Tuwe wakweli Jamani, ukiacha wingi wa Mashoga-rijali ambao wapo kwa wingi sana, ambao Arusha pia ni wengi vilevile....ila Mwanza, ule mji ni mzuri kuliko Arusha, una mchanganyiko wa watu wa kutosha kutoka mikoa yote, na nchi zote za maziwa makuu.
Arusha panabebwa na hali ya hewa, otherwise Arusha na pa kikuda na pa kishamba sana, sikiliza lafudhi za watu wakiongea, halafu bado wana mambo ya kigangwegangwe.
Ukienda bei za lodge, lodge ya 25,000 hadi 30,000 Mwanza, Arusha utaipata kwa 60,000 hadi 70,000.
Mwanza wanajitahidi kwa u smart, Arusha hukawii kukutana na mtu amejifunika godoro mwilini na kichwani kajifunga mto wa kulalia.
Ukipanda bodaboda inabidi wewe uwe kama msoma ramani kwenye mashindano ya magari, ukij8fanya abiria basi bodaboda wake utastukia ameshakupitiliza ulipokua unaenda na amekurudisha ulipomchukua, huo mwendo ni kama vile mmetoka kupiga tukio bank au sheli. Arusha kuna mandhari nzuri, sema watu wake ndiyo wa kindezi sana.