Nilimuheshimu sana kama kaka, leo hii ananitaka

Nilimuheshimu sana kama kaka, leo hii ananitaka

Kikubwa nilichotaka kujibiwa hapa nikwanini wanaume wengi huyo dosari huwanayo sana nikutaka kuvuruga mambo yasiende au? Najua hata nikikubali msaada anaonisaidia utaisha yatabakia mapenzi kitu ambacho sitaki, naninavyokataa naona tutaishia kugombana tuu maana sasahivi kawa na wivu viukaliukali visivyokuwa nampangilio yaani basi tuu ilikunivuruga
Kaizer umemuelewa hapa?ashakubali sema anaogopa hatima yake!! Loly mkubalue bana mwenzio umepewa bure ,we hutaki ndoa?
 
Last edited by a moderator:
kwahyo huamini kma kakupenda ama?

Swala sio kuamini swala nikwamba Mimi nataka tuishie kwenye ukaka na Dada hilo la mapenzi silihitaji kabisa kwakweli
 
Kaizer umemuelewa hapa?ashakubali sema anaogopa hatima yake!! Loly mkubalue bana mwenzio umepewa bure ,we hutaki ndoa?

Kaizer hujanielewa, nilichomaanisha nikuwa anataka kustopisha msaada kwa style ya kunitokea ama?
 
Last edited by a moderator:
Kuna rafiki yangu mmoja alinikutanisha na kaka yake kama mwaka moja sasa kulikua kuna ishu flani hivi akaniambia kaka yake anaweza kunisaidia basi nikashukuru sana.

Uzuri alinisaidia kweli nikaka anaeonekana makini sana kwenye mambo yake.Na ni very strictly namuheshimu kama kaka kama baba naajua namuheshimu na ni mtu anayependa kunionya mengi nakunihasa sana huwa namuona nizaidi yakaka wakati mwingine.

Sasa chakushangaza sasa hivi ananitokea sikutegemea kabisa nasiwezi, nasitoweza, namuheshimu mno.Kila mara huwa nampotezea najifanya simuelewi .

Lakini yeye ndio kwanza yupo serious naogopa kumwambia rafiki yangu maana hataweza kuamini kabisa maana kama kukutana na totoz anawaona wengi na wala hana tyme.

Sasa leo hii nikimwambia sinitaonekana mzushi, nikijidai kumkaushia anakuwa mkali kwa mdogo wake ambae ni rafiki yangu.Hadi ananiamba kwanini kaka anakupigia hupokei amekwambia umpigie sasa.

Mimi naona aibu kwavile namuheshimu mno yeye ananiambia maneno mazito mazito kwenye simu naona aibu sana.

Hivi wanaume mkoje hamna cha dada kwanini msiwe na heshima mkiheshimiwa?

kwa mwandiko huu, huna cha kusema!! unampenda Braza ake rafikio, hapa unalalama tu bure...
 
Hawa ndio wale wanaoishi maisha ya tamthiliya za kifilipino. Kaka dada dada kaka ya wapi kwa mtu asiye nduguyo wa damu?
 
Umesema mwenyewe kama jamaa sio mtu wa totoz...huoni bahati ? kamata fursa ya ndoa hiyo huyo sio kaka yakoo.
 
hapa umekuja kulalamika sio..........karibu atakulenga huyo....kuna ubaya rafikiyo akawa wifi.....bahati hiyo....
 
Mpaka hapa96%umeshakubali..wataalamu wa psychology tumeshaelewa
 
Hivi nikwanini wanaume wanapenda kuteteaga uhuni? Mnauhakika gani kuwa huyo kaka nia yake sio kumchezea tuu akasepa? Sijaona ushauri wa kimtahadharisha na huyo kaka
 
Nini? Siwezi kabisa yaani sithubutu na sitothubutu kitu kama hicho ili mwisho wake ijekuwaje sasa?

Acha mbwembwe, mnaanzaga hivyo hivyo halafu unakuja tena kutuambia umemmiss, wanawake Bwana na stakinataka duh😕
 
Kuna rafiki yangu mmoja alinikutanisha na kaka yake kama mwaka moja sasa kulikua kuna ishu flani hivi akaniambia kaka yake anaweza kunisaidia basi nikashukuru sana.

Uzuri alinisaidia kweli nikaka anaeonekana makini sana kwenye mambo yake.Na ni very strictly namuheshimu kama kaka kama baba naajua namuheshimu na ni mtu anayependa kunionya mengi nakunihasa sana huwa namuona nizaidi yakaka wakati mwingine.

Sasa chakushangaza sasa hivi ananitokea sikutegemea kabisa nasiwezi, nasitoweza, namuheshimu mno.Kila mara huwa nampotezea najifanya simuelewi .

Lakini yeye ndio kwanza yupo serious naogopa kumwambia rafiki yangu maana hataweza kuamini kabisa maana kama kukutana na totoz anawaona wengi na wala hana tyme.

Sasa leo hii nikimwambia sinitaonekana mzushi, nikijidai kumkaushia anakuwa mkali kwa mdogo wake ambae ni rafiki yangu.Hadi ananiamba kwanini kaka anakupigia hupokei amekwambia umpigie sasa.

Mimi naona aibu kwavile namuheshimu mno yeye ananiambia maneno mazito mazito kwenye simu naona aibu sana.

Hivi wanaume mkoje hamna cha dada kwanini msiwe na heshima mkiheshimiwa?

Kilichomfanya akutokee ni hyo heshima unayomuonesha, wanaume tunapenda kuheshimiwa..
 
Sijawahi kumtega hata sikumoja yaani

Loly wanaume wanatongoza wanawake wanaowafahamu na wanaokutana nao kwa namna mbalimbali, km alivyokutana na wewe. Kama kweli humfeel tell him the truth
 
Back
Top Bottom