Niijuavyo Freemasonry

Niijuavyo Freemasonry

Na wewe umedanganywa hivyo unafikiri unazijua.

Hivyo umeamua uje utudanganye na sisi.
napata wapi hizi siri za hawa Freemason?

Yesu aliahidi kwamba “…….

hakuna neno lililositirika, ambalo halitafunuliwa; wala
lililofichwa ambalo halitajulikana. Niwaambialo ninyi katika giza, lisemeni katika nuru; na msikialo kwa siri lihubirini juu ya nyumba.” Mathayo 10:26-28

na sasa siri zilizopangwa na Illuminati zinafichuka na si muda mrefu ulimwengu utashuhudia vita kuu ya 3 na ya mwisho ya dunia itakayotumiwa kama sababu ya kuundwa kwa serikali na dini moja ya dunia.
 
unazunguka sana sema tu ninachuki na kanisa katoliki tutakuelewa kirahisi sana................

kila aliye na maendeleo, iwe na ya kielimu, iwe ni ya kiuchumi, iwe ni ya kidini iwe ni ya kisiasa....,....
MNAMUUNGA NA MAKUNDI NA MAMBO YA KISHETANI
KAZANENI MBINGU IPO KARIBU......

otherwise pole sana na majukumu mema....,....
Una akili ndogo ila jiulize vitu vdg vdg hlf ufanye na utafiti sio kuleta udini

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Asante Mtoa Mada
Kwa dhati kabisa nakupongeza mtoa mada.
Umeeleza vizuri sana kuhusu mada yako.
Wengi huwa wanaficha haya mambo lakini wewe umeonesha mwanga.
Nina uhakika Roho Mtakatifu amekuongoza ili kuwaaleza watu ukweli kuhusu
Freemason
Illuminant
New Word Order
na athari zake katika madhehebu ya Kikristo.

Binafsi nakuomba uendelee kutuelimisha na usiikatishe hii mada.
Hawa watu wamejiingiza sana kwenye Ukristo, wamejipenyeza kwenye madhehebu makubwa na madogo bila waumini kushituka.
Tunaona tu mara makanisa yanaanza kubariki vitendo vya ushoga nk.
Pia hiyo misalaba ni kweli hao watu wanaingiza misaraba yao makanisani, bila waumini kujua, mingi kati ya hiyo iko sawa kama huu + na mingine iko upside down yaani juu kurefu kupita chini. msalaba kawaida chini ni kurefu kupita juu.
Pia hao watu huchomeka sanamu za miungu yao kanisani, ndo maana AROON analia sana na jambo hili.
Huwa wanachukua picha za miungu yao na wana ziingiza kanisani kama sanamu za kumbukumbu za watakatifu wa zamani kama, Maria, Yosefu, na baadhi ya mitume na manabii kumbe ni miungu yao na bila kujua waumini wanaisujudia.
Ni kweli pia Freemason wanamtambua mpinzani wao ni Ukristo.
Hawana habari na dini nyingine na ndio maana wanataka Ukristo uonekane kama Old World Order ( OWO) na imani yao ndio New World Order. (NWO)
Ndio maana mguvu zao zote wanazielekeza makanisani huku nao wakufungua makanisa yao feki.

Sasa tuwe na tahadhari na mambo haya.

Mleta mada tunakusubiri kwa hamu uendelee kutuhabarisha juu ya jambo hili.
 
Hili bandiko halina muendelezo wa kinacho ongelewa mtiririko wake uko kwa pointi kupandana. Kabla pointi moja haijaeleweka na kukamilika inapandishwa nyingine.


Nimemkumbuka mtabiri mmoja mashuhuri wa EA. Yeye kumuelewa ilikuwa kazi akianzisha hadithi moja haikamilishi, ila yeye kazi yake ilikuwa ni kubandika nyingine juu ya nyingine.

Eti adamu akamtoa kaini ubavuni mwake, je hawa alitokea wapi? Shetani ushindwe na ulegee. Halafu kinachopigwa vita hapa ni ukristo, kwa nini ukristo na si dini nyingine? Ni iweke hivi shetani katika jina la freemason anapiga vita ukristo, kwa nini ukristo na sio ubudha kwa mfano? Hana tatizo na ubudha ndio maana yake.

Freemason wa aina za misalaba, ikisha kuwa misalaba ya aina nyingi ili iweje? Ukweli utabaki palepale msalaba wa Yesu ndio ukombozi wa mwadamu ulipo hapo, ndio ukweli wenyewe ambao sijui hizo aina za misalaba ya freemason zinafuta vipi huu ukweli?



Na washawasha!
 
Acha kudharau kanisa za wengine maana vyote ulivyoandika hapo umekopi na kupesiti. Jaribu kufikiria vizuri kanisa za watu siyo za kutania kiivo

Sent using Jamii Forums mobile app
Huyo jama hajadharau kanisa ameeleza ukweli kuhusu nia ya Freemason.
Freemason waliuona Ukristo kuwa ni imani yenye nguvu za Kiroho na Kihalisia.
Kwakuwa lengo lao ni kutawala dunia Kiroho na Kihalisia, mkakati wao wa kwanza ulikuwa kuyapoteza malengo ya Ukristo.
Hapa sizungumzii Ukatoriki.
Mkakati wa pili ulikuwa ni kuitawala dunia kwa Sera ya New World Order.
Yaani kuingiza taratibu zitakazotawala au kushika hatamu kwenye ulimwengu mpya wa Kiroho na
Kiuhalisia.
Kwakuwa Roman Cathoric ndilo kanisa lenye nguvu na maarufu na lina waumini wengi zaidi, Freemason wakaanza kupandiliza watu wao ili wawe watumishi wa Kanisa katoriki ili wafanikishe kuliteka kuelekea upagani na kuhitimisha ndoto yao ya kuua Ukristo.
Hivyo ni ukweli kabisa kuna Maaskofu, makardinari, mapadre, makatekista kwenye kanisa Katoriki Anglikana nk. ambao ni mapandikizi ya Freemasoni.
Ona Anglikana walivyotekwa hadi makanisa ya Ulaya yameruhusu Ushoga kwa watumishi wake, hapo Freemason wanashangilia.
Ona jinsi baadhi ya watumishi wa kanisa Katoriki wanavyojihusisha na ubakaji, ulawiti, na wanamshinikiza sana Papa autambue Ushoga ili watimize lengo lao.
Freemasoni wamejipenyeza katika taasisi karibu zote zenye nguvu, na hata za dini ili watawale dunia.
Hakuna dhehebu la Kikristo ambalo ni kubwa lililoenea zaidi ya Bara moja ambalo hawajajipenyeza.
Vibaraka wao wapo hadi kwenye viongozi wenye mguvu wa Kisiasa.
Tusiwafumbie macho Freemasoni, wapo na wanajipenyeza kwa nguvu ndani ya Ukristo na Kanisa kwa ujumla ili Kuua Ukristo na kujenga himaya ya Shetani humo makanisani na Serikarini.
Freemasoni adui yao ni Ukristo na hawana habari na dini nyingine. Kwenye biblia yao inayoitwa
"The Holy Bible Of Freemason"
Kuna karibu mitume na manabii wote wanaotajwa kwenye Biblia ya Wakristo.
Yesu na wanafunzi wake kumi na mbili wapo, waandishi wa vitabu vya Agano jipya akina Mathayo, Luka, Paulo wote wapo.
Hii imefanyika ili watu waone kana kwamba wanasoma biblia halisi na Mungu ni yuleyule kumbe siyo.
Mtoa mada kaandika vizuri sana na Freemasoni hawataki aweke siri zao hadharani kiasi hiki ndio maana shughuri zao wanafanya kwa Siri ili kuficha nia yao Ovu. Kama wangekuwa na nia njema wangeabudu hadharani na kila mtu angeruhusiwa kijiunga na Freemasoni
Hao ni kama magaidi wanaojificha ili wasitambulike kwa Uovu wao. Freemasoni ni Ugaidi unaolenga kuua Ukristo duniani.
Nampongeza sana mtoa mada endelea kutupa ukweli hawa jamaa wanataka kuupoteza kabisa Ukristo, kwa kuyaharibu makanisa ili yawe ya kipagani na waumini wasijue kinachoendelea.
MTOA MADA ENDELEA KUTUELEZA NJAMA OVU ZA hizi Secret Society kwa Ukristo, na dunia kwa ujumla.
 
mkuu Eiyer mchango wako ni muhimu sana kwenye hii mada please
Kuna mambo mengi sana watu wanapaswa kuyafanyia utafiti bila kuongozwa na hisia zozote zile za kidini au kidhehebu ili waweze kupata ukweli.....

Ukishaona mtu anaona tu kuwa Freemason ndiyokila kitu au Illuminati jua kuna shida mahali kwasababu kuna zaidi ya hapo....
 
Asante Mtoa Mada
Kwa dhati kabisa nakupongeza mtoa mada.
Umeeleza vizuri sana kuhusu mada yako.
Wengi huwa wanaficha haya mambo lakini wewe umeonesha mwanga.
Nina uhakika Roho Mtakatifu amekuongoza ili kuwaaleza watu ukweli kuhusu
Freemason
Illuminant
New Word Order
na athari zake katika madhehebu ya Kikristo.

Binafsi nakuomba uendelee kutuelimisha na usiikatishe hii mada.
Hawa watu wamejiingiza sana kwenye Ukristo, wamejipenyeza kwenye madhehebu makubwa na madogo bila waumini kushituka.
Tunaona tu mara makanisa yanaanza kubariki vitendo vya ushoga nk.
Pia hiyo misalaba ni kweli hao watu wanaingiza misaraba yao makanisani, bila waumini kujua, mingi kati ya hiyo iko sawa kama huu + na mingine iko upside down yaani juu kurefu kupita chini. msalaba kawaida chini ni kurefu kupita juu.
Pia hao watu huchomeka sanamu za miungu yao kanisani, ndo maana AROON analia sana na jambo hili.
Huwa wanachukua picha za miungu yao na wana ziingiza kanisani kama sanamu za kumbukumbu za watakatifu wa zamani kama, Maria, Yosefu, na baadhi ya mitume na manabii kumbe ni miungu yao na bila kujua waumini wanaisujudia.
Ni kweli pia Freemason wanamtambua mpinzani wao ni Ukristo.
Hawana habari na dini nyingine na ndio maana wanataka Ukristo uonekane kama Old World Order ( OWO) na imani yao ndio New World Order. (NWO)
Ndio maana mguvu zao zote wanazielekeza makanisani huku nao wakufungua makanisa yao feki.

Sasa tuwe na tahadhari na mambo haya.

Mleta mada tunakusubiri kwa hamu uendelee kutuhabarisha juu ya jambo hili.
Umeongea ukweli kabisa , yaani freemason wameshaingia makanisani na wanaabudiwa bila wasiwasi

Asante sana kwa mchango wako
 
Hicho kitabu cha Albert Pike cha Morals and Dogmas of Freemason ninacho as a soft copy...nimekisoma hadi degree ya tatu, nikachoka kuendelea kwa sababu ya ugumu kukimeza, itabidi nikirudie tena hadi nikimalize...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa haya mambo lazima ya tokea maana Bwana Yesu alisema siku za mwisho wa hii dunia ndio itakavyo kuwa. Kama unalijua neno so tatizo liko wapi? Wewe husikii vita kila pahala na mauaji mpaka hapo MKIRU bado tu hujaelewa kuwa shetani anafanya kazi zake za final touches???!!! Kuwa nasa (sio ya kina Odinga) wengi ili aende nao katika lile ziwa liwakalo moto yaani jehanamu ya milele.


Na washawasha!


Huyo jama hajadharau kanisa ameeleza ukweli kuhusu nia ya Freemason.
Freemason waliuona Ukristo kuwa ni imani yenye nguvu za Kiroho na Kihalisia.
Kwakuwa lengo lao ni kutawala dunia Kiroho na Kihalisia, mkakati wao wa kwanza ulikuwa kuyapoteza malengo ya Ukristo.
Hapa sizungumzii Ukatoriki.
Mkakati wa pili ulikuwa ni kuitawala dunia kwa Sera ya New World Order.
Yaani kuingiza taratibu zitakazotawala au kushika hatamu kwenye ulimwengu mpya wa Kiroho na
Kiuhalisia.
Kwakuwa Roman Cathoric ndilo kanisa lenye nguvu na maarufu na lina waumini wengi zaidi, Freemason wakaanza kupandiliza watu wao ili wawe watumishi wa Kanisa katoriki ili wafanikishe kuliteka kuelekea upagani na kuhitimisha ndoto yao ya kuua Ukristo.
Hivyo ni ukweli kabisa kuna Maaskofu, makardinari, mapadre, makatekista kwenye kanisa Katoriki Anglikana nk. ambao ni mapandikizi ya Freemasoni.
Ona Anglikana walivyotekwa hadi makanisa ya Ulaya yameruhusu Ushoga kwa watumishi wake, hapo Freemason wanashangilia.
Ona jinsi baadhi ya watumishi wa kanisa Katoriki wanavyojihusisha na ubakaji, ulawiti, na wanamshinikiza sana Papa autambue Ushoga ili watimize lengo lao.
Freemasoni wamejipenyeza katika taasisi karibu zote zenye nguvu, na hata za dini ili watawale dunia.
Hakuna dhehebu la Kikristo ambalo ni kubwa lililoenea zaidi ya Bara moja ambalo hawajajipenyeza.
Vibaraka wao wapo hadi kwenye viongozi wenye mguvu wa Kisiasa.
Tusiwafumbie macho Freemasoni, wapo na wanajipenyeza kwa nguvu ndani ya Ukristo na Kanisa kwa ujumla ili Kuua Ukristo na kujenga himaya ya Shetani humo makanisani na Serikarini.
Freemasoni adui yao ni Ukristo na hawana habari na dini nyingine. Kwenye biblia yao inayoitwa
"The Holy Bible Of Freemason"
Kuna karibu mitume na manabii wote wanaotajwa kwenye Biblia ya Wakristo.
Yesu na wanafunzi wake kumi na mbili wapo, waandishi wa vitabu vya Agano jipya akina Mathayo, Luka, Paulo wote wapo.
Hii imefanyika ili watu waone kana kwamba wanasoma biblia halisi na Mungu ni yuleyule kumbe siyo.
Mtoa mada kaandika vizuri sana na Freemasoni hawataki aweke siri zao hadharani kiasi hiki ndio maana shughuri zao wanafanya kwa Siri ili kuficha nia yao Ovu. Kama wangekuwa na nia njema wangeabudu hadharani na kila mtu angeruhusiwa kijiunga na Freemasoni
Hao ni kama magaidi wanaojificha ili wasitambulike kwa Uovu wao. Freemasoni ni Ugaidi unaolenga kuua Ukristo duniani.
Nampongeza sana mtoa mada endelea kutupa ukweli hawa jamaa wanataka kuupoteza kabisa Ukristo, kwa kuyaharibu makanisa ili yawe ya kipagani na waumini wasijue kinachoendelea.
MTOA MADA ENDELEA KUTUELEZA NJAMA OVU ZA hizi Secret Society kwa Ukristo, na dunia kwa ujumla.
 
Back
Top Bottom