Niliyoyaona Jijini Mwanza

Niliyoyaona Jijini Mwanza

Kila mkoa unawatu wa hovyo.

Au umesahau hapo Dar es Salaam kuna vijana wa hovyo wanajiita panya road?

Sasa watu wakianza kuandika uhalifu uliowakuta wakiwa miji mingine hapa Tanzania hatutafika mwisho?

Kingine. Mambo ya ubabe enzi za ujana ni kawaida tu. Tena vijana umri miaka 16 - 20?

Hiyo age vijana wengi wadogo wakiume ni kawaida kuonyeshana ubabe wa hapa na pale. Hasahasa shuleni.

Na mimi nasema hiyo ni sawa tu. Miaka hiyo ndiyo miaka ambayo vijana wadogo wanajifunza namna yakuwa wakakamavu lakini pia namna yakujilinda kama kundi.

Ni survival skills. Kama hutokei mtaa utashindwa kuelewa.

Mwisho hongera kwa kumbukumbu nzuri ulipokuwa A town.
Panya road ni waalifu, and they came and go!!

Alafu sipo Dar na huwa sifeel confortable nikiwa Dar kama ilivyokuwa zamani. Nikirudi kusalimia wazee naweza nakaishia kukaa nyumbani tu na kutembelea nearby places ambazo unaweza kwenda hata kwa mguu. Maana Dar ukisema utoke ni mateso ya foleni na fujo zingine!!

Kwakifupi, Dar sio mji wangu wa kwenda kupumzika na ku have fun!!
 
Hotel zao ni bei rahs sana...kuna moja iko nata..ni classic sana ila vyumba vinaanzia 30k ukitaka nitaje jina naweza
Nitajie kama tatu hivi ambazo ni standard.
Moja iwe karibu na stendi kuu kwa kuwa huenda nikafika usiku, nyingine iwe mjini kati na ya tatu iwe karibu na ziwa!
 
Baada ya kusoma maoni ya wadau mbali mbali naomba ku funga mjadala kua MWANZA IPO AHEAD....
 
Arusha cjui iliwakosea nin watu wa Mwanza, ikumbukwe hapa TZ jiji ni moja tu Bongo Dar es salaam
Sijui halafu sisi hatuna muda nao kazi kuanzisha sired na kulinganisha kijiji chao na jiji la Arusha. Ushamba mzigo mkuu wasukuma washamba Sana halafu ni watu wasiojua mambo mengi.
 
Mzee, maandishi yako yanaakisi vile ulivyo.

Ninahakika watu wanaosoma hapa wanaona shida ilipo.

Point ya kuchukua ni hii; jiamini, usiogope watu wengine wanapoamua kuacha unyonge na kujiamini.

A town wameamua kujiamini na kupenda mkoa wao. Je, kuna shida hapo?
Has hahahaha mkuu tuwaambie tu kila mji ni mzuri kuliko Arusha. Maana wamekosa kitu cha kulinganisha nacho wameona Arusha tu? Kwanini Arusha? Hahah hii inadhihirisha jinsi gani A TOWN ni moja ya jiji kubwa Sana Duniani
 
Yani nashindwa kuwaelewa ninyi watu wa mikoa mingine, kwanini munapenda kushindanisha Arusha na miji yenu? Kwanini munapachukia Arusha, ushauri nawapa jengeni miji yenu siyo kutegemea serikali kila kitu.

Huku A Town watu hatuna muda na mtu, ni kusaka chapaa tu, Sasa wee njoo A Town kilelemama utajikuta na bukta tu Kama goli kipa.

ARUSHA.
 
Nyingi mno Na soko ni kubwa kama la buhongwa pia now Kuna jamu balaa
Huu Uzi unataka my hood aisee
Kijereshi,
Nimeondoka huko zamani sanaaa....
Nimefurah KUONA comment za watu wa nyumbani japo hatufahamiani,
Nasikia pamedamshi
Hata hapo machinjioni Kuna daladala sikuizi,

Kwa Sasa +267
Na
 
Back
Top Bottom