Nilimuheshimu sana kama kaka, leo hii ananitaka

Nilimuheshimu sana kama kaka, leo hii ananitaka

Kama nikikuta dem wangu anaomba ushauri kwenye ishu kama hii nafukuza kabisa
Inamaana hujui cha kufanya hapo!!
 
Hili ndo tatizo la wasichana wengi hasa Watanzania. Kwani akikutongoza kwa heshima zote amekukosea nini heshima? Anakutongoza kiustaaarabu, na wewe mjibu kiustaarabu kwamba haitawezekana wewe kua nae. Kwanini unaanza kumkimbia. Just be straight forward, 'hey, I don't have any feelings for you' au, 'am not ready to be in a relatioship with you". Acha kumkimbia kaka wa watu. Mweleze kiustaaarabu kwamba hauko tayari kua na yeye kimapenzi. Kama he isnt's a jack a**, ataelewa tu. Hizi ni zama za ukweli na uwazi. Ila usimtumie kwa manufaa yako maana hapo ndo mnapokoseaga wadada. Hayo ni mawazo yangu tu.
 
Ikuwa na ujasiri umueleze waziwazi juu ya hisia zako kwake name unavyomchukulia naamini atakuelewa na kujua nafasi yake kwako
 
Sasa mtu unayemuheshimu hafai kuwa mpnz wako?r
 
Wanawake wana vituko, utakuta mnaheshimiana na binti, ukimtongoza anasema nilikua nakuheshimu kumbe uko hivyo unaniambia mambo ya kijinga.

Unajiuliza hivi kumbe wanaopewa penzi ni wasioheshimika na wenye mambo ya kijinga kijinga,wenye kuheshimiana hakuna ila wasioheshimiana ndio wanapewa penzi.

Kwani wewe binti huyo kaka huwezi kumpa,mmetoka nae tumbo moja?acha mambo ya ajabu,kumheshimu mtu ndio humpi penzi?
 
Loly

Amekuheshimu ndio maana amekutokea!!
 
Last edited by a moderator:
Iseee kweli niamini wanaume sio watu wakuaminika hata umuite kaka hata umuite baba tpuu

mwanaume ambae hawezi kukutaman ni kaka yako na baba yako tu wengine wote wanaweza kutaman wakugegede...........
 
it's easy when its normal ,but its hard when its comes to love.there is line between u two,line of respect so don't blame him for crossing that line ,because ur the one who afraid to........... ask ur heart and u 'll find love .quoted from my brother
 
Ukikuwa utamkubalia tu,unaonekana hata ungo bado hujavunja,kitu kidooogo yaani kutongozwa ndio unahitaji ushauri?
 
Yaan wanawake wengine jaman yaan kutongozwa shida usipotongozwa uanze kujihisi pia sasa unataka iweje....tongozeka watu wapime oil
 
Kwahiyo hili nalo la kuleta jf?? Au yuko humu unataka asome? Hebu copy hii umtumie huko, usituchoshe sie, kwani huyo ndio wa kwanza kukutongoza?? Kaka yako mmezaliwa tumbo moja huyo?? Mxiiiiuuuuuuu!! Sasa tukianza kuleta ya kila anayetutongoza humu kweli patatosha humu??
Msipotongozwa mnamlilia Mungu, mkitongozwa mnalalamika, sasa what do you want??
 
Pipo zingine bana! Yaan hueleweki kama ilivo nanliu yako! Hiv iko nyuma,ama mbele, ama juu au chini ama katikati ya miguu yako?
 
Back
Top Bottom