wakyagara wakinyora
JF-Expert Member
- Jan 1, 2013
- 735
- 288
As if wewe hutakufa!...Your turn might be as soon as the next day!
acha masikhara mkuu
As if wewe hutakufa!...Your turn might be as soon as the next day!
Yawezekana huwa unaonyeshwa vingi ila kwa kuwa kifo kinatisha ndo unakitilia maana ni na kufuatilia.tulia na uchunguze njozi zako utagundua mengi.maono ya vifo tuu Mama timmy
dada mtoa mada pole sana muhimu mi naona ni kuswali sana kumuomba Mwenyezi Mungi akufanyie wepesi. Pili, jaribu kuwa BIZE sana ili ikiwezekana wakati unakwenda kulala uwe umechoka sana hii itakusaidia kwani ukiingia tu kulala unapatwa na usingizi, na kwa kuwa utakuwa umechoka sana naona itasaidia kukupa usingizi mzito sio wa mang'amung'amu tena. POLE SANA MY DEAR ni mitihani tu hiyo na ninamuomba Mwenyezi Mungu akufanyie wepesi na subira, na akuzidishie imani.
acha masikhara mkuu
asante sana my dia
Usipatwe na uoga rafiki,i truly believe your so luck my dia,ila ukiota jaribu kusali ni kuipinga hiyo roho ya mauti kwa mtu husika uliemuotea then angalia nini kitatokea,unaposali sali kwa imani ukiamini hilo jambo halitatokea,hayo yanaitwa maono na few are blessed so be happy but do something my dia,usikae na kusikitika tu kusubiri habari mbaya.
Rafiki nisamehe kama nimekukwaza. Nilikua najaribu kuangalia tatizo lako nje ya box. Simaanishi lazima uwe na pepo , ushauri wangu ni kwamba ingefaa kama ungeenda kwenye huduma ya maombezi ili hiyo karama ikajaribiwa kama inatoka kwa Mungu au kwa yule muovu. Kumbuka tumeruhusiwa kuzijaribu roho. Nilitoa ushauri huo kutokana na uzoefu mdogo wa huduma , naweza kua nimekosea.Ablessed pepo?.Mungu wangu
Rafiki nisamehe kama nimekukwaza. Nilikua najaribu kuangalia tatizo lako nje ya box. Simaanishi lazima uwe na pepo , ushauri wangu ni kwamba ingefaa kama ungeenda kwenye huduma ya maombezi ili hiyo karama ikajaribiwa kama inatoka kwa Mungu au kwa yule muovu. Kumbuka tumeruhusiwa kuzijaribu roho. Nilitoa ushauri huo kutokana na uzoefu mdogo wa huduma , naweza kua nimekosea.
Una neema sana ya wokovu ila utadaiwa, hao wote hawakufa ndani ya mpango wa Mungu na ungewaombea japo kidogo tuu ungewaokoa na mauti kama wewe ni mkristo yakupasa usimame .Ukiota kitu kibaya ina maana umepata privilege ya kufahamishwa mapema uovu ambao shetani is about to do so next time ukitokewa na hizo ndoto unaamka na kusali kwa kukemea roho ya mauti .
Ulishawahi sikia mtu kapata ajali mbaya na haikupelekea kifo chake?sometimes kuna watu hunyemelewa na umauti ambapo sio mpango wa Mungu na yamkini akitokea mtu wa kuikemea hiyo roho basi anaponea kwenye tundu la sindano.
Only believers will understand this
hahahahahahaha...mkuu naona umeooogopoopa!..sasa mbona wewe unamtisha mwenzio?
hisia naona zina afadhali..maana ukigundua zinakuja haraka utakemea..ndoto,inakuja wakati ambao wewe hauwez ku control chochote.
Bibie mimisa, naomba uniotee ccm itakuwaje kunako 2015? Nitakununulia pipi kijiti ukinipa jibu safi.