what if unakufa arife itakuwa bomba kweli maana tutapost kinoma jf..
dah hiyo hatari my dear mimisa
ukiota kitu kama hicho uwe unaomba
na kuvunja nguvu za shetani,kemea pepo la kifo
pia washirikishe wachungaji ktk hili,huenda unaweza
kuzuia kifo kile kisitokee kwa maombi yako!!
Jamani The Boss, nikiota hivyo naamka kumuomba Mungu itimie nakusema asante Yesu, tunakemea mabaya na tunashukru mazuri. hujasikia ile story ya mchungaji alikuwa akimuombea mtu mwenye mapepo, mapepo yakasema tumetumwa tumletee milion kumi mchungaji kusikia hivyo akabadili badala ya kusema pepo toka akasema tokeni kwake mje kwangu.Na siku ukiota umepata pesa,mabilioni
utaamka na kupiga goti ukemee?
just asking
mimi sio mwombaji..familia yetu hakuna mambo ya uganga..ni wacha Mungu vizuri tu
Jamani The Boss, nikiota hivyo naamka kumuomba Mungu itimie nakusema asante Yesu, tunakemea mabaya na tunashukru mazuri. hujasikia ile story ya mchungaji alikuwa akimuombea mtu mwenye mapepo, mapepo yakasema tumetumwa tumletee milion kumi mchungaji kusikia hivyo akabadili badala ya kusema pepo toka akasema tokeni kwake mje kwangu.
mimi sio mwombaji..familia yetu hakuna mambo ya uganga..ni wacha Mungu vizuri tu