Mie pia aiseee, yaani nikisikia hivyo nakumbukia home kabisaaHuu Uzi unataja my hood aisee nimeondoka huko zamani sanaaa....
Kwa Sasa +267
Daladala za kutosha mpaka kakebe hukooooHuu Uzi unataka my hood aisee
Kijereshi,
Nimeondoka huko zamani sanaaa....
Nimefurah KUONA comment za watu wa nyumbani japo hatufahamiani,
Nasikia pamedamshi
Hata hapo machinjioni Kuna daladala sikuizi,
Kwa Sasa +267
Sijakataa mkuu labda mambo yamebadilika siku hizi.Najua nnachosema mzee...kote huko mekuta watu wanaongea kilugha....
SAUT ndiyo inamwaga totoz mwanzaLakini totoz wapo wakutosha utapiga pussy mpaka ukimbie
Na pale makoroboi
Wazee wa Olasiti mbona mmechafukwa??Huwezi kuitaja Mwanza tu mpaka uhiusishe na Arusha!? Kwanin munapenda kushindanisha Icho kijiji chenu na jiji la Arusha?
Wewe utakua umetoka maeneo jirani sana...Daladala za kutosha mpaka kakebe hukoooo
Sikumbuki vizuri hapo Eden unakua jiran na ITALIAN PUBAsante sana...nilikuwa hapo ndam jana maeneo ya Eden nikipga kitimoto saaf kabisaaa
Uzuri wa mwanza ni watu wake aiseee, mwanza mjini unatembea usiku bila wasiwasi kabisa yaani mwanza ni the best.Nimeshapamiss Mwanza !!
Wakuu wazima?
Nafikiri kuna kapost kangu niliwah post humu kuuliza sehem nzuri ya kupumzika kwa hapa Mwanza.
Sasa kwa kipindi hiki cha wiki 2 nilizokaa huku hay ndo niliyoyaona na kujifunza
1. Wanawake wanapiga kazi sana huku(wanajishughulisha) mida ya jioni barabarani utakutana nao sana wakiuza either matunda, dagaa, samaki, maharagwe yaliyochemshwa tu, nyanya na vikorombwezo vingine4, pia wanachoma mahindi na kuyauza.
2. Wengi wa wasichana huku ni waoga sana hasa kwa strangers.
3. Draft la huku wengi hucheza French( hawajui kuhusu British).
4. Kila wanapokaa hudhani wote ni wa huku hivyo huongea tu kilugha.
5. Hotels and Lodge za huku no bei rahis sana sana huanzia 30k.
6. Mwanza ni mji mzuri sana, una mandhari nzuri kuliko Arusha( kwa mtazamo wangu)
Asanteni wakuu
Hivi lile soko likilokuaga la nguo especially ile mitumba ilokua inamwagwa pale makoroboi lilihamishiwaga wapii??? 🤔Na pale makoroboi
Mimi nilishangaa sana nilipofika moro eti ni mbele tu(british)Sahihi Toka ukanda wa Singida wanacheza mbele na nyuma nilishangaa sana mara ya kwanza