Tangiapo Ni kabila kubwa Tanzania inayoongewa na kuelewekwa kwa watu wengi ukiacha kiswahili. Ni Kama Chinese ilivyokwisha kubalika kuwa lugha ya kimataifa kisa inaongewa na watu wengi.
Yaani wasukuma baada ya 100yrs wakiwa wote wamesoma kwa miaka iyo sijui patakuwa panakalika. Na jamaa wamevamia mapori na wanalima ,wanafuga wanafanya biashara yaani kila shughuli ya uzalishaji Mali na wanazaliana so watakuja kuwa wamiliki wa nchi hii nadhani.
Mana watakuwa wanayo ardhi ya kutosha ambayo Ni raslimali muhimu mno.
Cheki Kama wachina walivyoanza kuzagaa duniani. Sema tu Hawa wasukuma wengi sio wasomi wangeweza zagaa kila nchi. Ila wape iyo miaka utakuja kuniambia