Nilimuheshimu sana kama kaka, leo hii ananitaka

Nilimuheshimu sana kama kaka, leo hii ananitaka

Yani msaada unataka kutoa papuchi utaki... kwa maelezo yako unaonekana umemkubali ndo mana anakuonea wivu... ushauri wangu toa hiyo huduma acha kulinga au unatembea na mdogo wake
 
Kuna rafiki yangu mmoja alinikutanisha na kaka yake kama mwaka moja sasa kulikua kuna ishu flani hivi akaniambia kaka yake anaweza kunisaidia basi nikashukuru sana.

Uzuri alinisaidia kweli nikaka anaeonekana makini sana kwenye mambo yake.

Na ni very strictly namuheshimu kama kaka kama baba naajua namuheshimu na ni mtu anayependa kunionya mengi nakunihasa sana huwa namuona nizaidi yakaka wakati mwingine.

Sasa chakushangaza sasa hivi ananitokea sikutegemea kabisa nasiwezi, nasitoweza, namuheshimu mno .

Kila mara huwa nampotezea najifanya simuelewi lakini yeye ndio kwanza yupo serious naogopa kumwambia rafiki yangu maana hataweza kuamini kabisa maana kama kukutana na totoz anawaona wengi na wala hana tyme.

Sasa leo hii nikimwambia sinitaonekana mzushi, nikijidai kumkaushia anakuwa mkali kwa mdogo wake ambae ni rafiki yangu.

Hadi ananiamba kwanini kaka anakupigia hupokei amekwambia umpigie sasa. Mimi naona aibu kwavile namuheshimu mno yeye ananiambia maneno mazito mazito kwenye simu naona aibu sana.

Hivi wanaume mkoje hamna cha dada kwanini msiwe na heshima mkiheshimiwa?

Mimi nkajua kaka yako blood related kumbe kaka wa rafiki yako,kwani ubaya uko wapi apo...kaka kakupenda na kiukweli we si ndugu yako,kama unamheshimu na unajua ni mtu ambaye yuko strict kwenye mambo yake we kubali tu,kwani kuna dhambi gani hapo
 
Kikubwa nilichotaka kujibiwa hapa nikwanini wanaume wengi huyo dosari huwanayo sana nikutaka kuvuruga mambo yasiende au? Najua hata nikikubali msaada anaonisaidia utaisha yatabakia mapenzi kitu ambacho sitaki, naninavyokataa naona tutaishia kugombana tuu maana sasahivi kawa na wivu viukaliukali visivyokuwa nampangilio yaani basi tuu ilikunivuruga

Wawapi wewe? Unataka usaidiwe tu na wewe hutaki kurudisha fadhila?
Afterall, sex sio kitu cha ajabu siku hizi.
Utampa na heshima itazidi kuwepo.
 
Mimi sio muhuni nakukubali kufanya tendo linalowahusu wanandoa tuu Mimi sithubutu hasa kwa MTU ninaemuheshimu kama baba, sasahivi huwa naona aibu sana nikionana nae nasiwezi kumkwepa maana ananisaidia swala flank ambalo lilishakuwa gumu kwangu

Ina maana hutaki kumpa kwa sababu unamuheshimu au vipi?

Kwa hiyo ingekuwa humuheshimu ungempa?Tuanzie hapo kwanza.
 
Kuna rafiki yangu mmoja alinikutanisha na kaka yake kama mwaka moja sasa kulikua kuna ishu flani hivi akaniambia kaka yake anaweza kunisaidia basi nikashukuru sana.

Uzuri alinisaidia kweli nikaka anaeonekana makini sana kwenye mambo yake.

Na ni very strictly namuheshimu kama kaka kama baba naajua namuheshimu na ni mtu anayependa kunionya mengi nakunihasa sana huwa namuona nizaidi yakaka wakati mwingine.

Sasa chakushangaza sasa hivi ananitokea sikutegemea kabisa nasiwezi, nasitoweza, namuheshimu mno .

Kila mara huwa nampotezea najifanya simuelewi lakini yeye ndio kwanza yupo serious naogopa kumwambia rafiki yangu maana hataweza kuamini kabisa maana kama kukutana na totoz anawaona wengi na wala hana tyme.

Sasa leo hii nikimwambia sinitaonekana mzushi, nikijidai kumkaushia anakuwa mkali kwa mdogo wake ambae ni rafiki yangu.

Hadi ananiamba kwanini kaka anakupigia hupokei amekwambia umpigie sasa. Mimi naona aibu kwavile namuheshimu mno yeye ananiambia maneno mazito mazito kwenye simu naona aibu sana.

Hivi wanaume mkoje hamna cha dada kwanini msiwe na heshima mkiheshimiwa?

Kwakuwa unamheshimu na kwa tendo la kukuomba chepe unaona anakuvunjia heshima basi na wewe usikubali,itakuwa bora zaidi ukimvunjia heshima kwa kumkubalia tu maana hakuna namna, mkubalie tu tena utafaidi.
 
Angesema ananichaji shilingi ngapi ningelipa

Usituchoshe!...,huyo rafiki yako kashauza 'file' lako kwa kaka'ake!...hiyo 'heshima' yako tupa kule,kashajua ya uongo!
Umepewa bure,mpe bure!,hakuna namna nyingine!
 
Hebu kuja tupate morning glory, mi nimeshangaa ila Evelyn Salt akaniusia basi nikatulia...na utu uzima huu....hivi kuna mahali amejibu?

Kwamfano akajibu "ndio" then what next?
 
Last edited by a moderator:
haka kanaonesha ni katoto kabisaa, haiwezekan et namuheshimu so sitegemei anitokeee....ssa anataka atokewe na kka jambaz au??? aache ujima na kuanzisha nyuzi za kitoto...

<umeeleweka mama>

Amemtengenezea mazingira ya kumtongoza, then katongozwa alafu anaanza kulia lia hapa, ana udogo gani huyo anataka tu kuchezea watu akili!! Haya atuletee na woooote alowahi kuduu nao na story zao.
 
Pole mdada lkn km sio nduguyo wa damu msikilize sbb anaonekana umemkubali kwa misimamo yake
 
Hawa ndio wale wanaofika miaka 30 hawajaolewa wanakuja kutusumbua sisi maserengeti boy!
 
kumbe ni kama kaka. acha uchoyo haina kiporo
 
kwa hiyo we unawakubalia usio waheshimu? unayemheshim ndiye mzuri kwako, kama huna mchumba anaweza kuwa mwema kwako. kwa nini ajile ganji wakati mhusika upo? wacha roho mbaya, mtake afuate taratibu uwe wake awe wako
 
''Sasa chakushangaza sasa hivi ananitokea sikutegemea kabisa nasiwezi, nasitoweza, namuheshimu mno.Kila mara huwa nampotezea najifanya simuelewi''

Kwa hiyo unamkataa kwa kuwa unamheshimu?!! Ungekuwa umheshimu ungekubali?

Mimi nadhani ni vyema kusema unamkataa kwa kuwa kwako unamuona kama kaka au ndugu?
 
Ameoa ila yupo single kwa sasa!??!! au unamaanisha wametengana na mkewe? Kama humtaki mwambie tu, au unamwambia tu broo me nina mtu basiiii

Hiyo huwa tunaipanchi hivi. Na mimi pia ni mtu, kwani tukifanya utamwambia huyo mtu wako.? Hapo msichana lazima abaki na kigugumizi.
 
Back
Top Bottom