Dr Count Capone
JF-Expert Member
- Feb 7, 2017
- 1,875
- 3,236
Mkuu hizi dini zote zimemwaga damu za watu wasotajika idadi, ni vile hatuelezwi yaliyokuwa yakitokea hapo zamani tu.Wanajificha chini ya mwavuli wa "Mungu ni mmoja", na kwamba dini yao ni ya amani wakati kila siku wanamwaga damu za watu wasio na hatia kwa jina la huyo Mungu wao.
Ni kweli wanabuabudu mungu mmoja ambaye ni Allah. Na Wakristo wanamuabudu Mungu mmoja ambaye ni Yehova. Hatujawahi kushirikiana kumuabudu Mungu mmoja, iwe Allah au Yehova
Na sasa Uislamu sababu ni contemporary basi unapata attention yote ila kuna mishenzi iliua watu kifala ikatumia Ukristo manina zao kama ilivyo mishenzi ya sasa inayotumia Uislamu.