Nilimuheshimu sana kama kaka, leo hii ananitaka

Nilimuheshimu sana kama kaka, leo hii ananitaka

Cjapanick Kaka Nipo Kawaida Tu.
Nimejaribu Kuwapa Ao Wanawake Wanaojiona Keki Na Kutuona Sie Wapuuzi Wakati Ivyo Vitu Ni Nature Ata Kwenye Biblia Vipo.

Hongera mkuu,Umechangia vizuri sana na umeeleweka.
 
Sijaelewa hapo issue humpendi huyo kaka ama unamheshimu sana sielewi ama ni padri ama ana mke. Mkishaduu kila kitu kinanyooka
 
kaka yako ni yule uliyezaliwa nae au uliyenyonya nae ziwa moja.

Huyo anaweza kukuoa basi hawezi kuwa kaka yako ni kama mwanamme yeyote tu.

Chungeni, zinaa ni haramu kwa imani zote kasoro ushetani tu.

jibu zuri sana-aseme hampendi tu ama jamaa mkubwa kwake nk
 
Hapa umeleta tu utoto hamna lingine. You could be an underage kwa uzi huu, kutongozwa ni kawaida sana kwa jinsia ya kike, hata mbuzi jike anatongozwa mbona.
 
Komaa km humtaki bas ni humtak mpk mwsho, na mwambie ukwel kuwa wew unamheshimu kama kaka. Kwahyo hilo analotaka kwako halitawezekana, onyesha msimamo kabsa siyo unamwambia huku unacheka cheka..!!
 
Usimkubalie huyo kaka anataka ku take advantage ya misaada yake nimekupenda bure na hio misimamo yako endelea hivyohivyo mpaka utakapofika umri wa kuolewa maana sasa hivi watu wamehalalisha uzinzi na pia ujifunze kuachakumtegemea mwanadamu " na alaaniwe amtegemeaye mwanadamu"
 
Huyo mwanaume anakufaa sana. We jibaraguze tu. Siku utakapolainika usisahau kuja kutusumulia
 
Wewe nawe, me nikajua kaka yako Wa damu, kumbe kaka Wa rafiki yako ndo unakuja kujaza server hapa!!! Kama himpendi mwambie lakini kusema hukutegemea ni ijinga kwani amekuwa baba yako au ndugu yako mzazi???
Hebu KUBWIKA huko😡😡😡
 
Someone is seeking justification here.
Wewe tayari umeishavuliwa pichu bila kutarajia na sasa unahaha kumkeep jamaa ila unashindwa kujua utamwambiaje rafiki yako. Kuwa muwazi kwa huyo rafiki yako kuwa umeishavua chupi mguu mmoja na hata huo mwingine uliobakia chupi ipo kwenye kisigino
 
Na endelea kumheshim hivo hivo hadi siku utakaposhangaa anakuwa mumeo!
 
kama Ulikuwa Una Muheshimu Hata Hilo Ungemsadia Maana Hakuna namna tena
 
Wanaume wengine huwa wanafanya makosa ya kimsingi kama haya,ni hivi:-
1: kama upo interested na mwanamke piga kwanza msaada baadae.
2: wanawake huwa hawana ujanja wakiwa na shida,pigeni muda huo jamani.
3: hakuna kiumbe chenye nyodo kali kama mwanamke pindi anapokuwa hana shida.
4: mwanamme hasiwe na ustaraabu mbele ya mwanamke when it comes to mapenzi.

Nawasilisha,walionielewa wamenielewa
 
Back
Top Bottom