Che mittoga
JF-Expert Member
- Mar 28, 2017
- 14,366
- 18,152
Hapa nasoma tu siwaafahamu Freemasonry.
Hicho cha ziada ni kipi?Kuna mambo mengi sana watu wanapaswa kuyafanyia utafiti bila kuongozwa na hisia zozote zile za kidini au kidhehebu ili waweze kupata ukweli.....
Ukishaona mtu anaona tu kuwa Freemason ndiyokila kitu au Illuminati jua kuna shida mahali kwasababu kuna zaidi ya hapo....
Siri ikishajulikana sio siri , yaani yeye anamwaga siri za watu hadharani alafu bado anaita siri !!!Mi namshangaa et kuna siri ambazo illuminant hawataki watu wazijue afu yeye kazitaja swali yeye kazijuaje hizo mbinu?
Sent using Jamii Forums mobile app
Daaah, kumbe Jerry ndie AaronTunaanza kama ifuatavyo..
The Same post
Hii Signature ya YHWH IS GOOD eti ni ya nani...???


Jerry bnaWewe tatizo kichwa kigumu, mtoa mada kaeleweka, tatizo unajiganyaga mjuaji kwa kila kitu kumbe kopo tu



Jerry ndio nanJerry bna![]()
Jerry ndio nan
Hata sielewi unaongea nnNdio msigwa
Umesema vyema sana mkuu,,watu hawajui wakisemacho kuhusu masonic ,kuna mmoja et kasema kabla ya wakoloni babu zetu walitoa kafra kwa shetani,na baadae wkaanza kutoa kwa mungu.nilipomuuliza kwa nini akaondoka kimoja