Nilimuheshimu sana kama kaka, leo hii ananitaka

Nilimuheshimu sana kama kaka, leo hii ananitaka

Nadhan hapa kuna mambo kidogo nikuchambile labda yatakusaidia.

Unajuwa huyo kaka si kaka yako wa kuzaliwa naye. Sasa suali la msingi je wewe unamtaka?? kama humtaki ni suali jengine. Kuhusu hiyo heshima kwamba unamuheshimu hilo si jambo rasmi sana kwa mtu ambaye muko level moja na si ndugu yako wa damu.

Jengine ivi kwa mtazamo wako wewe kuna binadamu gani duniani mwanamme au mwanamke aweze kujenga heshima akae tu eti ajenge heshima na mvulana na msichana ambaye kwa mujibu tartibu sahihi munaweza kuoana halafu ukifkiria mtakaa tu na ile heshima siku zote?? hili kwa mwanamme rijali haiwezekani utambule hilo.

Laikini kama shida yk ilikuwa hiyo siku1 uliofahamishwa kwanini uliweza kumtumia huyu mwanamme kwa kila shida zako?? mana hapa inavyoonekana kama na wewe ulijitakia huku ukijipa moyo kwamba sisi tutabaki na heshima tu. Sisi wanaume hatuwezi kwa sababu kimaumbile tumeumbwa na hisia na wakati mwengine kesi kama hii hutokea kwa mwanamke kumtaka mwnamme sio kwa mwanaume tu lazima uelewe.

Mwisho kabisa, hakuna kosa lolote ukiwa na huyu brother mana sio ndugu yako wa kweli ni kaka wa kupanga tu. Lakini kama humtaki mwambie kilichoko moyoni kwako ajuwe na ikiwezekana mupotezeani forever mana kama utaendelea kumfata bado hii setuation itaendelea kuwepo, usishangae siku1 atakubaka.

Laikini pia inawezekana huyo shoga yako alitumiwa na huyo kaka kwa njia yeyote ile kukupata wewe labda aliwaona, uweze kulijuwa hilo pia.
habari ya kubakana tena? sawa nimekuelewa, ushauri wako una mashiko
 
Ngoja ni kwambie dada angu, huyo mwanaume siku ya kwanza tu alipo kusaidia tayari ulikuwa kwenye hesabu zake, wanaume ni waoga na alikuwa anatafuta mazingira sasa naona amediriki kukwambia na hapo hawezi kuacha kupress. halafu wewe umekosea, wewe ndiye uliye yaendekeza kwa kuonyesha sitaki nataka bila kuwa na msimamo halisi halafu unakuja kulalamika huku, ungetaka yaishe bila ya yeye kuendelea na mbakie kuheshiana alipokutokea tu ulitakiwa utafute mda mzuri umueleze msimamo wako na namna unavyo muona kama kaka, najua yangeisha vizuri na mungeendelea kuwa marafiki.
ila hujachelewa bado unaweza mkalisha kikao mkaongea vizuri bila kumwaibisha yataisha.

Tatizo la vijana wa sasa hivi dadangu si wawindaji, muwindaji kama mimi nilivyofundishwa na wazee unatakiwa uende porini mbali usiko fahamika katafute wanyama huko! wanaume wa sasa ni mapaka shume kama linalogeuka na kuanza kula vifaranga vya nyumbani badala ya kwenda kuwinda panzi na ndege porini! wanaume wa sasa wanatamani vya kunyonga, wanatamani shemeji zao, dadazao, mahousegirl, binam etc. impact yake heshima huisha nyumbani wadada wanamdharau baba kwa sababu ameshawahi waomba, hata wewe unaweza dhihirisha jinsi ulivyo mshusha baada ya kukutokea. wanaume wenzangu tubadirike.
ahsante kwa ushauri mzuri, uliyasema ni yakweli pia wanawake wamezidi kuwa cheapest hivyo wanaume wamepata confidence yakumtokea dem yeyote kwakuamiani kuwa atafanikiwa, kama unshauri wawatu wengi hapa wanaona nikwanini sikubali yaani kukataa ndio wanaona jambo la ajabu, ahsante sana kwa ushauri mzuri
 
habari ya kubakana tena? sawa nimekuelewa, ushauri wako una mashiko

Yah kukubaka kwani aliwezaje kujidai anakuheshimu lakin sasa ameweza kutia ndogo ndogo? na zaid kwamba huwa mnakaa pamoja kwa issue zen., ww ni mwnmke akikushka bila kukusudia atamaliza kila kitu na kwamba sasa ameshakugundua kwamba umekuwa mgumu mgumu anaweza akajarib.

Muadisie rafiki yako huyo wa kike kama jamaa anakutaka alafu muangalie machoni akifanya kushtuka alafu macho yapo kawaida juwa ni yeye lakini pia ukimuambia ukimhisi anasisitiza kuwa na huyo kaka pia jua ni yeye
 
Kuna rafiki yangu mmoja alinikutanisha na kaka yake kama mwaka moja sasa kulikua kuna ishu flani hivi akaniambia kaka yake anaweza kunisaidia basi nikashukuru sana.

Uzuri alinisaidia kweli nikaka anaeonekana makini sana kwenye mambo yake.Na ni very strictly namuheshimu kama kaka kama baba naajua namuheshimu na ni mtu anayependa kunionya mengi nakunihasa sana huwa namuona nizaidi yakaka wakati mwingine.

Sasa chakushangaza sasa hivi ananitokea sikutegemea kabisa nasiwezi, nasitoweza, namuheshimu mno.Kila mara huwa nampotezea najifanya simuelewi .

Lakini yeye ndio kwanza yupo serious naogopa kumwambia rafiki yangu maana hataweza kuamini kabisa maana kama kukutana na totoz anawaona wengi na wala hana tyme.

Sasa leo hii nikimwambia sinitaonekana mzushi, nikijidai kumkaushia anakuwa mkali kwa mdogo wake ambae ni rafiki yangu.Hadi ananiamba kwanini kaka anakupigia hupokei amekwambia umpigie sasa.

Mimi naona aibu kwavile namuheshimu mno yeye ananiambia maneno mazito mazito kwenye simu naona aibu sana.

Hivi wanaume mkoje hamna cha dada kwanini msiwe na heshima mkiheshimiwa?

Kama anataka uwe mke wake vp hafai 😉😉
 
Kama anataka uwe mke wake vp hafai 😉😉
Kwamimi hatanifaa pia sitamfaa kwajili namuona ni mkali sana, pia Mimi sina mvuto kivilee kusema atatulia namimi yeye ni mtu wa juu sana Mimi kwake sio kitu kwahiyo hata kuwa mume kwanini hanifai
 
Is he a husband material? If yes, grab him wt ua 2 hands. Mapenzi tuliachia sinema za Kimexico- soap operas.
 
Kwamimi hatanifaa pia sitamfaa kwajili namuona ni mkali sana, pia Mimi sina mvuto kivilee kusema atatulia namimi yeye ni mtu wa juu sana Mimi kwake sio kitu kwahiyo hata kuwa mume kwanini hanifai
nimesha kusoma dada yangu kwa kifupi na wewe unampenda ila hujiamini kwake kama anakupenda kweli unahisi labda anataka mgegedo baadae asepe
 
Hahahhaha wanawake bhana sasa povu looote lile la nini kujifanya humpendi kumbe..... Loly Omygad
 
Last edited by a moderator:
Waswaili usema ulichopewa na mungu kumnyima mwenzio dhambi, ninachojua Mimi dada au kaka ni yule ambae umetoka tumbo moja mbali na apo onesha wema kwake yeye MBNA kaonesha wema kwako.
 
Nini? Siwezi kabisa yaani sithubutu na sitothubutu kitu kama hicho ili mwisho wake ijekuwaje sasa?


Sikiliza wewe! hope siyo stori ya kutunga. Kama ni kweli nawe timiza wajibu wako. Mwambie huwezi na akizidi tumia neno hutaki! Huyo rafikiyo unayedhani unaheshimiana, usijekuta ndo wanakula njama za pamoja. Malezi tofauti mama! Yaani urafiki na dada ndo unakutesa hivyo? nini wewee bhana!

Kumbuka sex ni kichwani. kama kichwa hakitaki usijilazimishe, utakuja juta ukisha mkalia uchi. Ndo utagundua hata rafiki alikuuza.
 
Jamaa alichokosea ni kukusaidia bila kukukula kwanza, coz najua ulipokuwa na shida angekwambia hivyo hata ucngekataa ungepanuaa sana tuuu. Sasa kwakuwa shida zako zimekwisha unaleta maringo. Acha mbwembwe bint dunia haiendi hivyo.
 
.........................................................

Tatizo la vijana wa sasa hivi dadangu si wawindaji, muwindaji kama mimi nilivyofundishwa na wazee unatakiwa uende porini mbali usiko fahamika katafute wanyama huko! wanaume wa sasa ni mapaka shume kama linalogeuka na kuanza kula vifaranga vya nyumbani badala ya kwenda kuwinda panzi na ndege porini! wanaume wa sasa wanatamani vya kunyonga, wanatamani shemeji zao, dadazao, mahousegirl, binam etc. impact yake heshima huisha nyumbani wadada wanamdharau baba kwa sababu ameshawahi waomba, hata wewe unaweza dhihirisha jinsi ulivyo mshusha baada ya kukutokea. wanaume wenzangu tubadirike.

Hapo ndo kwenye tatizo. Si unaona wanamshauri huyu Loly eti alipe wema kwa ngono! yaani wengi ndo wanajikuta wameliwa kila wakati wanapodhani walipa nauri ya daladala, ice cream za azam, shanga za kimasai, nk. basi wamefanya wema sana kiasi cha kulipwa ngono. Haaa! Hopeless.

Wanaume kuweni mashujaa. Kumushawishi mtu mzima akuvulie nguo na kujitoa aibu kunahitaji mdomo mwepesi. Domo zege halitalipa utaishia kuwashika ubaya uliowapa msaada. Munaishia kutongoza kwa SMS! Unategeshea jibu litakuweje tena baada ya kubonyeza send key unafumba hata macho! Duh!
 
Kuna rafiki yangu mmoja alinikutanisha na kaka yake kama mwaka moja sasa kulikua kuna ishu flani hivi akaniambia kaka yake anaweza kunisaidia basi nikashukuru sana.

Uzuri alinisaidia kweli nikaka anaeonekana makini sana kwenye mambo yake.Na ni very strictly namuheshimu kama kaka kama baba naajua namuheshimu na ni mtu anayependa kunionya mengi nakunihasa sana huwa namuona nizaidi yakaka wakati mwingine.

Sasa chakushangaza sasa hivi ananitokea sikutegemea kabisa nasiwezi, nasitoweza, namuheshimu mno.Kila mara huwa nampotezea najifanya simuelewi .

Lakini yeye ndio kwanza yupo serious naogopa kumwambia rafiki yangu maana hataweza kuamini kabisa maana kama kukutana na totoz anawaona wengi na wala hana tyme.

Sasa leo hii nikimwambia sinitaonekana mzushi, nikijidai kumkaushia anakuwa mkali kwa mdogo wake ambae ni rafiki yangu.Hadi ananiamba kwanini kaka anakupigia hupokei amekwambia umpigie sasa.

Mimi naona aibu kwavile namuheshimu mno yeye ananiambia maneno mazito mazito kwenye simu naona aibu sana.

Hivi wanaume mkoje hamna cha dada kwanini msiwe na heshima mkiheshimiwa?

Ewe punguani, kakako ni yule mliezaliwa nae tu. Na hata hao kuna mikasa chungu nzima humuhumu JF kuwa wanafanya uasherati na dada zao.

Hata huyo dada'ke kakuchagua wewe uwe kitu ya kakake.

Punguani wahed.
 
Back
Top Bottom