Niliyoyaona Jijini Mwanza

Niliyoyaona Jijini Mwanza

Hizo sehemu zote ni mjini na utakutana na jamii ya watu tofauti tofauti, kusikia kilugha ni nadra sana. Utakuwa ulipita shamariwa mkuu.
Najua nnachosema mzee...kote huko mekuta watu wanaongea kilugha....
 
Mwanza ni pazuri kuliko Arusha,
Arusha wana usela mavi wa kisenge sana.

Mwanza unatembea usiku kucha pale mjini husumbuliwi na mtu, hata watoto wa wakoma wamepoa.

Arusha ikifika saa 3 kila mtu kajifungia

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
 
Asante sana...nilikuwa hapo ndam jana maeneo ya Eden nikipga kitimoto saaf kabisaaa
Sikumbuki vizuri hapo Eden unakua jiran na ITALIAN PUB
Kuna mshikaji mmoja kipindi Fulani nilikua namsindikiza ku supply kitimoto🤓

Ni kitambo iyo aisee enzi izo watu wana u copy u dar es salaam na ku u paste mwanza 🤓
 
Wakuu wazima?

Nafikiri kuna kapost kangu niliwah post humu kuuliza sehem nzuri ya kupumzika kwa hapa Mwanza.
Sasa kwa kipindi hiki cha wiki 2 nilizokaa huku hay ndo niliyoyaona na kujifunza

1. Wanawake wanapiga kazi sana huku(wanajishughulisha) mida ya jioni barabarani utakutana nao sana wakiuza either matunda, dagaa, samaki, maharagwe yaliyochemshwa tu, nyanya na vikorombwezo vingine4, pia wanachoma mahindi na kuyauza.

2. Wengi wa wasichana huku ni waoga sana hasa kwa strangers.

3. Draft la huku wengi hucheza French( hawajui kuhusu British).

4. Kila wanapokaa hudhani wote ni wa huku hivyo huongea tu kilugha.

5. Hotels and Lodge za huku no bei rahis sana sana huanzia 30k.

6. Mwanza ni mji mzuri sana, una mandhari nzuri kuliko Arusha( kwa mtazamo wangu)

Asanteni wakuu

Kwenye draft Mwanza hucheza haswa British na wala sio French, point to ammend.

Nenda Pale Usagara NjiaPanda wanacheza sana British
 
Na pale makoroboi
Hivi lile soko likilokuaga la nguo especially ile mitumba ilokua inamwagwa pale makoroboi lilihamishiwaga wapii??? 🤔
Siku ya kufungua yale ma baloo nilikuaga natingajee kusagula viwalo vya mtumba juzikati nilipita na visenti bubu nikaambiwa lilihamishwa !!
 
Back
Top Bottom