Kisima
JF-Expert Member
- Oct 8, 2010
- 4,447
- 5,465
Mkuu hao majamaa wanakuZOOM tu usifikiri wamekupotezea.
Halafu ngoja nikwambie ulipoteleza ni pale ulipoingiza sana hofu ya kudhurumiwa hela yako, wao walitafasili kama umekuwa mjuaji sana! Ko dizaini ni kama wameamua kukupotezea kimitego na maksudi huku wakisoma reaction yako. Hapa ule msemo wa "aliwazalo mjinga ndo litakalo mtokeo..." ndo umekuwa applicable.
Kwenye dunia ya mahastlers huwa tunatanguliza UBABE na sio HOFU.
Yaani pale mwanzo walipokuface ulitakiwa uwe kauzu "mnataka 3m leteni bond niwakatie mpunga longolongo sitaki kila mtu apambane na mbanga zake, na mkichelewesha nautia sokoni mkebe wenu.
Wapambanaji huwa hatuokoani kwa maringo/mbwembwe. Kuwa kauzu nao watarespect kwamba hii ni pesa ya mwanaume hajaipata kirahisi.
Kuwa mpole usihangaike kuwatafuta na jifanye kama 3m huitetemekei. Chap watakuletea shekeli yako.
Halafu ngoja nikwambie ulipoteleza ni pale ulipoingiza sana hofu ya kudhurumiwa hela yako, wao walitafasili kama umekuwa mjuaji sana! Ko dizaini ni kama wameamua kukupotezea kimitego na maksudi huku wakisoma reaction yako. Hapa ule msemo wa "aliwazalo mjinga ndo litakalo mtokeo..." ndo umekuwa applicable.
Kwenye dunia ya mahastlers huwa tunatanguliza UBABE na sio HOFU.
Yaani pale mwanzo walipokuface ulitakiwa uwe kauzu "mnataka 3m leteni bond niwakatie mpunga longolongo sitaki kila mtu apambane na mbanga zake, na mkichelewesha nautia sokoni mkebe wenu.
Wapambanaji huwa hatuokoani kwa maringo/mbwembwe. Kuwa kauzu nao watarespect kwamba hii ni pesa ya mwanaume hajaipata kirahisi.
Kuwa mpole usihangaike kuwatafuta na jifanye kama 3m huitetemekei. Chap watakuletea shekeli yako.

