Niliyoyaona Jijini Mwanza

Niliyoyaona Jijini Mwanza

Kwenye familia wapo jamaa walihamia huku kitambo hapa nilipo nimekuta vijana wawili wako vibaya kwa matumizi hayo ya madawa ya kulevya na mmoja katoroka sober house hivi juzi tu, achana na majirani, jamii hii ni ubabe, ushoga, bangi, ulevi ndo mkoa ambao wanawake wana hulka za kiume, ,

Najua inawauma ila ndo hivyo mnywe ama mteme, mna ujinga mwingi sana
Wanywe ama wateme☺️☺️☺️😁!!
 
Karibu mno. Binafsi wife huwa namchukulia hapo ama nampeleka. Sema wale vijana wanachekesha Mara wewe dada mwenye nywele za marehemu sogea hapa uchague
Yanii nilikua naenda kusaulaajeee palee! Na zile pochi za mitumba zilizokua zinawekwa pale chini pia zipoo???
 
Mangi tulia...
Hebu msalimie ngabu kwanza
Huyo ameona maisha ya kuendesha Van za delivery za Mc’Donalds hazilipi ameamua kukamata kibibi alelewe. Sasa kibibi kampiga stop kutumia simu wala mawasiliano yoyote, limefungiwa ndani lina kazi ya kufua chupi na kupiga mashine.
 
Wakuu wazima?

Nafikiri kuna kapost kangu niliwah post humu kuuliza sehem nzuri ya kupumzika kwa hapa Mwanza.
Sasa kwa kipindi hiki cha wiki 2 nilizokaa huku hay ndo niliyoyaona na kujifunza

1. Wanawake wanapiga kazi sana huku(wanajishughulisha) mida ya jioni barabarani utakutana nao sana wakiuza either matunda, dagaa, samaki, maharagwe yaliyochemshwa tu, nyanya na vikorombwezo vingine4, pia wanachoma mahindi na kuyauza.

2. Wengi wa wasichana huku ni waoga sana hasa kwa strangers.

3. Draft la huku wengi hucheza French( hawajui kuhusu British).

4. Kila wanapokaa hudhani wote ni wa huku hivyo huongea tu kilugha.

5. Hotels and Lodge za huku no bei rahis sana sana huanzia 30k.

6. Mwanza ni mji mzuri sana, una mandhari nzuri kuliko Arusha( kwa mtazamo wangu)

Asanteni wakuu
Ongea yote ila kuilinganisha na Arusha utakuwa una matatizo sio bure.
 
Kwenye familia wapo jamaa walihamia huku kitambo hapa nilipo nimekuta vijana wawili wako vibaya kwa matumizi hayo ya madawa ya kulevya na mmoja katoroka sober house hivi juzi tu, achana na majirani, jamii hii ni ubabe, ushoga, bangi, ulevi ndo mkoa ambao wanawake wana hulka za kiume, ,

Najua inawauma ila ndo hivyo mnywe ama mteme, mna ujinga mwingi sana
Mtu aliye sawa kichwani hawezi amini unachoandika hapa.

Kumbuka unachokiandika kinadhihirisha kilichojificha kwenye medula yako.

Namna yako yakufikria haipo sawasawa.

Wewe ni mwongo.
 
Mtu aliye sawa kichwani hawezi amini unachoandika hapa.

Kumbuka unachokiandika kinadhihirisha kilichojificha kwenye medula yako.

Namna yako yakufikria haipo sawasawa.

Wewe ni mwongo.
🤣🤣🤣Kwakweli nilikuwaga nawasikia ila kwa nayoona kwa ndg hawa,, Arusha ni mibange na wasela mavi,,, niko njiro mkuu njoo unipige
 
🤣🤣🤣Kwakweli nilikuwaga nawasikia ila kwa nayoona kwa ndg hawa,, Arusha ni mibange na wasela mavi,,, niko njiro mkuu njoo unipige
Njiro sio hadhi yako bibie wewe ni mvaa yeboyebo tu hapo nyegezi na kuongea kilugha kwenye basi
images (14).jpeg
 
Hizo sehemu zote ni mjini na utakutana na jamii ya watu tofauti tofauti, kusikia kilugha ni nadra sana. Utakuwa ulipita shamariwa mkuu.
Hata shamaliwa yenyewe kwa sasa huwezi kuta watu wanaongea kilugha,labda uende mbele huko maeneo ya fumagila....
 
Wewe unaongea yai lako Hilo na huku uk tu hapo Kuna Scottish,welish,and Irish nadhani Scottish huwa anajiona superior mno. Kuna visiwa ukienda uka English yao na yako mnapoteana.


Sasa ziko developed waliamka tu wakajikuta wako developed mkuu ama unaongea kwa hisia huelewi sie huku bado hakujakucha bado Ni usiku ama huelewi.


Wewe ndiye wale mnaotaka tuwe na roads Kama za USA ,na metro Kama ya Russia ama Spain.

Sikia urusi yenyewe achana na Belarus,Kiev or whatever Kuna kabila zaidi ya 80 sema wanatumia Russian language as their national language. Unataka uniambie like Taifa la China wote wale wanaongea Mandarin hakuna ethnic groups mdogo ndogo kweli. Hili suala la kabila lipo kila nchi hata uteme slang yako.
Wahindi wenyewe kuna wengine hawajui kuongea kihindi hata kidogo...wanaongea lugha za ukanda wao mfano watu toka tamil nadu lugha tofauti kabisa na hao wa Mumbai
 
Hahahaaa halooo kwamba njiro kuna jipya lipi! Wasela mavi mko na shida sana bongo zenu zishafyatuka na mibange
Njiro umekuja housegirl sivyo utarudi kwenu soon baada ya kupigwa tukio ukiongea kilugha mjini😅
 
Njiro umekuja housegirl sivyo utarudi kwenu soon baada ya kupigwa tukio ukiongea kilugha mjini😅
Naongea kilugha wala sivungi, bora mie housegirl we msela mavi una nini zaidi ya kuvuta bangi na kuvaa kata kundu,
 
Back
Top Bottom