Hii miradi siyo ya Hayati Magufuli, ni ya nchi. Waziri Makamba kuwa makini sana

Fatma-Zehra

Senior Member
Oct 18, 2020
192
1,062
Kaka Janu shikamoo.

Naomba leo nikupe ukweli ambao wengi hatuufahamu.

"Wenye nchi yao", baada ya kuona taifa linalegalega, waliamua kumtafuta mwendawazimu mmoja ili alirudishe kwenye reli. Kwa ustadi mkubwa sana walifanikiwa kumchanganya JK kiasi kwamba amekuja kushtuka tayari JPM ni candidate na ana ulinzi mkali sana. Hatimaye, JPM akawa president.

JPM aliwekwa pale kwa ajili ya kusimamia kwa dhati, nguvu, na kwa kutumia kila aina ya njia, utekelezaji wa mipango mingi ya kwenye makabati. Hii ni mifano ya miradi ya nchi ambayo siyo ya JPM na ambayo imefungamana na national interests including national security.

1. Jeshi na taasisi za kiusalama kuwa Dodoma PLUS serikali kuwa Dodoma.
2. SGR
3. Bwawa la Mwl Nyerere
4. Ndege, meli, bandari, na miundombinu mingine mingi mikubwa.
5. Mapambano ya kisayansi ya ufisadi na masuala ya usalama wa taifa.

Hii miradi ilianzishwa na Mwl Nyerere. Mzee Mwinyi hakuifanya sana kwa sababu Nyerere aliacha taifa masikini sana kwa sababu ya sera zake za uchumi na vita ya hovyo na ya kibinafsi ya Uganda. Mzee Mwinyi akashindwa pia kwenda mbali maana alikuwa legelege na ufisadi pia ukaitafuna serikali yake. Ila sera zake ziliitoa nchi katika mateso ya uchumi wa Nyerere kwa kiasi fulani.

Mkapa had a focus. Alikuta nchi haiko stable. He inherited an inflation of 37%. He brought it to 4.1%. Kwa bahati mbaya, mwaka 1995, baada ya kuwa candidate wa CCM, sherehe yake ya kumpongeza kuwa candidate ilihudhuriwa na kijana wa miaka 25 hivi, anayeitwa Rostam. Mimi ninaamini, Rostam ndiye aliyemharibu Mkapa. Mambo aliyotakiwa kufanya Ben, ni pamoja kuhamia Dodoma na alifanya hiyo kazi kiasi flani, miundombinu ya kimkakati, yes he did kiasi chake, lakini pia swala la energy na ulinzi na usalama. Hakufanikiwa sana maana nguvu nyingi zilikwenda kuimarisha uchumi kwanza. Kilichomsaidia ni kuwa na Governer wa Central Bank ambaye alikuwa ana uwezo mkubwa sana kichwani na ambaye alikuwa practicing economist. Hakuwa mwalimu wa uchumi kama hawa waliokariri makaratasi and several western economic models. Hawajui hata nchi inataka nini.

Mkapa alipoondoka, nchi ilikuwa imeonyesha mwelekeo mkubwa sana wa kiuchumi. JK alikuta hazina imeshiba. Alianza kutekeleza miradi ya kimkakati kwa kiasi chake lakini hakufanikiwa. Kwa mfano, alitamani kujenga SGR but akawa hana pesa. Bwawa la umeme hakuwa na pesa lakini pia alikuwa ni darling wa western world. Hakutaka kuwakwaza wakubwa. Kwa bahati mbaya, utawala wake ulighubikwa pia na ufisadi ulioshiba na ajali nyingi za kujitakia za kisiasa. PM wake wa kwanza angalau alikuwa anafahamu wapi taifa linatakiwa kufika. Hata hivyo, yeye na mwenzake, walijikuta serikali yao inakosa focus mapema sana. Maana walitaka kufanya kila kitu. Taifa lilisogea lakini at a declining pace! Sasa kaka January, baada ya kutokueleweka kwa direction ya taifa, ndipo "Wenye nchi yao", wakaja na mpango wa kumpata mtu ambaye siyo tu kwamba ni mwendawazimu, lakini atatekeleza mambo yote yaliyoko kwenye makabati. Mimi kwa uelewa wangu mdogo, ninaamini, JPM aliandaliwa kwa ustadi mkubwa sana mwishoni au katikati ya mwaka 2009. Na aliyetumika kukamilisha mwanzo wa huo mpango wa yeye kuwa President alikuwa ni Premier Pinda. Mizengo alitekeleza bila kujua. Na baada ya mizengo kutekeleza, akaachwa pembeni. Wakaendelea na plan yao.

JPM alipewa kazi ya kutekeleza hayo niliyoyataja hapo juu. Kwa bahati mbaya au nzuri, JPM alikuwa anapenda sifa sana. Aliyatekeleza sana na kwa nguvu na kwa speed kubwa ambayo was not expected na ikaonekana kama hii miradi ni ya kwake. This's the fact. Hii miradi siyo ya JPM. Ni ya nchi. Usipoitekeleza, au kuikanyaga, unaikanyaga nchi na mifumo yake ambayo siyo rafiki kwakweli.

Ushauri wangu: Pamoja na roho aliyokuwa nayo JPM, na pamoja na ujinga wake na uwendawazimu mwingi aliokuwa nao, usifikiri figisu dhidi ya bwawa la Nyerere na miradi mingine itamuacha mtu yeyote salama. You're my brother. "Wenye nchi yao", ambao siyo watu "wema" are watching and monitoring. Nahisi mama kabadilika baada ya kufahamu ukweli. Kindly thank me later bro. My greetings to Wifi. Shemeji yako ananisubiri. Ngoja akapewe anachotaka.
 
JPM alipewa kazi ya kutekeleza hayo niliyoyataja hapo juu. Kwa bahati mbaya au nzuri, JPM alikuwa anapenda sifa sana. Aliyatekeleza sana na kwa nguvu na kwa speed kubwa ambayo was not expected na ikaonekana kama hii miradi ni ya kwake. This's the fact. Hii miradi siyo ya JPM. Ni ya nchi. Usipoitekeleza, au kuikanyaga, unaikanyaga nchi na mifumo yake ambayo siyo rafiki kwakweli.
Hivyo ikawabidi watupeleke 17/3 ili kukomesha miradi kuonekana ya mtu na siyo ya taifa?
 
hizi nchi zetu za dunia ya tatu zina shida sana, hao wenye nchi zao (kama kweli wapo km unavyodai) ni heri wangejikita kutengeneza taasisi imara watasaidia sana badala ya kuweka mtu mmoja ainyooshe nchi haitasaidia chochote maana mtu hadumu km tulivyoona ila taasisi zipo milele,
 
Kaka Janu shikamoo.

Naomba leo nikupe ukweli ambao wengi hatuufahamu.

"Wenye nchi yao", baada ya kuona taifa linalegalega, waliamua kumtafuta mwendawazimu mmoja ili alirudishe kwenye reli. Kwa ustadi mkubwa sana walifanikiwa kumchanganya JK kiasi kwamba amekuja kushtuka tayari JPM ni candidate na ana ulinzi mkali sana. Hatimaye, JPM akawa president.

JPM aliwekwa pale kwa ajili ya kusimamia kwa dhati, nguvu, na kwa kutumia kila aina ya njia, utekelezaji wa mipango mingi ya kwenye makabati. Hii ni mifano ya miradi ya nchi ambayo siyo ya JPM na ambayo imefungamana na national interests including national security.

1. Jeshi na taasisi za kiusalama kuwa Dodoma PLUS serikali kuwa Dodoma.
2. SGR
3. Bwawa la Mwl Nyerere
4. Ndege, meli, bandari, na miundombinu mingine mingi mikubwa.
5. Mapambano ya kisayansi ya ufisadi na masuala ya usalama wa taifa.

Hii miradi ilianzishwa na Mwl Nyerere. Mzee Mwinyi hakuifanya sana kwa sababu Nyerere aliacha taifa masikini sana kwa sababu ya sera zake za uchumi na vita ya hovyo na ya kibinafsi ya Uganda. Mzee Mwinyi akashindwa pia kwenda mbali maana alikuwa legelege na ufisadi pia ukaitafuna serikali yake. Ila sera zake ziliitoa nchi katika mateso ya uchumi wa Nyerere kwa kiasi fulani.

Mkapa had a focus. Alikuta nchi haiko stable. He inherited an inflation of 37%. He brought it to 4.1%. Kwa bahati mbaya, mwaka 1995, baada ya kuwa candidate wa CCM, sherehe yake ya kumpongeza kuwa candidate ilihudhuriwa na kijana wa miaka 25 hivi, anayeitwa Rostam. Mimi ninaamini, Rostam ndiye aliyemharibu Mkapa. Mambo aliyotakiwa kufanya Ben, ni pamoja kuhamia Dodoma na alifanya hiyo kazi kiasi flani, miundombinu ya kimkakati, yes he did kiasi chake, lakini pia swala la energy na ulinzi na usalama. Hakufanikiwa sana maana nguvu nyingi zilikwenda kuimarisha uchumi kwanza. Kilichomsaidia ni kuwa na Governer wa Central Bank ambaye alikuwa ana uwezo mkubwa sana kichwani na ambaye alikuwa practicing economist. Hakuwa mwalimu wa uchumi kama hawa waliokariri makaratasi and several western economic models. Hawajui hata nchi inataka nini.

Mkapa alipoondoka, nchi ilikuwa imeonyesha mwelekeo mkubwa sana wa kiuchumi. JK alikuta hazina imeshiba. Alianza kutekeleza miradi ya kimkakati kwa kiasi chake lakini hakufanikiwa. Kwa mfano, alitamani kujenga SGR but akawa hana pesa. Bwawa la umeme hakuwa na pesa lakini pia alikuwa ni darling wa western world. Hakutaka kuwakwaza wakubwa. Kwa bahati mbaya, utawala wake ulighubikwa pia na ufisadi ulioshiba na ajali nyingi za kujitakia za kisiasa. PM wake wa kwanza angalau alikuwa anafahamu wapi taifa linatakiwa kufika. Hata hivyo, yeye na mwenzake, walijikuta serikali yao inakosa focus mapema sana. Maana walitaka kufanya kila kitu. Taifa lilisogea lakini at a declining pace! Sasa kaka January, baada ya kutokueleweka kwa direction ya taifa, ndipo "Wenye nchi yao", wakaja na mpango wa kumpata mtu ambaye siyo tu kwamba ni mwendawazimu, lakini atatekeleza mambo yote yaliyoko kwenye makabati. Mimi kwa uelewa wangu mdogo, ninaamini, JPM aliandaliwa kwa ustadi mkubwa sana mwishoni au katikati ya mwaka 2009. Na aliyetumika kukamilisha mwanzo wa huo mpango wa yeye kuwa President alikuwa ni Premier Pinda. Mizengo alitekeleza bila kujua. Na baada ya mizengo kutekeleza, akaachwa pembeni. Wakaendelea na plan yao.

JPM alipewa kazi ya kutekeleza hayo niliyoyataja hapo juu. Kwa bahati mbaya au nzuri, JPM alikuwa anapenda sifa sana. Aliyatekeleza sana na kwa nguvu na kwa speed kubwa ambayo was not expected na ikaonekana kama hii miradi ni ya kwake. This's the fact. Hii miradi siyo ya JPM. Ni ya nchi. Usipoitekeleza, au kuikanyaga, unaikanyaga nchi na mifumo yake ambayo siyo rafiki kwakweli.

Ushauri wangu: Pamoja na roho aliyokuwa nayo JPM, na pamoja na ujinga wake na uwendawazimu mwingi aliokuwa nao, usifikiri figisu dhidi ya bwawa la Nyerere na miradi mingine itamuacha mtu yeyote salama. You're my brother. "Wenye nchi yao", ambao siyo watu "wema" are watching and monitoring. Nahisi mama kabadilika baada ya kufahamu ukweli. Kindly thank me later bro. My greetings to Wifi. Shemeji yako ananisubiri. Ngoja akapewe anachotaka.
Hahahahaha..halooo ooohh..daawaa imeanzaa kuwaingiaa sasa..yaan mnazungukaa tuu..ukwel ni kwamba ndani ya mioyo tenu mnakubali sana JPM..ila ndo hvyoo yaan kawaumiza sana ambao mlikuwa hamna vyeti halisi..mliokuwa majambazi na majizi...
JPM was a real man..mutu na nusu
 
sherehe yake ya kumpongeza kuwa candidate ilihudhuriwa na kijana wa miaka 25 hivi, anayeitwa Rostam. Mimi ninaamini, Rostam ndiye aliyemharibu Mkapa.
This thing caught my attention
Money = power
yaani kijana wa 25 yrs akamburuza mzee mzima.

nyuma ya pesa alikuwapo shetani pia i guess
 
Back
Top Bottom