mimisa
JF-Expert Member
- Apr 5, 2012
- 2,511
- 1,441
- Thread starter
- #61
ts a gift Yes..but kama ni juu ya kifo,inatiisha double R
Mi mama yangu, baba alishamwambia akiota baya kuhusu yeye akae kimya asiseme. Anaota mengi, mengine yanatokea hivyo hivyo 100% mengine kunakuwa na tofauti kidogo. Wakati mwingine unaweza kukasirika akiwambia ameota kitu ambacho wewe unatamani iwe tofauti. Zingine huota hata baada ya mwaka ndo hutimia. I think it is a gift.
Last edited by a moderator: