Mnaomshambulia Msemaji wa Simba SC Ahmed Ally kwa Kauli yake ya Kukafini Maiti Yanga SC kapimweni Akili

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Jul 13, 2013
56,689
109,110
Ally Kamwe ( Msemaji wa Yanga SC ) Siku ambapo Simba SC ilifungwa na Raja Casablanca FC Goli 3 kwa 0 ( tena akiwa Clouds FM Kipindi cha Sports Extra ) Studioni akiwepo Mtangazaji mwana Yanga SC Prisca Kishamba na Mchambuzi mwana Simba SC Master Tindwa alitudhihaki wana Simba SC kuwa Tumebikiriwa na Mwarabu kwa Mkapa huku akisema kuwa Yanga SC ndiyo Wanamume wa Soka na Wengine ni Wamama tu.

Mbona GENTAMYCINE sikuwasikieni Wapumbavu na Wanafiki kutoka Jangwani mkiikemea hiyo Kauli ya Msemaji wenu Mrembuaji wa Macho, Mlamba Mdomo na mbana Pua Ali Kamwe?

Kuna Mechi Mbili za Simba na Yanga zilizopita ( ambazo zote Simba SC ) ilifungwa na Yanga SC Mashabiki wa Yanga SC walionekana wakiwa Wamebeba mfano wa Jeneza lililopambwa na Bendera ya Simba SC wakimaanisha Simba SC ndiyo Maiti na anaenda Kuzikwa. Mbona Wapumbavu na Wanafiki kutoka Jangwani hamkujitokeza Kulikemea hili?

Naungana na Msemaji wa Simba SC Ahmed Ally ( tena kwa 100% ) kwa kusema kuwa Simba SC Kesho Jumapili tarehe 16, April 2023 inaenda Kumkafini Mtu ( akimaanisha Yanga SC ) na kwamba Yanga SC ni sawa na Maiti ambayo Kesho inaenda Kuoshwa kabla ya Kuzikwa / Mazishi.

Kwa Taarifa yenu tu Watoto ( Vijana ) wa Siku hizi na Ushamba wenu Uliowatukuka ni kwamba Utani baina ya Vilabu vya Simba na Yanga ni wa Kawaida na wa muda mrefu tena kwa Sisi Wakongwe ( akina GENTAMYCINE ) tunaona miaka ya Siku hizi hakuna Utani na Umepungua mno.

Na kama Msemaji wa Simba SC Ahmed Ally ataadhibiwa kwa Kauli hii nitathibitisha Utaahaira na Upumbavu wa hao Watakaomudhibu na Nitawadharau hakuna mfano.

Alichokifanya Msemaji wa Simba SC Ahmed Ally ( ambaye upande mwingine ni Chief Propagandist wa Klabu ) na hata Kitasnia inaruhusiwa ni Kunogesha Tukio, Kuamsha Hisia, Kuchangamsha na inasaidia pia Kuhamasisha Watu kujaa ( kwenda ) Uwanjani hivyo GENTAMYCINE kama Mbobezi Tukuka wa Mass Communication ( nikiwa Mngwena hasa katika Print na PR ) nampongeza sana na mno Msemaji wa Simba SC Ahmed Ally kwa hiyo Kauli yake.

Na tena anastahili hadi Tuzo kama ambayo GENTAMYCINE nilipata hapa JamiiForums kwa kuwa Mshindi Bora ( wa Jumla ) wa Jukwaa hili la Michezo ( Sports ) kwa mwaka 2022 nikiwashinda waliodhani ni Magwiji Kiuchambuzi na kuleta Habari za Michezo hapa JamiiForums ( akina Greatest Of All Time akisaidiwa na Chama Baleke zamani OKW BOBAN SUNZU ) wakatia Tukuka Mwenyewe nipo.

Ushindi Wenu Yanga SC Kesho Jumapili tarehe 16 April, 2023 kwa Simba SC ni Suluhu ( 0 - 0 ) au Sare ( ya Magoli ) ila Kufungwa na Simba SC Kesho ni lazima kwa 99.999999%.

Imeisha hiyo..!!
 
Ally Kamwe ( Msemaji wa Yanga SC ) Siku ambapo Simba SC ilifungwa na Raja Casablanca FC Goli 3 kwa 0 ( tena akiwa Clouds FM Kipindi cha Sports Extra ) Studioni akiwepo Mtangazaji mwana Yanga SC Prisca Kishamba na Mchambuzi mwana Simba SC Master Tindwa alitudhihaki wana Simba SC kuwa Tumebikiriwa na Mwarabu kwa Mkapa huku akisema kuwa Yanga SC ndiyo Wanamume wa Soka na Wengine ni Wamama tu.

Mbona GENTAMYCINE sikuwasikieni Wapumbavu na Wanafiki kutoka Jangwani mkiikemea hiyo Kauli ya Msemaji wenu Mrembuaji wa Macho, Mlamba Mdomo na mbana Pua Ali Kamwe?

Kuna Mechi Mbili za Simba na Yanga zilizopita ( ambazo zote Simba SC ) ilifungwa na Yanga SC Mashabiki wa Yanga SC walionekana wakiwa Wamebeba mfano wa Jeneza lililopambwa na Bendera ya Simba SC wakimaanisha Simba SC ndiyo Maiti na anaenda Kuzikwa. Mbona Wapumbavu na Wanafiki kutoka Jangwani hamkujitokeza Kulikemea hili?

Naungana na Msemaji wa Simba SC Ahmed Ally ( tena kwa 100% ) kwa kusema kuwa Simba SC Kesho Jumapili tarehe 16, April 2023 inaenda Kumkafini Mtu ( akimaanisha Yanga SC ) na kwamba Yanga SC ni sawa na Maiti ambayo Kesho inaenda Kuoshwa kabla ya Kuzikwa / Mazishi.

Kwa Taarifa yenu tu Watoto ( Vijana ) wa Siku hizi na Ushamba wenu Uliowatukuka ni kwamba Utani baina ya Vilabu vya Simba na Yanga ni wa Kawaida na wa muda mrefu tena kwa Sisi Wakongwe ( akina GENTAMYCINE ) tunaona miaka ya Siku hizi hakuna Utani na Umepungua mno.

Na kama Msemaji wa Simba SC Ahmed Ally ataadhibiwa kwa Kauli hii nitathibitisha Utaahaira na Upumbavu wa hao Watakaomudhibu na Nitawadharau hakuna mfano.

Alichokifanya Msemaji wa Simba SC Ahmed Ally ( ambaye upande mwingine ni Chief Propagandist wa Klabu ) na hata Kitasnia inaruhusiwa ni Kunogesha Tukio, Kuamsha Hisia, Kuchangamsha na inasaidia pia Kuhamasisha Watu kujaa ( kwenda ) Uwanjani hivyo GENTAMYCINE kama Mbobezi Tukuka wa Mass Communication ( nikiwa Mngwena hasa katika Print na PR ) nampongeza sana na mno Msemaji wa Simba SC Ahmed Ally kwa hiyo Kauli yake.

Na tena anastahili hadi Tuzo kama ambayo GENTAMYCINE nilipata hapa JamiiForums kwa kuwa Mshindi Bora ( wa Jumla ) wa Jukwaa hili la Michezo ( Sports ) kwa mwaka 2022 nikiwashinda waliodhani ni Magwiji Kiuchambuzi na kuleta Habari za Michezo hapa JamiiForums ( akina Greatest Of All Time akisaidiwa na Chama Baleke zamani OKW BOBAN SUNZU ) wakatia Tukuka Mwenyewe nipo.

Ushindi Wenu Yanga SC Kesho Jumapili tarehe 16 April, 2023 kwa Simba SC ni Suluhu ( 0 - 0 ) au Sare ( ya Magoli ) ila Kufungwa na Simba SC Kesho ni lazima kwa 99.999999%.

Imeisha hiyo..!!
kwanza niseme hivi simba haitufungi abadan,lakini siungi mkono kwa msemaji wa simba kuadhibiwa,anaadhibiwa kwa kosa gani?hizi timu ni watani wa jadi,kwani hamjui maana ya utani wa jadi?
kama tunataka staha kwenye utani wa jadi basi tff watengeneze code of conduct ili kuwaongoza wasemaji,vinginevyo tuache utani utawale,tutaniane na atakayeshinda basi ndio mpira
 
Ally Kamwe ( Msemaji wa Yanga SC ) Siku ambapo Simba SC ilifungwa na Raja Casablanca FC Goli 3 kwa 0 ( tena akiwa Clouds FM Kipindi cha Sports Extra ) Studioni akiwepo Mtangazaji mwana Yanga SC Prisca Kishamba na Mchambuzi mwana Simba SC Master Tindwa alitudhihaki wana Simba SC kuwa Tumebikiriwa na Mwarabu kwa Mkapa huku akisema kuwa Yanga SC ndiyo Wanamume wa Soka na Wengine ni Wamama tu.

Mbona GENTAMYCINE sikuwasikieni Wapumbavu na Wanafiki kutoka Jangwani mkiikemea hiyo Kauli ya Msemaji wenu Mrembuaji wa Macho, Mlamba Mdomo na mbana Pua Ali Kamwe?

Kuna Mechi Mbili za Simba na Yanga zilizopita ( ambazo zote Simba SC ) ilifungwa na Yanga SC Mashabiki wa Yanga SC walionekana wakiwa Wamebeba mfano wa Jeneza lililopambwa na Bendera ya Simba SC wakimaanisha Simba SC ndiyo Maiti na anaenda Kuzikwa. Mbona Wapumbavu na Wanafiki kutoka Jangwani hamkujitokeza Kulikemea hili?

Naungana na Msemaji wa Simba SC Ahmed Ally ( tena kwa 100% ) kwa kusema kuwa Simba SC Kesho Jumapili tarehe 16, April 2023 inaenda Kumkafini Mtu ( akimaanisha Yanga SC ) na kwamba Yanga SC ni sawa na Maiti ambayo Kesho inaenda Kuoshwa kabla ya Kuzikwa / Mazishi.

Kwa Taarifa yenu tu Watoto ( Vijana ) wa Siku hizi na Ushamba wenu Uliowatukuka ni kwamba Utani baina ya Vilabu vya Simba na Yanga ni wa Kawaida na wa muda mrefu tena kwa Sisi Wakongwe ( akina GENTAMYCINE ) tunaona miaka ya Siku hizi hakuna Utani na Umepungua mno.

Na kama Msemaji wa Simba SC Ahmed Ally ataadhibiwa kwa Kauli hii nitathibitisha Utaahaira na Upumbavu wa hao Watakaomudhibu na Nitawadharau hakuna mfano.

Alichokifanya Msemaji wa Simba SC Ahmed Ally ( ambaye upande mwingine ni Chief Propagandist wa Klabu ) na hata Kitasnia inaruhusiwa ni Kunogesha Tukio, Kuamsha Hisia, Kuchangamsha na inasaidia pia Kuhamasisha Watu kujaa ( kwenda ) Uwanjani hivyo GENTAMYCINE kama Mbobezi Tukuka wa Mass Communication ( nikiwa Mngwena hasa katika Print na PR ) nampongeza sana na mno Msemaji wa Simba SC Ahmed Ally kwa hiyo Kauli yake.

Na tena anastahili hadi Tuzo kama ambayo GENTAMYCINE nilipata hapa JamiiForums kwa kuwa Mshindi Bora ( wa Jumla ) wa Jukwaa hili la Michezo ( Sports ) kwa mwaka 2022 nikiwashinda waliodhani ni Magwiji Kiuchambuzi na kuleta Habari za Michezo hapa JamiiForums ( akina Greatest Of All Time akisaidiwa na Chama Baleke zamani OKW BOBAN SUNZU ) wakatia Tukuka Mwenyewe nipo.

Ushindi Wenu Yanga SC Kesho Jumapili tarehe 16 April, 2023 kwa Simba SC ni Suluhu ( 0 - 0 ) au Sare ( ya Magoli ) ila Kufungwa na Simba SC Kesho ni lazima kwa 99.999999%.

Imeisha hiyo..!!
Huyu nae alipokea tuzo ya mwana michezo?????? Jf why
 
Ally Kamwe ( Msemaji wa Yanga SC ) Siku ambapo Simba SC ilifungwa na Raja Casablanca FC Goli 3 kwa 0 ( tena akiwa Clouds FM Kipindi cha Sports Extra ) Studioni akiwepo Mtangazaji mwana Yanga SC Prisca Kishamba na Mchambuzi mwana Simba SC Master Tindwa alitudhihaki wana Simba SC kuwa Tumebikiriwa na Mwarabu kwa Mkapa huku akisema kuwa Yanga SC ndiyo Wanamume wa Soka na Wengine ni Wamama tu.

Mbona GENTAMYCINE sikuwasikieni Wapumbavu na Wanafiki kutoka Jangwani mkiikemea hiyo Kauli ya Msemaji wenu Mrembuaji wa Macho, Mlamba Mdomo na mbana Pua Ali Kamwe?

Kuna Mechi Mbili za Simba na Yanga zilizopita ( ambazo zote Simba SC ) ilifungwa na Yanga SC Mashabiki wa Yanga SC walionekana wakiwa Wamebeba mfano wa Jeneza lililopambwa na Bendera ya Simba SC wakimaanisha Simba SC ndiyo Maiti na anaenda Kuzikwa. Mbona Wapumbavu na Wanafiki kutoka Jangwani hamkujitokeza Kulikemea hili?

Naungana na Msemaji wa Simba SC Ahmed Ally ( tena kwa 100% ) kwa kusema kuwa Simba SC Kesho Jumapili tarehe 16, April 2023 inaenda Kumkafini Mtu ( akimaanisha Yanga SC ) na kwamba Yanga SC ni sawa na Maiti ambayo Kesho inaenda Kuoshwa kabla ya Kuzikwa / Mazishi.

Kwa Taarifa yenu tu Watoto ( Vijana ) wa Siku hizi na Ushamba wenu Uliowatukuka ni kwamba Utani baina ya Vilabu vya Simba na Yanga ni wa Kawaida na wa muda mrefu tena kwa Sisi Wakongwe ( akina GENTAMYCINE ) tunaona miaka ya Siku hizi hakuna Utani na Umepungua mno.

Na kama Msemaji wa Simba SC Ahmed Ally ataadhibiwa kwa Kauli hii nitathibitisha Utaahaira na Upumbavu wa hao Watakaomudhibu na Nitawadharau hakuna mfano.

Alichokifanya Msemaji wa Simba SC Ahmed Ally ( ambaye upande mwingine ni Chief Propagandist wa Klabu ) na hata Kitasnia inaruhusiwa ni Kunogesha Tukio, Kuamsha Hisia, Kuchangamsha na inasaidia pia Kuhamasisha Watu kujaa ( kwenda ) Uwanjani hivyo GENTAMYCINE kama Mbobezi Tukuka wa Mass Communication ( nikiwa Mngwena hasa katika Print na PR ) nampongeza sana na mno Msemaji wa Simba SC Ahmed Ally kwa hiyo Kauli yake.

Na tena anastahili hadi Tuzo kama ambayo GENTAMYCINE nilipata hapa JamiiForums kwa kuwa Mshindi Bora ( wa Jumla ) wa Jukwaa hili la Michezo ( Sports ) kwa mwaka 2022 nikiwashinda waliodhani ni Magwiji Kiuchambuzi na kuleta Habari za Michezo hapa JamiiForums ( akina Greatest Of All Time akisaidiwa na Chama Baleke zamani OKW BOBAN SUNZU ) wakatia Tukuka Mwenyewe nipo.

Ushindi Wenu Yanga SC Kesho Jumapili tarehe 16 April, 2023 kwa Simba SC ni Suluhu ( 0 - 0 ) au Sare ( ya Magoli ) ila Kufungwa na Simba SC Kesho ni lazima kwa 99.999999%.

Imeisha hiyo..!!
Genta unasalimiwa uku na mr
. Living komu
 
kwanza niseme hivi simba haitufungi abadan,lakini siungi mkono kwa msemaji wa simba kuadhibiwa,anaadhibiwa kwa kosa gani?hizi timu ni watani wa jadi,kwani hamjui maana ya utani wa jadi?
kama tunataka staha kwenye utani wa jadi basi tff watengeneze code of conduct ili kuwaongoza wasemaji,vinginevyo tuache utani utawale,tutaniane na atakayeshinda basi ndio mpira
Timu zote 2 hazina Wasemaji zina wahamasishaji.
 
Ally Kamwe ( Msemaji wa Yanga SC ) Siku ambapo Simba SC ilifungwa na Raja Casablanca FC Goli 3 kwa 0 ( tena akiwa Clouds FM Kipindi cha Sports Extra ) Studioni akiwepo Mtangazaji mwana Yanga SC Prisca Kishamba na Mchambuzi mwana Simba SC Master Tindwa alitudhihaki wana Simba SC kuwa Tumebikiriwa na Mwarabu kwa Mkapa huku akisema kuwa Yanga SC ndiyo Wanamume wa Soka na Wengine ni Wamama tu.

Mbona GENTAMYCINE sikuwasikieni Wapumbavu na Wanafiki kutoka Jangwani mkiikemea hiyo Kauli ya Msemaji wenu Mrembuaji wa Macho, Mlamba Mdomo na mbana Pua Ali Kamwe?

Kuna Mechi Mbili za Simba na Yanga zilizopita ( ambazo zote Simba SC ) ilifungwa na Yanga SC Mashabiki wa Yanga SC walionekana wakiwa Wamebeba mfano wa Jeneza lililopambwa na Bendera ya Simba SC wakimaanisha Simba SC ndiyo Maiti na anaenda Kuzikwa. Mbona Wapumbavu na Wanafiki kutoka Jangwani hamkujitokeza Kulikemea hili?

Naungana na Msemaji wa Simba SC Ahmed Ally ( tena kwa 100% ) kwa kusema kuwa Simba SC Kesho Jumapili tarehe 16, April 2023 inaenda Kumkafini Mtu ( akimaanisha Yanga SC ) na kwamba Yanga SC ni sawa na Maiti ambayo Kesho inaenda Kuoshwa kabla ya Kuzikwa / Mazishi.

Kwa Taarifa yenu tu Watoto ( Vijana ) wa Siku hizi na Ushamba wenu Uliowatukuka ni kwamba Utani baina ya Vilabu vya Simba na Yanga ni wa Kawaida na wa muda mrefu tena kwa Sisi Wakongwe ( akina GENTAMYCINE ) tunaona miaka ya Siku hizi hakuna Utani na Umepungua mno.

Na kama Msemaji wa Simba SC Ahmed Ally ataadhibiwa kwa Kauli hii nitathibitisha Utaahaira na Upumbavu wa hao Watakaomudhibu na Nitawadharau hakuna mfano.

Alichokifanya Msemaji wa Simba SC Ahmed Ally ( ambaye upande mwingine ni Chief Propagandist wa Klabu ) na hata Kitasnia inaruhusiwa ni Kunogesha Tukio, Kuamsha Hisia, Kuchangamsha na inasaidia pia Kuhamasisha Watu kujaa ( kwenda ) Uwanjani hivyo GENTAMYCINE kama Mbobezi Tukuka wa Mass Communication ( nikiwa Mngwena hasa katika Print na PR ) nampongeza sana na mno Msemaji wa Simba SC Ahmed Ally kwa hiyo Kauli yake.

Na tena anastahili hadi Tuzo kama ambayo GENTAMYCINE nilipata hapa JamiiForums kwa kuwa Mshindi Bora ( wa Jumla ) wa Jukwaa hili la Michezo ( Sports ) kwa mwaka 2022 nikiwashinda waliodhani ni Magwiji Kiuchambuzi na kuleta Habari za Michezo hapa JamiiForums ( akina Greatest Of All Time akisaidiwa na Chama Baleke zamani OKW BOBAN SUNZU ) wakatia Tukuka Mwenyewe nipo.

Ushindi Wenu Yanga SC Kesho Jumapili tarehe 16 April, 2023 kwa Simba SC ni Suluhu ( 0 - 0 ) au Sare ( ya Magoli ) ila Kufungwa na Simba SC Kesho ni lazima kwa 99.999999%.

Imeisha hiyo..!!
Pumba
Ila we jamaa ni chokoraa
 
Ally Kamwe ( Msemaji wa Yanga SC ) Siku ambapo Simba SC ilifungwa na Raja Casablanca FC Goli 3 kwa 0 ( tena akiwa Clouds FM Kipindi cha Sports Extra ) Studioni akiwepo Mtangazaji mwana Yanga SC Prisca Kishamba na Mchambuzi mwana Simba SC Master Tindwa alitudhihaki wana Simba SC kuwa Tumebikiriwa na Mwarabu kwa Mkapa huku akisema kuwa Yanga SC ndiyo Wanamume wa Soka na Wengine ni Wamama tu.

Mbona GENTAMYCINE sikuwasikieni Wapumbavu na Wanafiki kutoka Jangwani mkiikemea hiyo Kauli ya Msemaji wenu Mrembuaji wa Macho, Mlamba Mdomo na mbana Pua Ali Kamwe?

Kuna Mechi Mbili za Simba na Yanga zilizopita ( ambazo zote Simba SC ) ilifungwa na Yanga SC Mashabiki wa Yanga SC walionekana wakiwa Wamebeba mfano wa Jeneza lililopambwa na Bendera ya Simba SC wakimaanisha Simba SC ndiyo Maiti na anaenda Kuzikwa. Mbona Wapumbavu na Wanafiki kutoka Jangwani hamkujitokeza Kulikemea hili?

Naungana na Msemaji wa Simba SC Ahmed Ally ( tena kwa 100% ) kwa kusema kuwa Simba SC Kesho Jumapili tarehe 16, April 2023 inaenda Kumkafini Mtu ( akimaanisha Yanga SC ) na kwamba Yanga SC ni sawa na Maiti ambayo Kesho inaenda Kuoshwa kabla ya Kuzikwa / Mazishi.

Kwa Taarifa yenu tu Watoto ( Vijana ) wa Siku hizi na Ushamba wenu Uliowatukuka ni kwamba Utani baina ya Vilabu vya Simba na Yanga ni wa Kawaida na wa muda mrefu tena kwa Sisi Wakongwe ( akina GENTAMYCINE ) tunaona miaka ya Siku hizi hakuna Utani na Umepungua mno.

Na kama Msemaji wa Simba SC Ahmed Ally ataadhibiwa kwa Kauli hii nitathibitisha Utaahaira na Upumbavu wa hao Watakaomudhibu na Nitawadharau hakuna mfano.

Alichokifanya Msemaji wa Simba SC Ahmed Ally ( ambaye upande mwingine ni Chief Propagandist wa Klabu ) na hata Kitasnia inaruhusiwa ni Kunogesha Tukio, Kuamsha Hisia, Kuchangamsha na inasaidia pia Kuhamasisha Watu kujaa ( kwenda ) Uwanjani hivyo GENTAMYCINE kama Mbobezi Tukuka wa Mass Communication ( nikiwa Mngwena hasa katika Print na PR ) nampongeza sana na mno Msemaji wa Simba SC Ahmed Ally kwa hiyo Kauli yake.

Na tena anastahili hadi Tuzo kama ambayo GENTAMYCINE nilipata hapa JamiiForums kwa kuwa Mshindi Bora ( wa Jumla ) wa Jukwaa hili la Michezo ( Sports ) kwa mwaka 2022 nikiwashinda waliodhani ni Magwiji Kiuchambuzi na kuleta Habari za Michezo hapa JamiiForums ( akina Greatest Of All Time akisaidiwa na Chama Baleke zamani OKW BOBAN SUNZU ) wakatia Tukuka Mwenyewe nipo.

Ushindi Wenu Yanga SC Kesho Jumapili tarehe 16 April, 2023 kwa Simba SC ni Suluhu ( 0 - 0 ) au Sare ( ya Magoli ) ila Kufungwa na Simba SC Kesho ni lazima kwa 99.999999%.

Imeisha hiyo..!!
Akili ndogo sana
 
Back
Top Bottom