Amicus Curiae
JF-Expert Member
- Sep 12, 2012
- 5,352
- 7,662
- Thread starter
- #41
Sawa mkuu ngoja nijaribu.Watafute. Sisi sio milima
Sawa mkuu ngoja nijaribu.Watafute. Sisi sio milima
Mkataba upo. Utanisemea.Kumbuka hao waliokupatia gari, kama hawataonekana au mabaya yoyote yatawakuta; jua upo tayari hatiani, kwa ushauri nenda polisi mapema ili utoe maelezo.
Tunaijia chuma yetu next year, then tuta anzisha mgogoro na wewe kwamba umeongesha na umeikwangua na umeichakaza alafu tutakudai fidia alafu pesa yako unayo tudai itakua imekufa kimtindo...![]()



Hakuna uenyeji wowote mkuu. Unless kama hujasoma uzi wangu between lines. Nimesema kuna makubaliano (mkataba) ulioandikwa, tena kwa Wakili.Kwann mnakabidhiana vitu kienyeji hivyo?? Hao wanaweza hata kukugeuka gari lao limeibiwa ukawa matatizoni!! Kifupi hao ndo wake ninaowasema WAABESHI umekutana nao
Dah mkuu umezungumza kiungwana sana.Acha uwoga mzee chukua gari hiyo humu wanakutisha kukuonea wivu hao hawawezi kukulipa ni watu wa madili hapo wenzio wanawaza madili mengine washaesabu wamepoteza kama mumeandikishana kwamba wakishindwa uchukue gari unaogopa nini kufa au mbona kufa kawaida kwenye maisha yetu ishi kama manigga wa marekani acha uoga
Asante sana mkuu.huo msala kwa 70% na salama kwako kwa 30% …mwanzo kabisa ungekataa kujihusisha na hayo makubaliano kama rafiki yao alivyowaruka maana alifahamu mabalah yao . Ila pia watu wa madeal wanamambo mengi inawezekana kabisa hiyo gari wamechukulia kuwa imeshapotea so hawana mpango nayo tena, lakini kwa usalama wako fanya namna nyingine ya kupata hiyo 3M irudishe kwenye biashara zako ziendelee na gari iache kama ilivyo kwa muda flani wanaweza kuifata tena na wengine(Ma-mafia)uwaga wanaroho safi wanaeza kuja wakakulipa na fidia juu hadi haitoamini, ila usijekubali tena biashara kama hiyo

Usihamishe umiliki kwa njia za mkato itakusumbua sana.. Watu wa namna hiyo hawana huruma na wamejawa na ukatili wa ajabuWakuu, kwanza poleni kwa mihangaiko ya kutwa nzima ya leo. Ndugu yenu nataka kufanya maamuzi ila sitaki nionekane nimedhulumu haki ya mtu.
Miezi 3 iliyopita kuna jamaa ambao sifahamiani nao; walikuwa wanasafirisha magendo kwa gari binafsi kutoka point "X" kwenda point "Y". Wakakamatwa na polisi njiani wakawekwa ndani. Gari nayo (Spacio) ikazuiliwa kama kielelezo.
Sijui walielewana nini na askari, wakawa wana shida na mill 3. Nikapigiwa simu na mwanangu mmoja ambaye ndio anafahamiana na hao watuhumiwa, akaniomba niwakopeshe hiyo hela kwasababu anawafahamu, ila akakataa kuwadhamini.
Na mimi nikashtuka. Ili kuepuka kugombana na jamaa yangu nikakataa kutoa pesa kwa mali kauli. Mmoja wa watuhumiwa akaomba aagize gari yake itoke mkoani ije iwekwe bond kwangu ili niwape pesa. Gari ikaja.
Nikatoa pesa, jamaa wakatoka mahabusu, tukaandika makubaliano, nikakabidhiwa gari (Toyota crown athlete mpya kabisa) na kadi yake. Mwisho wa wao kunirudishia pesa yangu ilikuwa ni juzi tar 12/08/2023. Makubaliano yanasema wakishindwa kurudisha hiyo pesa kwa wakati bila taarifa yoyote rasmi, basi gari itakuwa mali yangu. Cha ajabu ni kwamba, hadi hiyo tarehe 12 inakaribia hakuna hata mmoja kati ya wale watuhumiwa amenipigia simu! Wote wako kimya na hawapatikani! Ninayewasiliana nae ni huyu jamaa yangu tu ambaye naishi nae huku niliko, na yeye hajui kilichowasibu!
Sasa ningeweza kuwasikilizia ila hela yangu iko kwenye mzunguko, natakiwa niitumbukize mahali niongeze faida. Hapa nafanyaje wakuu? Nikijihamishia umiliki wa hii gari sitaonekana nimedhulumu? Manake wanadamu kwa nongwa hatujambo!
Naombeni ushauri.
Kuna watu bongo wanaishi kama manigga wa marekani wao ni madili makubwa tena hapo wenzio washaipotezea wewe unawaza Kwa uoga na kutishwa humu jamii forum chukua ndinga hiyo mkataba wao na wewe inamaana wao wamevunja mkataba Sasa ukiendelea na roho ya uoga utaendelea kuitazama tu mpaka unakufaDah mkuu umezungumza kiungwana sana.
Unajua, kuna baadhi ya watu wamezoea michezo ya kupata na kupoteza. Pengine wao hata hawaiwazi hii gari
Sema wakuu wanavyonitisha sasa humu!
Kuna niliposema hivyo?Kwahiyo unaogopa kufa au kurogwa wakati umeumbwa
Nakushauri urudi kwa mwanasheria huyo huyo, akupe ushauri namna ya kujinasua kwenye huo mtegoMkataba upo. Utanisemea.
Hili ndio nenoPesa ndogo iyo kwa Crown. Hao mafia ukiwadhurumu watakutafuta.
Cha kufanya, wakirudi hewani, wakulipe na riba.
Tatizo ni kutanguliaKwahiyo unaogopa kufa au kurogwa wakati umeumbwa
Naomba usinilishe maneno tafadhali na sihusiki na tafsiri zakoNdio unapomaanisha kumshauri hivyo wakati Hilo ni dili hmna kitu Chochote hapo Cha kutisha
Jobless kila kitu huwa mnaona chaiChai hii, tena haina hata maziwa.
Njoo sasa hivi nikupige shokaWameshatangulia wengi sana
Haya we mdanganye mwenzako hivyo hivyo!ukute jamaa wamezoea deal mbovu wa-deal nae nje ya sheria wamuumize.Acha uwoga mzee chukua gari hiyo humu wanakutisha kukuonea wivu hao hawawezi kukulipa ni watu wa madili hapo wenzio wanawaza madili mengine washaesabu wamepoteza kama mumeandikishana kwamba wakishindwa uchukue gari unaogopa nini kufa au mbona kufa kawaida kwenye maisha yetu ishi kama manigga wa marekani acha uoga