Niijuavyo Freemasonry

Niijuavyo Freemasonry

Che mittoga, Atoae kafara na atamanie tu kitu Cha mwenzake wote hawatauona ufalme!!

Usifocus kwenye dhambi 1, dhambi Ni nyingi Sana na zote zinamkosesha mtu mbingu

Goite
 
Uliwahi kuingia Ibadani kwao na kuwachunguza vizuri?

Sent using Jamii Forums mobile app
Mambo ya Ibada ni mambo yao.
Wewe umesema Freemason hawapo.
Mimi nimekuhakikishia wapo .
Sasa mambo ya ibada zao wewe yanakuhusu nini ?
Cha msingi Freemasoni wapo na wamejisajiri Serikalini kama Taasisi isiyo ya Kiserikali.




Sent using Jamii Forums mobile app
 
Che mittoga, Ndio nakuambia hivii, hakuna cha secret society na wala hawafanyi hayo yanayosemwa huku.

Nimeshaenda mpaka kwenye eneo lao wanalosema ni la Ibada karibu na entrance gate ya YMCA hakuna kitu.

Nimewaambia Waniunge hata hapa nawaambia tena, hakuna watakachofanya zaidi ya mizunguko na usanii usio na maana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe ndio huelewi.

Ninasema Freemason pamoja na mambo yake mnayozungumza huku havipo.

Kama vipo vidhibitishe hapa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Sawa hapo Kwanza umekubali kuwa Freemason wapo.
Sasa turudi kwenye mambo yake.
Unasema mambo yake yanayozungumziwa huku hayapo.
Ni mambo gani hayo hebu tueleze wewe usitake ya kuambiwa.
Nini nini hasa ambacho unafikiri Freemasoni hawakifanyi na kwa sababu gani ?


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sawa hapo Kwanza umekubali kuwa Freemason wapo.
Sasa turudi kwenye mambo yake.
Unasema mambo yake yanayozungumziwa huku hayapo.
Ni mambo gani hayo hebu tueleze wewe usitake ya kuambiwa.
Nini nini hasa ambacho unafikiri Freemasoni hawakifanyi na kwa sababu gani ?


Sent using Jamii Forums mobile app
Nimekubali wapi kwamba Freemason ipo?

Hebu nioneshe nilipokubali.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mtoa mada umesema sio dini, je mtu anaweza kuwa freemason wakati anaendelea kuabudu katika dini yake ya kawaida?
Katika mijadala ya freemason wao wanasema ni lazima uwe na dini yako yaani uwe unaamini mungu ndio maana hata ktk Alama zao Kuna Alama "G" ambayo huashiria God au Greatness

mwanabhonga
 
Back
Top Bottom