Imalamawazo
JF-Expert Member
- Jul 27, 2021
- 1,343
- 3,280
Huenda gari ni ya wizi pia. Akiitoa barabarani tayari anakuwa ameshajiunga kwenye mtandao wa wizi wa hiyo gari.Kwani gari imekaa ndani kama picha?
Anza kuizungukia na kuifanyia biashara. Bebea hata matofali.
In case wakija hela watakupa, wasipokuja unakua umerudisha hela yako



