Nafikiri waliamishiwa pale mlango mmoja kama sikosei(sina uhakika sana).Hivi lile soko likilokuaga la nguo especially ile mitumba ilokua inamwagwa pale makoroboi lilihamishiwaga wapii??? 🤔
Siku ya kufungua yale ma baloo nilikuaga natingajee kusagula viwalo vya mtumba juzikati nilipita nikaambiwa lilihamishwa !!
Duh mlango mmoja mbalii afu bei kubwaaaa kishenzNafikiri waliamishiwa pale mlango mmoja kama sikosei(sina uhakika sana).
Lile soko lilikuwa linafurika watu balaa hasa watoto wakike.
pale mlango mmoja wana bei za kitalii sana sijajua sasa hivi, ila pale makoroboi aiseee vitu vilikuwa bei chee sana hasa bidhaa za watoto wa kike.Duh mlango mmoja mbalii afu bei kubwaaaa kishenz
Yaniii ilikua ukienda hata na 20 tu unarudi na nguo rundoo za jero buku huku 2 nguo nzureee☺️
Naishi Kisesa mwaka wa pili huu, sehemu nyingi Mwanza wanapiga kisukuma. Hata salamu wanaanza kukusalimu kisukuma hata mjiniHizo sehemu zote ni mjini na utakutana na jamii ya watu tofauti tofauti, kusikia kilugha ni nadra sana. Utakuwa ulipita shamariwa mkuu.
20 unaondoka na rundo za jero jero na buku buku. Asee hatari sanaDuh mlango mmoja mbalii afu bei kubwaaaa kishenz
Yaniii makoroboi ilikua ukienda hata na 20 tu unarudi na nguo rundoo za jero buku huku 2 nguo nzureee☺️
Kabisa mkuu juzikati nilienda mlango mmoja na vijisenti vyangu vya kubip aloo niliondoka na vitu sijui vitatu☺️☺️🙌🙌!pale mlango mmoja wana bei za kitalii sana sijajua sasa hivi, ila pale makoroboi aiseee vitu vilikuwa bei chee sana hasa bidhaa za watoto wa kike.
Ila we jamaaMwanza wanawake wanakimbiza baiskeli kinoma, tena wanaendesha zile Phoenix alaf mrembo kuwazidi wenzake baiskeli yake inakua ina swaga flan hivi anaitolea kiti Cha nyuma anaweka na bendera ya Simba au yanga hapo mbele
Eendiwoooooooo mkuu Siku za kufungua baloo20 unaondoka na rundo za jero jero na buku buku. Asee hatari sana
nilifika mwanza mwaka jana june kwa mara ya kwanza nilishangaa ni mji mzuri na mkubwa tu na watu wengi Arusha haifikii mwanza.Wakuu wazima?
Nafikiri kuna kapost kangu niliwah post humu kuuliza sehem nzuri ya kupumzika kwa hapa Mwanza.
Sasa kwa kipindi hiki cha wiki 2 nilizokaa huku hay ndo niliyoyaona na kujifunza
1. Wanawake wanapiga kazi sana huku(wanajishughulisha) mida ya jioni barabarani utakutana nao sana wakiuza either matunda, dagaa, samaki, maharagwe yaliyochemshwa tu, nyanya na vikorombwezo vingine4, pia wanachoma mahindi na kuyauza.
2. Wengi wa wasichana huku ni waoga sana hasa kwa strangers.
3. Draft la huku wengi hucheza French( hawajui kuhusu British).
4. Kila wanapokaa hudhani wote ni wa huku hivyo huongea tu kilugha.
5. Hotels and Lodge za huku no bei rahis sana sana huanzia 30k.
6. Mwanza ni mji mzuri sana, una mandhari nzuri kuliko Arusha( kwa mtazamo wangu)
Asanteni wakuu
We jirani yangu mkuu, nina plot hapo karibu na chuo ya mipango.Naishi Kisesa mwaka wa pili huu, sehemu nyingi Mwanza wanapiga kisukuma. Hata salamu wanaanza kukusalimu kisukuma hata mjini
Wanawake mnafaida kubwa sana aiseee, nakumbuka sana dadaa walikuwa wakienda kusagura na vijisenti ila wanarudi meno yote nje wamebeba za kutosha.Eendiwoooooooo mkuu Siku za kufungua baloo
Mhuu sio kweli ukipanda hiace utajua watu wanazungumza nini, nenda migahawani humoKwenye kilugha ni uongo, Mwanza imejaza watu wa mikoa mbali mbali. Hasa mkoa wa Mara, lugha itumikayo ni kiswahili tu.
Pale huwa wanauza wameridhika sana, sijui kodi ni kubwa ndo maana.Kabisa mkuu juzikati nilienda mlango mmoja na vijisenti vyangu vya kubip aloo niliondoka na vitu sijui vitatu☺️☺️🙌🙌!
Mlango mmoja bei siooo!!
Hio ipo applicable sehemu nyingi sana Tanzania nipo mkoa mwingine hio pia ipo sana hata huku!Mhuu sio kweli ukipanda hiace utajua watu wanazungumza nini, nenda migahawani humo
Sijaelewa hii, wanachezaje?Sahihi Toka ukanda wa Singida wanacheza mbele na nyuma nilishangaa sana mara ya kwanza
Tatizo watu wanaotoka mikoa tofauti na A town (ukiondoa Kilimanjaro) wana inferiority complex wakikutana na vijana/wakazi kutoka A town.Mwanza ni pazuri kuliko Arusha,
Arusha wana usela mavi wa kisenge sana.
Mwanza unatembea usiku kucha pale mjini husumbuliwi na mtu, hata watoto wa wakoma wamepoa.
Arusha ikifika saa 3 kila mtu kajifungia
Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Mwanza kutamu bana,binafsi napambana nihamie Mwanza,inshallah nitafanikiwa tu 🙏Arusha haiifikii Mwanza bna, Mwanza level nyingne
Kama unafuatilia na ulikaa nao watu wa Arusha mara nyingi wao ndo wanasifia mji wao na usela wao hakuna mtu ana wasifia ..Mwanza ni pazuri kuliko Arusha,
Arusha wana usela mavi wa kisenge sana.
Mwanza unatembea usiku kucha pale mjini husumbuliwi na mtu, hata watoto wa wakoma wamepoa.
Arusha ikifika saa 3 kila mtu kajifungia
Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app