Nilimuheshimu sana kama kaka, leo hii ananitaka

Nilimuheshimu sana kama kaka, leo hii ananitaka

Kuna rafiki yangu mmoja alinikutanisha na kaka yake kama mwaka moja sasa kulikua kuna ishu flani hivi akaniambia kaka yake anaweza kunisaidia basi nikashukuru sana.

Uzuri alinisaidia kweli nikaka anaeonekana makini sana kwenye mambo yake.Na ni very strictly namuheshimu kama kaka kama baba naajua namuheshimu na ni mtu anayependa kunionya mengi nakunihasa sana huwa namuona nizaidi yakaka wakati mwingine.

Sasa chakushangaza sasa hivi ananitokea sikutegemea kabisa nasiwezi, nasitoweza, namuheshimu mno.Kila mara huwa nampotezea najifanya simuelewi .

Lakini yeye ndio kwanza yupo serio

Mimi naona aibu kwavile namuheshimu mno yeye ananiambia maneno mazito mazito

MANENO GANI HAYO?
YATAJE!
 
Wewe hicho ki2 cjui kwann umekileta humu ndan ilo swala lipo ndan ya uwezo wako auitaji ushauri mpe ilo punyulio jamaa apunyue kaka baba stop
 
Ameoa ila yupo single kwa sasa, ile heshima ndio najiuliza haoni?? Akiwa namdogo wake ananiheshimu mdogo wake akisogeza tuu mguu anaanza kuniambia maneno yaajabu namimi najikaysha kama simuelewi sasahivi anaongea maneno makali kabisa hadi najuta

Wewe ebu acha mambo ya kitoto maneno ya ajabu ndio lugha gani nyinyi ndio mnao jifanya wastaarabu mwisho wa siku mnakamatwa gest na waume za watu toa mzgo jamaa afunge mahesabu mapema
 
Kuna rafiki yangu mmoja alinikutanisha na kaka yake kama mwaka moja sasa kulikua kuna ishu flani hivi akaniambia kaka yake anaweza kunisaidia basi nikashukuru sana.

Uzuri alinisaidia kweli nikaka anaeonekana makini sana kwenye mambo yake.Na ni very strictly namuheshimu kama kaka kama baba naajua namuheshimu na ni mtu anayependa kunionya mengi nakunihasa sana huwa namuona nizaidi yakaka wakati mwingine.

Sasa chakushangaza sasa hivi ananitokea sikutegemea kabisa nasiwezi, nasitoweza, namuheshimu mno.Kila mara huwa nampotezea najifanya simuelewi .

Lakini yeye ndio kwanza yupo serious naogopa kumwambia rafiki yangu maana hataweza kuamini kabisa maana kama kukutana na totoz anawaona wengi na wala hana tyme.

Sasa leo hii nikimwambia sinitaonekana mzushi, nikijidai kumkaushia anakuwa mkali kwa mdogo wake ambae ni rafiki yangu.Hadi ananiamba kwanini kaka anakupigia hupokei amekwambia umpigie sasa.

Mimi naona aibu kwavile namuheshimu mno yeye ananiambia maneno mazito mazito kwenye simu naona aibu sana.

Hivi wanaume mkoje hamna cha dada kwanini msiwe na heshima mkiheshimiwa?

inategemea na anakutaka kivipi..uwe gf, mchepuko, mchumba au vipi..
lakini pia heshimu hisia zako, kama unaona akili imegoma kabisa basi mwambie wazi kabisa kuwa hauko tayari kuwa naye, ongea kujasiri, tatizo wanawake wengi huwa mnakataa kwa pozi utadhani mnatania vile..

punguza mawasiliano naye...

lakini pamoja na yote angalia isije ukawa unachezea shilingi chooni
 
Kuna rafiki yangu mmoja alinikutanisha na kaka yake kama mwaka moja sasa kulikua kuna ishu flani hivi akaniambia kaka yake anaweza kunisaidia basi nikashukuru sana.

Uzuri alinisaidia kweli nikaka anaeonekana makini sana kwenye mambo yake.Na ni very strictly namuheshimu kama kaka kama baba naajua namuheshimu na ni mtu anayependa kunionya mengi nakunihasa sana huwa namuona nizaidi yakaka wakati mwingine.

Sasa chakushangaza sasa hivi ananitokea sikutegemea kabisa nasiwezi, nasitoweza, namuheshimu mno.Kila mara huwa nampotezea najifanya simuelewi .

Lakini yeye ndio kwanza yupo serious naogopa kumwambia rafiki yangu maana hataweza kuamini kabisa maana kama kukutana na totoz anawaona wengi na wala hana tyme.

Sasa leo hii nikimwambia sinitaonekana mzushi, nikijidai kumkaushia anakuwa mkali kwa mdogo wake ambae ni rafiki yangu.Hadi ananiamba kwanini kaka anakupigia hupokei amekwambia umpigie sasa.

Mimi naona aibu kwavile namuheshimu mno yeye ananiambia maneno mazito mazito kwenye simu naona aibu sana.

Hivi wanaume mkoje hamna cha dada kwanini msiwe na heshima mkiheshimiwa?

Akufaaye kwa dhiki ndio Wa kuwa nae,we unamtaka yupi sasa? Sijawahi kuona zezeta kama wewe
 
Wanawake bwana! kwani tatitizo hapo liko wp? kwani wewe unataka kupendwa na watu baki tu? amakuona na anaona utamfaa, akaukeleza jambo lake ili ulitafakari kwa mapana! kaka wa watu kajitolea kwa kila hali ili ufanikiwe lakini pia siyo mbaya kwake kukueleza ukweli uliyoko moyoni mwake. As long as siyo ndg wa damu ww ni halali na siyo haramu. Kama humtaki mwambie tu kwa ustarabu atakuelewa lakini siyo kumfanya kaka wa watu aonekaene kama ni wa ajabu vile!
 
Sema hujamdondokea ingekuwa umefall usingepost kuomba ushauri.hata hivyo unaweza kumweleza tu kuwa haiwezekani akachukuwa ustaarabu wake.
 
Mdogo wangu tumia fursa hiyo,angalia usikute umri unaenda 2 baadae uje ukose hata wa kukwambia umependeza.
 
Iseee kweli niamini wanaume sio watu wakuaminika hata umuite kaka hata umuite baba tpuu

Unashangaa nini sasa dogo Loly?Kwani huyo ni kaka yako kabisa umezaliwa nae baba/mama mmoja?Sijaona cha ajabu hapo, yeye mwanaume na wewe mwanamke, amekupenda au amekutamani (sie hatujui) ila isimshangae as if kafanya kosa, hana kosa kijana wa watu. Kama humtaki unashindwa nini kumpa za uso kwamba humtaki?? Ila kwa uzoefu wangu HUYU ASIPOKUOA BASI ATAKUKULA TU HATA MARA MBILI TATU:behindsofa:
 
Mdogo wangu tumia fursa hiyo,angalia usikute umri unaenda 2 baadae uje ukose hata wa kukwambia umependeza.

Unajua tabu inakuja wapi? Kwa sasahivi Mimi sikuwa na shida hiyo nilichokua nahitaji nihiki alichokua ananisaidia sasa hivi ndio cha muhimu zaidi ya hicho unachokiona ni fursa. Napia namuhitaji zaidi awe kwangu kaka kuliko mpenzi
 
Sasa kama broo ameamua kukusaidia hvyo kwann usimkubali ili aendelee kukusaidia kukusaidia vzur.
 
Yap mpatie,kwani wangapi unawapatia afu hawakusaidii kitu??muwe na fadhila wadada.
 
Duh sasa si umpe tu ..hayo ndo malipo ya consultancy aliyokufanyia halafu hata hivyo haisomi milage so haitakuwa na madhara
 
Heshima itabaki kuwa heshima na ni vizuri kumkabidhi mtu unayemuheshimu....
 
Loly mpe tuu isiwe shida kumbuka Ukimwi unaua pia
 
Last edited by a moderator:
MTU akikutongoza ujue amekuheshimu kupita kiasi kwani anatafuta kukujua zaidi ulivyo.
 
Back
Top Bottom