Niligombea NEC Na Nimeshindwa Kihalali - Le Mutuz!

Niligombea NEC Na Nimeshindwa Kihalali - Le Mutuz!

Status
Not open for further replies.
- Chadema wameshindwa kila kona na kuishia kuambulia majimbo 46 tu vipi hamuoni aibu kwamba kila kona wanawakataa, well, kesho ninashikiri kwenye kikao cha Baraza Kuu la Taifa Wazazi-CCM so sijakataliwa kila mahali kama Chadema hawajakataliwa kila mahali! ha1 ha1 ha! ha!

Le MutuZ

Huu sio mtazamo sahihi hata kidogo (mtazamo wa kishabiki zaidi kuliko uhalisia), CDM ni chama kama CCM, na kwa sababu Chama ni kitu hai lazima kipitie stages of growth kama inavyoonekana hapa chini

images


Meaning kinazaliwa, kinakua, kinafikia hatua ya kukomaa, kinazeeka na kufa. CDM ipo kwenye hatua ya pili ya kukua that is why kina wabunge 46 mpaka sasa, CCM kipo stage ya mwisho ya huyo bibi alieshika mkongojo. Naomba Le Mutuz ukubaliane na ukweli huu, kama huamini fuatilia historia ya vyama vikongwe vilivyofanya mambo makubwa kwa nchi kama Japan, na maeneo mengine jinsi vilivyopotea kwenye ramani ya siasa. Mabadiliko yatakayotokea kama wananchi wataendelea kuipenda sana CCM basi itakuwa ni mabadilishano ya madaraka kama ilivyo kwa nchi kama UK, US na kwingineko ambako unasikia uchaguzi ni kati ya Democrat Vs Republican au Labour Vs Democrat etc. Huu ndo ukweli whether you take it or deny it that is how things goes.
 
- Haijalishi wote ni Chadema mnaotaka kila mtu awe na mawazo kama yenu tu ya maandamano, matusi na migomo, kazi yenu ni kila mkishindwa uchaguzi kulilia mmeibiwa kura mimi sina mawazo mabovu kama hayo ni mtu huru so ni lazima nikupe darasa kwa lines za Chadema chama chako cha maandmano na migomo kila siku!!

Le Mutuz!!

Mazezeta wa magamba wote lazima waitaje Chadema kila baada ya sentensi moja. Hata kura kwenye uchaguzi wenu mlikuwa mnaomba kwa kuitaja Chadema. Na kila zezezta aliyetaja Chadema alishangiliwa sana na maccm.
Kama si kuwa na mpunga kidogo ukilinganisha na magamba wenzako basi ungeweza kushinda ujumbe wa Nec. Ndani ya moyo wako una maumivu ya kuliwa na kutoswa hata kama unajishebedua hapa.
Endelea kuiota Chadema kwakuwa ndiyo itakayowaondoa vilaza kama wewe msio na vision lakini mnahonga ili muwaongoze watanzania.
 
This is so weird, yaani kuwa na thread ya page 20 in 20 minutes tayari umeshakuwa King of All Social Network Media!!??Wow... Kweli WAZAZI-CCM kuna kazi, maana hawa ndiyo Great Thinkers wa SISIEMU. Mtu kama Trump kuwa na watu zaidi ya 30,000 kwenye Twitter page yake ambao hawakukubaliana na tirade yake baada ya Obama kuchaguliwa doesn't make him a King of all social network media. Sasa sijui akina Mwanakijiji na wengineo ambao michango yao huwa ina idadi kubwa ya wasomaji na responders wangekuwa wanapenda hayo majina sijui wangejiita akina nani. I guess hii ndiyo definition ya KING OF ALL SOCIAL NETWORK MEDIA ndani ya WAZAZI-CCM.
 
This is so weird, yaani kuwa na thread ya page 20 in 20 minutes tayari umeshakuwa King of All Social Network Media!!??Wow... Kweli WAZAZI-CCM kuna kazi, maana hawa ndiyo Great Thinkers wa SISIEMU. Mtu kama Trump kuwa na watu zaidi ya 30,000 kwenye Twitter page yake ambao hawakukubaliana na tirade yake baada ya Obama kuchaguliwa doesn't make him a King of all social network media. Sasa sijui akina Mwanakijiji na wengineo ambao michango yao huwa ina idadi kubwa ya wasomaji na responders wangekuwa wanapenda hayo majina sijui wangejiita akina nani. I guess hii ndiyo definition ya KING OF ALL SOCIAL NETWORK MEDIA ndani ya WAZAZI-CCM.

Chizi huyu
 
Sio wote wanaokwenda abroad wanapata uelewa au
kuwa na elimu kutokana na mazingira ya wenzetu

walivyosonga mbele au exposure..... Like William.... ndio kawa kituko.... kiroja...!!!

Wengine wanskuwa wajinga zaidi akienda nje...

William aibu tupu.... anaandika hadi miaka aliyokaa nje....

Bila kujua... anajiaibisha buree..... WHY..?? sbb MTU ALIYEKAA NJE ANGEKUJA NA MAWAZO POSITIVE, KAPATA NA KAONA MAZURI MAENDELEO YA KUIGA
HIVYO NI RAHISI WATU ALIOKUTA HUKU YY AWE MFANO.... BADALA YAKE YY NA ANTI EZEKIEL, Wema & other nasty stuff ndio anapiga nao mapicha of which yy hata haendani nao..... His ways of life kwa nje tu hafai kuigwa...... Tabia hafai kuigwa.... Not creative.... to dull.... Schooled but not educated...... So he is still kilaza......CALLING HIMSELF FAMOUS WILLIAM....!!! Is this guy famous au ...!!! Kondoo ni kondooo ...!!!

I believe KONDOOO HUZAA KONDOO.....

Sungura huzaa sungura.....

- Lakini kiongozi anayeiba mke wa mtu ndiye anafaaa kuwa Rais wa JAmhuri, sawa bana!!

Le Mutuz!!

Hapa napo nashindwa kumuelewa Mjumbe wa WAZAZI-CCMT.....lakini inawezekana huu ujumbe ukawa na ukweli ndani yake. Maake viongozi wengi waliowahi kugombea urais hapa kwetu nchini huwa hako katabia maana hata Tinga tinga naye aliwahi kukumbwa na kashfa ya namna hii. Siasa bana every thing comes out ingawa sina hakika kama quote ya kwanza ilikuwa na mahusiano yoyote na quote ya pili.
 
- Kamati Kuu ya CCM ilinipitisha kugombea NEC Viti 10 Bara, uchaguzi ulifanyika juzi Kizota Dodoma kura zangu hazikutosha, na nimeridhika sana na matokeo: Uchaguzi ulifanyika kihalali na haki na ninakubali kushindwa nitajipanga upya na kujikita tena next time zikitokea nafasi zingine za Chama changu CCM, chama Dume!!

- I am proud na kushika nafasi ya 12, kati ya wagombea 31 ambao wote wengine ni wazoefu wa muda mrefu sana ndani ya CCM, kulinganisha na mimi niliyerudi Bongo Miezi 10 iliyopita, baada ya kuishi Miaka 30 Ulaya na USA, so leo kugombea na miamba hii ya CCM na kushika nafasi ya 12, na kuwapiga wengine 19 it is great honor to me I mean A Luta Continua yaani Mapambano Bado kabisaa yanaendelea, next time tutapigana mpaka kura zitoshe.

- Again, ninakishukuru Chama changu CCM kwa kutoa nafasi kwa kila mwananchi kushiriki kikamilifu bila kubagua wala kuonea, na pia ninawashukuru CCM-WAZAZI kwa kunichagua kuwa Mjumbe wa Baraza Kuu la Taifa na pia kuiwakilisha kwenye Baraza Kuu la UV-CCM Taifa, na kesho kitakuwa ni kikao changu cha pili katika Baraza hapa Dodoma, I am grateful for that!!

- Ndugu zangu milioko nje rudini tujenge taifa letu, hakuna wa kutujengea huku tuje wenyewe, na pia tuchukue fomu za uongozi tujikite huko ndani kuleta mabadiliko badala ya kukaa kulia lia tu bila sababu na huku ni watuwazima na tuna akili timamu, tukazane tuingie wenyewe! KURUDI HOME SIO A DEATH SENTENCE!! HA! HA! HA! HA! HA!


RESPECT MUCH PEOPLE!!


LE MUTUZ - (KING OF ALL SOCIAL NETWORK MEDIA) & MJUMBE BARAZA KUU LA WAZAZI-CCM TAIFA & BARAZA KUU UVCCM TAIFA!!

Le Mutuz,

Safi sana mkuu. Siasa ni kushiriki na vilevile kukubali matokeo pale unaposhindwa. Kuhusu sisi wengine kurudi nyumbani, kwa upande wangu bado najipanga. Kwa neema za Mungu, nikifanikiwa nitarudi.
 
- Tatizo lako ni moja tu kwamba sina mawazo kama yako so for that uko radhi kutaka kupindisha ukweli wa kwamba nimesoma hivyo vyuo, naomba nirudie tena vyuo nilivyosoma na nina Degree na Diploma zake:

1. Antwerpen School of MArine Engineering, Belgium - Diploma
2. Westchester College - New York State, USA - Degree ya pili ya Criminology & Police Science.
3. Lehman College - New York City, USA - BA Political Science

- Naona katika kuhalalisha uongo wako umeingiza mpaka nyumba za mabalozi ssijui wa wawapi jamani kweli Great Thinker anaweza kwenda this low? ha1 ha! ha! yaani hata kuendelea nimeshindwa!! ha1 ha1 ha! ha!, maneno makubwa sana ya bluu lakini pumba tupu vipi ulipokuwa shule hukusoma darasa la Communications Skills, maana upo all over for nothing!! duh!1

Le Mutuz!

Ulivyonijibu jawabu lako halijanitosheleza, hivyo ufafanuzi wa nilichokuuliza ni kama ifuatavyo na wadau hapa wataniona uwongo na ukweli wangu.
NY kuna vyuo viwili ambavyo vina majina ya westcheser ambavyo ni:

  1. College of Westchester
  2. Westchester Community College


THE WESTCHESTER COLLEGE
BUSINESS
Bachelor's Degrees
Business Administration
Accounting

Associate's Degrees
Accounting
Business Management/Marketing
Certificates
Intensive Accounting

Course Offerings:
Entertainment, Music & Sports Management
Fashion / Retail Merchandising
Hotel / Resort Management


Not all programs are offered in all divisions and/or sessions.





ALLIED HEALTH

TECHNOLOGY

DIGITAL MEDIA






logo2.jpg

[TABLE="width: 100%"]
[TR]
[TD]Programs of Study

Print-Friendly Page[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Westchester Community College programs consist of Core Curriculum Requirements (general education courses required to ensure a well-rounded education to students within any program) and Degree Requirements (courses specific to a particular degree). Depending on which type of degree you are seeking, A.A., A.S., or A.A.S, the Core Requirements will vary. Click for more information about our Core Curriculum Requirements.[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
Associate of Arts
The requirements for theAssociate in Arts Degree (A.A.)are equivalent to the first two years at an accredited four-year institution and emphasize the liberal arts and sciences. Graduates typically transfer to baccalaureate-granting institutions.


Associate of Science
The requirements for theAssociate in Science Degree (A.S.) are equivalent to the first two years at an accredited four-year institution and balance a professional orientation with the liberal arts & sciences. Graduates typically transfer to baccalaureate-granting institutions.


Associate of Applied Science
The curriculum for theAssociate in Applied Science Degree (A.A.S.)prepares graduates for immediate employment within specific technical fields. The requirements combine specific career preparation with a firm foundation in the liberal arts and sciences. Although the A.A.S. is not intended as a transfer degree, graduates in some professions do transfer to baccalaureate-granting institutions.


Certificate
Certificate Programs prepare students for immediate employment in a variety of skilled occupations. College credits earned in certificate programs can often be applied to parallel associate degrees offered at the college. Certificates provide a well-rounded course of study which may include English, mathematics, and science courses, in addition to occupational training.



Hivyo basi Ndugu yetu na mdau mwezetu William Malecela (Le Mutus) kwenye nukuru za vyuo vyote viwili, College of Westchester ambacho kiko NY hakuna program ya mafunzo ya polisi kama degree ya pili zilivyoainishwa hapo juu kwenye website yao. Wana
Bachelor's Degrees, ambayo ni business, Associate degrees na Certificates lakini hawana program za Criminology & Police Science.

Westchester Community College ambacho kiko Westchester County kinatoa certificate na associate degree (diploma kwa tafsiri ya kiwango cha elimu ya Tanzania) kina program ya
Criminal Justice - Police A.A.S. ambayo ni Associate Degree.

Kwa nukuru hizi na utetezi wangu nimeamua kuweka wazi hapa nisijekuonekana nimedanganya hapa JF kwa kusisitiza kiwango kinachotolewa katika mafunzo yako ambayo ni ya Associate degree badala ya ulivyodangaya kuwa ni degree ya pili kitu ambacho si kweli kwani vyuo vyote viwili havitoe elimu ya degree ya pili kama ulivyoainisha.

NB:
Mr. William J. Malecela (Le Mutuz), natanguliza shukrani kwa ufafanuzi kwani vyuo hivyo vyote vina program za credit transfer, huenda ulienda kumalizia vyuo vingine.

Nakala kwa:
Mwita Maranya, Indume Yene, Magesi, matumbo, Nicas Mtei
 
Le Mutuz,

Safi sana mkuu. Siasa ni kushiriki na vilevile kukubali matokeo pale unaposhindwa. Kuhusu sisi wengine kurudi nyumbani, kwa upande wangu bado najipanga. Kwa neema za Mungu, nikifanikiwa nitarudi.
Wewe si umesema unaenda Costa Rica, au Canada? Sasa mbona unaniangusha? Mimi nitamtembelea nani huko CostaRica/Canada?
 
Le Mutuz,

Safi sana mkuu. Siasa ni kushiriki na vilevile kukubali matokeo pale unaposhindwa. Kuhusu sisi wengine kurudi nyumbani, kwa upande wangu bado najipanga. Kwa neema za Mungu, nikifanikiwa nitarudi.

Ushauri wangu kujipanga kurudi nyumbani inategemea mambo kadhaa:
  • Kama una umri chini ya 50 na umeshaandaa mazingira ya kuanzia maisha bora kurudi nafasi ikikuruhusu kuunganisha nguvu za mapambano na kujaribu kujenga mifano ya kujitegemea na kusaidia kuondoa tatizo la ajira kwa vijana, kwani ukishawaajiri watano au kumi umefanya kitu kuliko hao wangebaki kuongeza kundi la wazururaji mitaani. Lakini hili lifanywe kwa makini kwani kumnyookea fulani maisha si kipimo cha kila mmoja ukitilia maanani kwamba umeshayazoea maisha uliko sasa. Pengine kazi nzuri unayofanya huko isipatikane Tanzania, au unaweza kupata ajira bora kuliko uliyo nayo sasa ughaibuni.
  • Kwa walio na umri zaidi ya miaka 50 ambao wanakaribia kustaafu hasa kutoka mataifa tajiri yenye program nzuri za retirement, bora kuvuta subira ufikishe wala 60, kwani retirement zao kwa wanaostaafu kwa maisha ya Tanzania si haba, kwani waliovumilia mika mingi kidogo pesheni yao unaweza kulinganisha na pato la kima cha kati la sasa hivi Tanzania kiasi ambacho wataingiza mfukoni kila mwezi hadi mwisho wa uhai.

Kwa vyo vyote si kufuata mkumbo tu, maisha bora kupima usije jutia nafasi na mafao yako uliyosotea na kulipa kadi nchi za wanyewe ukaishia kukosa na kuishi kwa kubangaiza. Jambo la msingi kwa wengi ni kujitahidi kuwekeza hapa home, warudipo isiwe kuanza upya maisha, kwani kuanza maisha mapya ni ghali sana kama hukujipanga vizuri, bora kuanza kidogokidogo.
 
- Chadema wameshindwa kila kona na kuishia kuambulia majimbo 46 tu vipi hamuoni aibu kwamba kila kona wanawakataa, well, kesho ninashikiri kwenye kikao cha Baraza Kuu la Taifa Wazazi-CCM so sijakataliwa kila mahali kama Chadema hawajakataliwa kila mahali! ha1 ha1 ha! ha!

Le MutuZ

Le Mutuz umemalizia prime time ya maisha yako ukijirusha ulaya na kodi za watanzania kupitia baba yako mzee Cigwie Misi, sasa unakuja na uzee wako ndo uje kutafuta uongozi, ni dharau kwa wanaCCM wenzako ndo maana wanakunyima kura! Wewe jikite kwenye biashara ya mashamba achana na siasa!
 
But on a serious note,le mutuz usiwe unasusa jf banaa. I dearly miss your dramas.
 
Wewe si umesema unaenda Costa Rica, au Canada? Sasa mbona unaniangusha? Mimi nitamtembelea nani huko CostaRica/Canada?

Kwikwikwi, nilikuwa namuiga Rush Limbaugh aliyesema health care ikipita anahamia Costa Rica. Imepita bado anadunda Marekani.

Kuhusu kurudi Tanzania, vitu vingi nilivyopania kuvifanya nje nimevifanya. Sijawa na nia ya kubadilisha maisha ya binadamu wenzangu. Nikiwa nayo nitarudi Tanzania.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom