Ngojea Nikwambie Kitu Mkuu,ishu hiyo nyepesi sana.
Wewe shida yako si Hela 3m tu, sasa wala usisumbuane na mtu uzuri mlisha andikishana.
Chukua gari na uzuri una..mpaka KADI ya gari Tafuta Microfinance yoyote wanaokopesha kawakope 3M hiyo hiyo (ACHA TAMAA)
Kopa 3m kisha tulia zako, Usirejeshe hata shilingi wakikupgia wambie Mtu ulotegemea akupe hela zako Hapokei simu ( unawataja hao wahusika)
Basi wao kwakua wana vibali na ruhusa Zote Watauza Gari watajilipa Chao.
Huko mbeleni majamaa wakikinukisha Unasema ukikwama ukaenda Kukopa Hela sehemu flani na ndio gari wameliuza Hao.
Muhimu : Kopa 3m tu hela uliyowapa ndio utaonekana kweli ulikua na shida na hela yako. ila ukikopa ZAIDI utatwangwa swali kwann ukope zaidi na gari si lako? utakosa majibu.
Kakope 3M Tia hela yako mfukoni, tulia hao majamaa wakija wambie kama mnataka kuuza GARI uzeni hilo hapo.