Nilimuheshimu sana kama kaka, leo hii ananitaka

Nilimuheshimu sana kama kaka, leo hii ananitaka

Iseee kweli niamini wanaume sio watu wakuaminika hata umuite kaka hata umuite baba tpuu

Ni kweli kbs Loly kutuita kaka au baba haiondoi uzuri/mvuto wa kimahaba kwako. Hiyo ni nature huwezi iondoa. We mpe tu
 
Kuna rafiki yangu mmoja alinikutanisha na kaka yake kama mwaka moja sasa kulikua kuna ishu flani hivi akaniambia kaka yake anaweza kunisaidia basi nikashukuru sana.

Uzuri alinisaidia kweli nikaka anaeonekana makini sana kwenye mambo yake.Na ni very strictly namuheshimu kama kaka kama baba naajua namuheshimu na ni mtu anayependa kunionya mengi nakunihasa sana huwa namuona nizaidi yakaka wakati mwingine.

Sasa chakushangaza sasa hivi ananitokea sikutegemea kabisa nasiwezi, nasitoweza, namuheshimu mno.Kila mara huwa nampotezea najifanya simuelewi .

Lakini yeye ndio kwanza yupo serious naogopa kumwambia rafiki yangu maana hataweza kuamini kabisa maana kama kukutana na totoz anawaona wengi na wala hana tyme.

Sasa leo hii nikimwambia sinitaonekana mzushi, nikijidai kumkaushia anakuwa mkali kwa mdogo wake ambae ni rafiki yangu.Hadi ananiamba kwanini kaka anakupigia hupokei amekwambia umpigie sasa.

Mimi naona aibu kwavile namuheshimu mno yeye ananiambia maneno mazito mazito kwenye simu naona aibu sana.

Hivi wanaume mkoje hamna cha dada kwanini msiwe na heshima mkiheshimiwa?

Ndio nini kuja kunizungumzia huku?na lini nimekuwa baba yako au kaka yako.mahusiano yote huanza na ukaka na udada ndipo mapenzi yanachomoza labda mapenzi ya kununua ndio hayaanzi na udada na ukaka
 
Nini? Siwezi kabisa yaani sithubutu na sitothubutu kitu kama hicho ili mwisho wake ijekuwaje sasa?

Wewe ni mtu mzima sasa nakushauri Ki utu uzima nakuomba Fanya zoezi la kumchunguza kama anataka kula tende makapi atupe mpotezee! Lakini kama anataka kula mua na makapi awake kuwashia moto mpe nafasi huenda mitihani yake umeifaulu yote ameona akupe nafasi ndani ya mzunguko wa maisha yake ya Leo na ya kesho kuwa makini Kwa hili hakuna ajuae ataishi na Nani katika maisha
 
Nyie vibinti nyie?? Eti kaka yako hivi unamjua kaka yako ww? Kaka yako ni yule mliozaliwa tumbo moja. Kwan waliokugegeda hawakuwa kama kaka yako?
Hebu nenda kamvulie jamaa kule
 
Hivi Kuna mwanaume anayetongoza mabinti wanaomdharau?.Maanake umekomalia sana hilo.Kumheshimu siyo sababu ya msingi wewe toa pochi hiyo acha kuleta manyoka nyoka!:How old are you?
 
Kuna rafiki yangu mmoja alinikutanisha na kaka yake kama mwaka moja sasa kulikua kuna ishu flani hivi akaniambia kaka yake anaweza kunisaidia basi nikashukuru sana.

Uzuri alinisaidia kweli nikaka anaeonekana makini sana kwenye mambo yake.Na ni very strictly namuheshimu kama kaka kama baba naajua namuheshimu na ni mtu anayependa kunionya mengi nakunihasa sana huwa namuona nizaidi yakaka wakati mwingine.

Sasa chakushangaza sasa hivi ananitokea sikutegemea kabisa nasiwezi, nasitoweza, namuheshimu mno.Kila mara huwa nampotezea najifanya simuelewi .

Lakini yeye ndio kwanza yupo serious naogopa kumwambia rafiki yangu maana hataweza kuamini kabisa maana kama kukutana na totoz anawaona wengi na wala hana tyme.

Sasa leo hii nikimwambia sinitaonekana mzushi, nikijidai kumkaushia anakuwa mkali kwa mdogo wake ambae ni rafiki yangu.Hadi ananiamba kwanini kaka anakupigia hupokei amekwambia umpigie sasa.

Mimi naona aibu kwavile namuheshimu mno yeye ananiambia maneno mazito mazito kwenye simu naona aibu sana.

Hivi wanaume mkoje hamna cha dada kwanini msiwe na heshima mkiheshimiwa?

Na ningemshangaa sana kama angekaa kimya bila kukuomba mzigo, kwani ukimpa itafutika,??? Labda kama bado ujatolewa Ozone Layer hapo unaweza kumfikilia kidogo
 
Yani Wanawake!
Basi Tu.
Kwaiyo Mtu Akikupenda Anageuka Wa Ajabu Akikwambia.
Tutafika Tu Lakini
 
ni vigumu sana kuwa na mtu ambae si kaka wa damu mnawasiliana tu, lazima mwanaume aombe shimo thats nature,
ndio maana hata baba mwenye nyumba huwa hataki mazoea ya mpangaji wa kiume na familia yake kwani shimo kuliwa ni within a minute
 
Wanawake wana vituko, utakuta mnaheshimiana na binti, ukimtongoza anasema nilikua nakuheshimu kumbe uko hivyo unaniambia mambo ya kijinga.

Unajiuliza hivi kumbe wanaopewa penzi ni wasioheshimika na wenye mambo ya kijinga kijinga,wenye kuheshimiana hakuna ila wasioheshimiana ndio wanapewa penzi.

Kwani wewe binti huyo kaka huwezi kumpa,mmetoka nae tumbo moja?acha mambo ya ajabu,kumheshimu mtu ndio humpi penzi?

Spot On.
Yan Mtu Unamtongoza KirohoSafi Anaanza Kusema Nlikua Nakuheshimu Sijui Nini.
Kama Mapenzi Ni Upumbavu,Ujinga,UpuuziNa Mambo Ya Ajabu Basi Na Yeye Ni Result Ya Ayo Mambo Ya Ajabu Na Upuuzi Upumbavu Na Ujinga Ambao Mamaake Aliambiwa Na Babaake Akakubali Kufanya.Huo Ujinga Ndo Akatokea Yeye.
Pumbavu Zao Mademu Wote Mnaojibu Ivyo.
SHENZI KABISA.
 
Back
Top Bottom