SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 43,707
- 60,760
Sawa KabwiliKatika miaka ya karibuni mechi ya tar 11 kwa mara ya kwanza Kolo wataingia kama underdog
Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
Sawa KabwiliKatika miaka ya karibuni mechi ya tar 11 kwa mara ya kwanza Kolo wataingia kama underdog
Mkuu huo ndio ukweli mchingu...Mkuu acha bhaasi
Swala la yanga kufungwa tarehe 11 linaeleweka na kila mtu, kwa hiyo kufungua uzi kujinadi kwamba umetabiri huko ni kututapeli kizungu
Mashabiki wa simba mazuzu sana huyu mpuuzi kila derby huwa anakuja na propaganda zake mwisho wa siku mnapigwa cha ajabu mkipigwa hamumuulizi chochote mechi ijayo anakuja tena na ngonjera zake hii sijui mechi ya ngapi anaendelea na upuuzi wake jmosi mtapigwa tena km kawaida yenu na hamtamuuliza chochoteSijawahi kufeli Kitu kama tu nikikiamua!!
Na nimewaweza na kuwashika patamu kweli kweli kwani Nyodo zao ndizo zimeniibua Chimbo ili nije kuifanyia Kazi Simba SC yangu.
Yanga SC kama wakitaka Kukibadilisha nilichowafanyia Wakubali Mmoja wa Kiongozi wao au Mmoja wa Mfadhili wao au Mmoja wa Msemaji wao atangulie mbele ya Haki.
Kama GENTAMYCINE pamoja na akina Kassim Dewji ( KD ), Iddi Kajuna, Mzee Dalali na Wataalam wetu Wawili wa Morogoro, Tanga na Kikwajuni Zanzibar tuliicheza 'Kimafia' ile Mechi Yanga SC iliyofungwa Goli 4 kwa 1 hii ya Jumamosi ( tarehe 11 Disemba, 2021 ) kwa namna tulivyoicheza kwa 'Hasira' hamna hamna Yanga SC 'anakufa' Goli 5 au 6 ila wakizipunguza sana zitabakia Goli 4 au 3 Kudadadeki.
Na kama kawaida yangu huwa nikiisaidia Simba SC yangu huwa sihitaji Malipo yoyote kwani naisaidia kwa Umafia na Utamaduni kwakuwa ninaipenda Simba SC yangu kutoka Damuni na Jumamosi tunataka Wapigane, Wafukuzane na ikibidi hata watoane na Roho kabisa kwa Kipigo cha Kishalubela ( Kitakatifu ) ambacho Yanga SC itakipata.
Popote mlipo wana Simba SC tambeni, furahini na furikeni Kununua Tiketi zenu kwa Wingi ili mjae Uwanjani. Yanga SC ameshakufa!!
Haaaaahaaaaa we waache tu warukerukeNaona mnarukaruka sana. Hii yote ni kujitoa hofu tu
Wana kumbukumbu basi ndezi hawa?Weka hifadhi ya maneno, last time ulikimbia hili jukwaa karibu mwezi mzima.
Mbwembwe nyiingi, utakuta kagoli kamoja ka kuviziangoja huyu popoma awadanganye tuu, mtakacho kutana nacho hamta amini macho yenu
Mkuu kweli we nyoko,, nimeona tbc juzi dr slaa kakurusha wewe na lemutuzNina Nyota Kali ambapo nikianzisha tu Jambo lolote au Uzi wowote utakuwa na Mvuto na utacbangamkiwa.
Endelea na Roho yako Mbaya na ya Chuki Kwangu ila Mimi ndiyo GENTAMYCINE "Purely Talented, Charismatic Fella, Game Changer and Entertainer" na nilichobarikiwa na Mwenyezi Mungu kamwe hutokipata.
Mbona 'threads' zangu nyingi tu ambazo zinachangiwa hapa na zinafikia Kurasa nyingi huwa huji kusema zimebuma?
Ulisema kuwa huu Uzi umebuma sasa mbona naona Wadau wanauchangia? Pumbavu utabaki Kunichukia na Mimi kuwa Juu tu Kimvuto na Kiumaarufu JamiiForums mpaka natajwa na Watu Intelligent akina Dk. Wilbroad Slaa huko TBC1.
Sasa kama GENTAMYCINE Kiasili ni Purely Talented, Charismatic Fella, Game Changer and Entertainer nitaachaje Kutajwa hivyo, kuwa na Mvuto, kuwa Maarufu na Kufuatiliwa ( Kusomwa ) na Wakubwa wengi nchini Tanzania akiwemo huyo Balozi Dk. Wilbroad Slaa na hata Rais Samia Suluhu Hassan Mwenyewe ambaye 'ananifolo' hapa JamiiForums tokea akiwa Makamu wa Rais?Mkuu kweli we nyoko,, nimeona tbc juzi dr slaa kakurusha wewe na lemutuz
Sawa sheikh Yahya tusikimbiane tu.Sijawahi kufeli Kitu kama tu nikikiamua!!
Na nimewaweza na kuwashika patamu kweli kweli kwani Nyodo zao ndizo zimeniibua Chimbo ili nije kuifanyia Kazi Simba SC yangu.
Yanga SC kama wakitaka Kukibadilisha nilichowafanyia Wakubali Mmoja wa Kiongozi wao au Mmoja wa Mfadhili wao au Mmoja wa Msemaji wao atangulie mbele ya Haki.
Kama GENTAMYCINE pamoja na akina Kassim Dewji ( KD ), Iddi Kajuna, Mzee Dalali na Wataalam wetu Wawili wa Morogoro, Tanga na Kikwajuni Zanzibar tuliicheza 'Kimafia' ile Mechi Yanga SC iliyofungwa Goli 4 kwa 1 hii ya Jumamosi ( tarehe 11 Disemba, 2021 ) kwa namna tulivyoicheza kwa 'Hasira' hamna hamna Yanga SC 'anakufa' Goli 5 au 6 ila wakizipunguza sana zitabakia Goli 4 au 3 Kudadadeki.
Na kama kawaida yangu huwa nikiisaidia Simba SC yangu huwa sihitaji Malipo yoyote kwani naisaidia kwa Umafia na Utamaduni kwakuwa ninaipenda Simba SC yangu kutoka Damuni na Jumamosi tunataka Wapigane, Wafukuzane na ikibidi hata watoane na Roho kabisa kwa Kipigo cha Kishalubela ( Kitakatifu ) ambacho Yanga SC itakipata.
Popote mlipo wana Simba SC tambeni, furahini na furikeni Kununua Tiketi zenu kwa Wingi ili mjae Uwanjani. Yanga SC ameshakufa!!