Wanazuoni wa Dini za Kikristo na Kiislam (Dr Sule na Pastor Ndacha ) wameandaa mdahalo wa Dini hizi mbili hapo Ukumbi wa PTA tarehe 16 na 17 December 2023.
Katika mahojiano yao kupita Vivo online tv, wamejinasibu kuwa mdahalo huo utakuwa wa kistaarabu na wenye kuimarisha imani za waumini wao. ninapenda kupata maoni yako je
1. Midahalo ya dini kama hiyo itatusaidia katika imani zetu
2. Tunakumbuka enzi za nyuma wakati midahalo kama hiyo ilipokuwa inaendeshwa huku nukuu nyingi zikiwa ni zile za biblia tu, je katika enzi zetu ambapo watu wamepata kujua kwa undani kilichoandikwa kwenye Quran na Hadithi za Mtume, je Waislam watahimili mdahalo kama huo.
3. Je unaafiki wanazuoni hao kutoza kiingilio cha Tsh. 20,000 kwenye mdahalo huo.
4. Going forward je midahalo kama hiyo ifanyike waziwazi?
Katika mahojiano yao kupita Vivo online tv, wamejinasibu kuwa mdahalo huo utakuwa wa kistaarabu na wenye kuimarisha imani za waumini wao. ninapenda kupata maoni yako je
1. Midahalo ya dini kama hiyo itatusaidia katika imani zetu
2. Tunakumbuka enzi za nyuma wakati midahalo kama hiyo ilipokuwa inaendeshwa huku nukuu nyingi zikiwa ni zile za biblia tu, je katika enzi zetu ambapo watu wamepata kujua kwa undani kilichoandikwa kwenye Quran na Hadithi za Mtume, je Waislam watahimili mdahalo kama huo.
3. Je unaafiki wanazuoni hao kutoza kiingilio cha Tsh. 20,000 kwenye mdahalo huo.
4. Going forward je midahalo kama hiyo ifanyike waziwazi?