Nilimuheshimu sana kama kaka, leo hii ananitaka

Nilimuheshimu sana kama kaka, leo hii ananitaka

Kuna watu mnajua kulea maradhi

Kama hufurahishwi na tongozo lake mwambie direct....akikukera mblock

Nitaanzia wapi namuogopa yupo serious nanimkali plas kulekunisaidia napata ugumu nachotaka Mimi nikumpotezea asomesheweeee hadi Yesu arudi
 
Ameoa ila yupo single kwa sasa, ile heshima ndio najiuliza haoni?? Akiwa namdogo wake ananiheshimu mdogo wake akisogeza tuu mguu anaanza kuniambia maneno yaajabu namimi najikaysha kama simuelewi sasahivi anaongea maneno makali kabisa hadi najuta

Ameoa ila yupo single kwa sasa!??!! au unamaanisha wametengana na mkewe? Kama humtaki mwambie tu, au unamwambia tu broo me nina mtu basiiii
 
Mmmh mueleze jinsi ulivyomchukulia na wasi wasi unaouona mbeleni mara nyingi mwishoni huwa ni pagumu kutabiri. Umesema ameoa na yuko single kwa sasa kivipi??

Hawaishi na mkwewe nawako kwenye harakati zakutalakiana kabisa
 
Ni sababu. Ww tuambie kama.upo single.ama una BF...ili tukushauri otherwise unataka tumlaumu mbaba wa watu hapa bila mashiko. Kutongozwa kawaida mbona.
Hilo suala.la heshima sijui nini lina mwisho wake yeye ameshaonyesha kukupenda kama.unampenda shikamana
Mimi sio muhuni nakukubali kufanya tendo linalowahusu wanandoa tuu Mimi sithubutu hasa kwa MTU ninaemuheshimu kama baba, sasahivi huwa naona aibu sana nikionana nae nasiwezi kumkwepa maana ananisaidia swala flank ambalo lilishakuwa gumu kwangu
 
Nitaanzia wapi namuogopa yupo serious nanimkali plas kulekunisaidia napata ugumu nachotaka Mimi nikumpotezea asomesheweeee hadi Yesu arudi

Kama unamuogopa mpe

Maana kusaidia lazima ulipe fadhila?????? Kukusaidia sio sababu ya wewe kutomwambia ukweli.

Unless kama unaenjoy huo usumbufu
 
Mimi sio muhuni nakukubali kufanya tendo linalowahusu wanandoa tuu Mimi sithubutu hasa kwa MTU ninaemuheshimu kama baba, sasahivi huwa naona aibu sana nikionana nae nasiwezi kumkwepa maana ananisaidia swala flank ambalo lilishakuwa gumu kwangu

Samahani Loly, ww bado Bikra?
 
Last edited by a moderator:
M'dingi aliwahi kuniambia hakuna kitu kibaya kama kuruka stage/phase. Kwa sababu badae utairudia tu halafu uonekane kituko. Mtu mzima hapa anahangaika na watoto, wanamchoresha huku.
 
Mmmh mueleze jinsi ulivyomchukulia na wasi wasi unaouona mbeleni mara nyingi mwishoni huwa ni pagumu kutabiri. Umesema ameoa na yuko single kwa sasa kivipi??

Wazolako vizuri nitafanya hivyo nikiona hapotezei
 
Kikubwa nilichotaka kujibiwa hapa nikwanini wanaume wengi huyo dosari huwanayo sana nikutaka kuvuruga mambo yasiende au? Najua hata nikikubali msaada anaonisaidia utaisha yatabakia mapenzi kitu ambacho sitaki, naninavyokataa naona tutaishia kugombana tuu maana sasahivi kawa na wivu viukaliukali visivyokuwa nampangilio yaani basi tuu ilikunivuruga
 
Kuna rafiki yangu mmoja alinikutanisha na kaka yake kama mwaka moja sasa kulikua kuna ishu flani hivi akaniambia kaka yake anaweza kunisaidia basi nikashukuru sana, uzuri alinisaidia kweli nikaka anaeonekana makini sana kwenye mambo yake Nani very strictly namuheshimu kama kaka kama baba naajua namuheshimu nanimtu anaependa kunionya mengi nakunihasa sana huwa namuona nizaidi yakaka wakati mwingine, sasa chakushangaza sasahivi ananitokea sikutegemea kabisa nasiwezi nasitoweza namuheshimu mno kila Mara huwa nampotezea najifanya simuelewi lakini yeye ndio kwanza yupo serious naogopa kumwambia rafiki yangu maana hataweza kuamini kabisa maana kama kukutana na totoz anawaona wengi na wala hana tyme sasa Leo hii nilikwambia sinitaonekana mzushi, nikijidai kumkaushia anakuwa mkali kwa mdogo wake ambae ni rafiki yangu hadi ananiambi kwanini kaka anakupigia hupokei amekwambia umpigie sasa Mimi naona aibu kwavile namuheshimu mno yeye ananiambia maneno mazito mazito kwenye simu naona aibu sana, hivi wanaume mkoje hamna cha Dada kwanini msiwe na heshima mkiheshimiwa?

Ukiona mteremko ujue mbele kuna mlima! Mtiwe tuu hatuna namna maana mnapenda sana mtelemko....! Yaani utafutiwe kazi kirahisi hivyo nani kasema.
 
Kikubwa nilichotaka kujibiwa hapa nikwanini wanaume wengi huyo dosari huwanayo sana nikutaka kuvuruga mambo yasiende au? Najua hata nikikubali msaada anaonisaidia utaisha yatabakia mapenzi kitu ambacho sitaki, naninavyokataa naona tutaishia kugombana tuu maana sasahivi kawa na wivu viukaliukali visivyokuwa nampangilio yaani basi tuu ilikunivuruga
Jama wanaume jibuni basi kwanini mko hivyo????
 
Back
Top Bottom