitu naweza kufurahia mademu zenu vile wanatuappreciate laiti mngejua mngejua sisi wa Pwani ndo tuna confidence hapo elimu hatuna time nayo wala pesa ila tunajiamini...

Nyie mpaka mvute bangi 😂😂hamjiamini
Maandiko yako yanadhibitisha nilichoandika.

Binafsi sina shida wakazi wa mikoa tofauti na A town wakijiamini kwenye mambo yako. Ni jambo jema hilo.

Sasa unasema kuhusu Nikki na mambo yake ya mahusiano, je hiyo inaleta tija yoyote katika mada tunayojadili?
 
Back
Top Bottom