GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,516
- 108,791
Ukweli ni kwamba 'hawajafukuzwa' Kambini tena wapo na ndiyo wanapewa Mazoezi ya maana na 'Maalum' ya Kucheza na Simba SC hiyo Jumamosi tarehe 28 May, 2022 pale CCM Kirumba.
Yanga SC hivi sasa wameamua Kujikita zaidi na kufanya Propaganda na kutumia 'Mind Game' kuelekea mechi yao na Simba SC ili Kutufunga Kisaikolojia baada ya kugundua kuwa Kiuchawi na Kimchezo (hasa Uwanjani) wameshashindwa na Simba SC itashinda bila wasiwasi kwani Kazi Maalum imeshamalizika na Watajuta.
Yanga SC hivi sasa wameamua Kujikita zaidi na kufanya Propaganda na kutumia 'Mind Game' kuelekea mechi yao na Simba SC ili Kutufunga Kisaikolojia baada ya kugundua kuwa Kiuchawi na Kimchezo (hasa Uwanjani) wameshashindwa na Simba SC itashinda bila wasiwasi kwani Kazi Maalum imeshamalizika na Watajuta.