Nikiota msiba,haichukui muda unatokea..

Nikiota msiba,haichukui muda unatokea..

asante The Boss..sikumbuki kama nishawahi kuota kitu tofauti na kikatokea..maybe kwa kua siku pay attention..

Anza leo ku pay attention utashangaa

umewahi kuota unapaa?
upo kwenye gari linakimbia?
unakimbizwa?
unavuka maji?

kila ndoto ina ,maana
 
Pole sana. Hii hali inaweza kuelezeka vizuri zaidi kama mtu akifahamu imani yako katika Jina la Yesu. Inabidi utambue kuwa kuna maono na kuna roho za utambuzi. Unaweza ukawa na vyote hivi au kimoja wapo lakini haimaanishi kuwa lazima viwe vinatoka kwa Mungu. Kama wewe ni msomaji wa Biblia utakumbuka kuna mahali pameandikwa yupo mtu aliyewaambia kina Petro mambo yanayowahusu japo hakuwafahamu kutokana na roho ya utambuzi aliyokuwa nayo. Hata hivyo kina Petro waliikemea ile roho ikamtoka sbb haikutokana na Mungu. Ila kama wewe unaimani na nimcha Mungu basi ujue hayo yanakuwa mafunuo toka kwa Mungu akikupasha habari za mambo yajayo ili uombe. Kuota ndoto hizi nakukaa kimya badala yakuomba rehema juu ya uliyemuota nakuvunja roho ya mauti inakuwa deni kubwa kwako mbele za Mungu. Mungu hakuonyeshi ili uangalie nakukaa kimya ila anakuonyesha ili kupitia maombi yako hizi roho zipone na mauti. Ni somo pana sana hili ila usipoomba utadaiwa mbele za Mungu. Unaweza kunipm kama utataka ushauri zaidi.

Wana jamvi naandika hapa nikiwa na hofu na mashaka juu yangu mwenyewe..
hili jambo limekua likinitatiza sana..mwaka 2006,nikiwa shule niliota nyumbani tunalia,tumefiwa,haikuchukua hata wiki mbili..nikapigiwa simu kujulishwa msiba,bibi yangu mzaa mama amefariki..

Mwaka uliofuata nikaota mjomba wangu kafariki..wiki kadhaa baadae mtoto wa mjomba wangu nlomuota (binamu yangu sasa)alifariki kwa kupigwa na radi..nikaanza kujistukia lakini sikumuambia mtu..Mwaka jana niliota kuna msiba umetokea kwao my best frnd kabisa wa toka utoto (tumekua kama ndugu sasa)..haukupita muda,kaka yake akafariki..miezi miwili baada ya huo msiba,nikaota tena msiba tena..baba yake na my best huyo huyo akafariki..

Leo usiku,nimelala usingizi wa mang'amu ng'amu..nimeota niko msibani nalia..sasa hivi tuu nimepata ujumbe wa simu mjomba wa rafiki yangu (sio alofiwa na kaka na baba) amefariki..

Jamani ni nini hii?..wengine husema wakiota msiba maana yake ni jambo la heri mbona mm sio hivo?

Hapa sina amani..
 
Pole sna hiyo ni karama umepewa na Mungu,jitahid inapotokea amka na umuombe Mungu na ukemee na uombe hekima uongee na muhusika atengeneze maisha yake na awe karibu na Mungu amuepushie dhahama hiyo.
 
Usihofu, kuna watu wanaota ndoto zinakuwa za kweli na wengine zinakuwa za uongo au ni opposite kwa ile ndoto. Hiyo ni strength kwako. Vipi na ndoto nyingine ukiacha za msiba unaota? Na majibu yake unayapata? Unajua wewe unalalamika ndoto ila kuna wengine pia wakisema jambo huwa linatimia. Mimi binafsi nikisema jambo kwa kudhamiria huwa linatimia hasa la kama nimeonewa!!!! Kwa mfano ukinidhulumu mali yangu na kama ni kweli na ikifikia mwoshowe nikakuambia kuwa sitakudai tena ila itapeperuka kama upepo, na itatokea kweli. Kama ni jambo jema pia ninataka kumwomba Mungu anifanyie nikiaminia huwa linatokea. Kwa hiyo huwa mara nyingi najitahidi sana kuchunga ulimi wangu pale ninapopata hasira ya jambo la mtu kuniudhi au kunidhulumu maana nikitamka haipiti muda inaanza kutumia. Kwa mantiki hii binadamu kila mtu ana kitu ambacho kipo kwenye asili yake. Cha msingi pia omba Mungu na tafuta watumishii wa Mungu wakuombee waifunge hiyo ndoto ya mauti. Pole sana. binafsi naota mara chache sana na sijawahi kuona zikitimia!!!! Nikilala ni fofo fofo kama mtoto mdogo.
 
Pole mimisa

na imani kuwa hizo ndoto unazoota kisha tukio kutokea kweli, na kama u mcha Mungu basi ni nafasi ya kuwaombea hao unaowaota ili kama inawezekana hayo mambo yasiwatokee....
 
Last edited by a moderator:
Hali kama hiyo nimeiona kwa rafiki yangu ila yeye anaota na kuona vitu vinavyodhuru ukoo wake.
Alijaribu kuombewa ikashindikana,mchungaji mmoja akwambia hayo ni maono na sio kitu kibaya
Sasa yupo kama mlinzi wa ukoo wake
 
Usiogope mimisa. Kuna watu wamejaaliwa kuoneshwa baadhi ya vitu kupitia ndoto. Hiyo ni karama Mungu amekupa.
Usiogope ila mshukuru Mungu na kufanya maombi kila uotapo. Mungu atakutumia zaidi na zaidi katika kufanikisha kusudi lake.

Wana jamvi naandika hapa nikiwa na hofu na mashaka juu yangu mwenyewe..
hili jambo limekua likinitatiza sana..mwaka 2006,nikiwa shule niliota nyumbani tunalia,tumefiwa,haikuchukua hata wiki mbili..nikapigiwa simu kujulishwa msiba,bibi yangu mzaa mama amefariki..

Mwaka uliofuata nikaota mjomba wangu kafariki..wiki kadhaa baadae mtoto wa mjomba wangu nlomuota (binamu yangu sasa)alifariki kwa kupigwa na radi..nikaanza kujistukia lakini sikumuambia mtu..Mwaka jana niliota kuna msiba umetokea kwao my best frnd kabisa wa toka utoto (tumekua kama ndugu sasa)..haukupita muda,kaka yake akafariki..miezi miwili baada ya huo msiba,nikaota tena msiba tena..baba yake na my best huyo huyo akafariki..

Leo usiku,nimelala usingizi wa mang'amu ng'amu..nimeota niko msibani nalia..sasa hivi tuu nimepata ujumbe wa simu mjomba wa rafiki yangu (sio alofiwa na kaka na baba) amefariki..

Jamani ni nini hii?..wengine husema wakiota msiba maana yake ni jambo la heri mbona mm sio hivo?

Hapa sina amani..



Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Last edited by a moderator:
Ndugu yangu Sali sana na kufunga kwa moyoy mmoja huku ukimuomba mwenyezi mungu akuepushe na hayo majaribu

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
Mokoyo hujamalizia when a dream is from your flesh inakuaje.
Please share kidogo.


dreams can come from 3 sources:- God
- Satan
- Your flesh
When a dream is from God, it…
- Encourages
- Assures
- Comforts
- Directs
- Instructs
- Guides
- Corrects
- Reveals

When a dream is from the enemy, satan, it is
- Absurd
- Mysterious
- Unreasonable
- Confusing
- Terrifying



Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Last edited by a moderator:
Pole dear, hii si hali nzuri ni dalili ya kua na pepo la utambuzi. Hivyo ukiweza nenda mahala ukaombewe.
 
Wana jamvi naandika hapa nikiwa na hofu na mashaka juu yangu mwenyewe..
hili jambo limekua likinitatiza sana..mwaka 2006,nikiwa shule niliota nyumbani tunalia,tumefiwa,haikuchukua hata wiki mbili..nikapigiwa simu kujulishwa msiba,bibi yangu mzaa mama amefariki..

Mwaka uliofuata nikaota mjomba wangu kafariki..wiki kadhaa baadae mtoto wa mjomba wangu nlomuota (binamu yangu sasa)alifariki kwa kupigwa na radi..nikaanza kujistukia lakini sikumuambia mtu..Mwaka jana niliota kuna msiba umetokea kwao my best frnd kabisa wa toka utoto (tumekua kama ndugu sasa)..haukupita muda,kaka yake akafariki..miezi miwili baada ya huo msiba,nikaota tena msiba tena..baba yake na my best huyo huyo akafariki..

Leo usiku,nimelala usingizi wa mang'amu ng'amu..nimeota niko msibani nalia..sasa hivi tuu nimepata ujumbe wa simu mjomba wa rafiki yangu (sio alofiwa na kaka na baba) amefariki..

Jamani ni nini hii?..wengine husema wakiota msiba maana yake ni jambo la heri mbona mm sio hivo?

Hapa sina amani..

angalia usijiote mwenyewe.....🙂🙂
 
Wana jamvi naandika hapa nikiwa na hofu na mashaka juu yangu mwenyewe..
hili jambo limekua likinitatiza sana..mwaka 2006,nikiwa shule niliota nyumbani tunalia,tumefiwa,haikuchukua hata wiki mbili..nikapigiwa simu kujulishwa msiba,bibi yangu mzaa mama amefariki..

Mwaka uliofuata nikaota mjomba wangu kafariki..wiki kadhaa baadae mtoto wa mjomba wangu nlomuota (binamu yangu sasa)alifariki kwa kupigwa na radi..nikaanza kujistukia lakini sikumuambia mtu..Mwaka jana niliota kuna msiba umetokea kwao my best frnd kabisa wa toka utoto (tumekua kama ndugu sasa)..haukupita muda,kaka yake akafariki..miezi miwili baada ya huo msiba,nikaota tena msiba tena..baba yake na my best huyo huyo akafariki..

Leo usiku,nimelala usingizi wa mang'amu ng'amu..nimeota niko msibani nalia..sasa hivi tuu nimepata ujumbe wa simu mjomba wa rafiki yangu (sio alofiwa na kaka na baba) amefariki..

Jamani ni nini hii?..wengine husema wakiota msiba maana yake ni jambo la heri mbona mm sio hivo?

Hapa sina amani..

ndugu zako wanajua chochote kuhusu ndoto zako??pole sana this is scary...
 
Vip ukisema mara unapoota ili maombi yafanyike uone kama haitatokea. Mungu wetu hujibu maombi
 
shukani..Kufunuliwa ni jambo zuri lakini inapokua ktk suala la kifo,ndo apo shida inapokuja..mie sijawa mwombaji kiukweli..
nimesema hivyo kwa kuwa mtu ambaye ni mwombaji(prayer worrier) mara nyingi Mungu anamfunulia vitu vingi sana vya mbeleni hata vilivyopita. Mdogo wangu wa kike ana kipawa hichi na nimwombaji mzuri na amekuwa akitwambia mambo mbalimbali in our family. the most recent ni kifo cha kaka yetu mkubwa and it happened. Nimekutana naye wiki iliyopita akanambia kitu cha ukweli kinachotokea in my life ila mimi sikumwambia kuwa ni kweli ila nilijua ni kweli alichokisema. Kama mngekuwa na mambo ya kiuga uganga tungesema pia mikoba ya bibi inakuandama hiyo pia huwa inatokea.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom