Niijuavyo Freemasonry

Niijuavyo Freemasonry

Hamjawahi kuwa wakweli nyinyi Chama cha Shetani nani atasikiliza porojo zako hizi wakati tayari mnajiita jamii ya siri

Walianza wakina Hassan wa Yahya Hussein kuwapamba pamba hawa jamaa hakuna aliyewasikiliza

Endi Chande nae alikuwa anapakapaka rangi weee eti ili watu wawachukulie poa...
Lakini wapi!
Mkuu tunaposema Freemason ni Secret Society hatumaanishi ni Jamii ya Siri; tunamaanisha ni Jamii Yenye Siri. Ndiyo maana jamii inafahamika na hata baadhi ya members wake wanafahamika, lakini yanayofanyika ndani ya hii jamii ndiyo hayafahamiki kwa wasio wanachama zaidi ya speculations na propaganda tu za watu wanaofikiri wanaijua sana Freemason
 
Na njia ya kujiunga, unafuata Taratibu ganI au wanataka vigezo gani?
Mpaka uwe una member ambaye yuko uko unamfahamu ndo apeleke ombi lako kule then yeye ndo hawe kama mdhamini wako tofauti na hapo utapigwa wezi wengi
 
Nikikwambia hakuna Freemason East Africa utaamini??,Hakuna kafara ya Watu inayotolewa na Masonic,na wala KANUMBA hakuwa masons .usipagawe na stor za vijiweni
Mbona Nairobi walikua wana londge yao wameifunga juzi?
 
Nkwesa Makambo,

Mkuu nimefarijika sana kuona kuna watu wengine ambao wanatilia mashaka jina hili Yehova

Binafsi mimi naamini kuwa sio jina la Mungu na hata hizo herufi zinazoitwa tetragrammaton ambazo ni YHWH nazo sio jina la Mungu,jina la Mungu ni EHYEH ASHER EHYEH,Yehova sio jina lake na wala YHWH sio Kiebrania,hiyo lugha inaitwa Babylonia Aramaic na wayahudi walikuja nayo kutoka utumwani babel na haina uhusiano wowote na lugha ya kiebrania

Waliofanya hadi jina hilo likawepo kwenye Biblia ni watu wanaojiita sacerd name movement ambao chimbuko lao ni Jehova witness ambao mwanzilishi wake ni Cahrles Taze Russel ambao ushahidi unaonesha alikuwa ni Freemason wa degree 33!
Ndo maana Jay Z amejiita Hov maana Jeova
 
T
SHAFII ABDALLAH,

Madhara ya story za kupikwa ndiyo haya, sasa umeshindwa kuelezea namna ulivyotajirishwa umeandika kisichoeleweka, ati ulikuwa unaenda na mama yako sokoni, au sokoni ndiyo freemason wenyewe ? unatunga story ili uje na uongo wa namna ulivyoptajirishwa na sijui kwako utajiri ni kitu gani, hujaeleza chochote kuhusu unachoitwa kutajirishwa wala namna ulivyotajirishwa, umeweka namba ya simu ili ndiyo upigiwe ueleze ulivyotajirishwa ?
Tapeli huyo
 
Nimekuwa nikijaribu kila wakati kufikiri na kufanya tafiti kwa kutumia akili binafsi bila machapisho wala vitabu rejeaa ma msaada hadithi za kusimuliwa,.moja ya mambo ambayo huwa nafikiria ni kuhusu jamii inayosemekana ni jamii ya siri(Free mason) kama wengi wanavoiita.,,

Yafuatayo ni baadhi ya mambo ambayo nimegundua ambayo pia yaweza kuwa tofauti na wengi wanavofikiri.


Nitaaanza kwanza kwa kuifafanua maana ya Free mason na misingi yake,(narudia tena please hii ni kwa mujibu wangu na nnaandika kutoka kichwan sio machapisho yoyote).

Free Mason ama wajenzi huru,ni jamiii ama kikundi ambacho kina misingi toka zaman sana enzi za mfalme solomon.kwa jinsi nnavojua mimi kilianzaa kama umoja wa wajenzi waliokuwa maarufu sana wakati ule hasa katika mambo.ya ramani na usanifu majengo,kikundi hiki kilikuwa namisingi yake mashariki yakati.wakati kinaanza hawakuwa na nia yoyote mbaya kama inavyosemekana sasa.


Walianza kama umoja wa wajenzi na baadae kutanuaka hadi ulaya,asia,america kusini na kaskazin na pia africa kaskazin na ethiopia.malengo yao makubwa yalikuwa kusaidia nak udumisha umoja wao na kuendeleza chama chao.

UHUSIANO WAO NA UTAJIRI
Baada ya kupata wafuasi(wajenzi),kikundi hiki kilitanuka na kushawishi watu waliokuwa nau wezo wa kifedha kuwekeza na kujiunga nao ili kuweza kuendelza imoja wao.matajiri mbali mbali kutoka mabara hasa ya ulaya na asia pia marekani waliwasapoti na kuinua mfuko wao wa umoja wa wajenzi.

Walikuwa wakichukua tenda za ujenzi katika sehem mbalimbali duniani na hivo kuanzisha kampuni nyingi karibu kila bara na kanda kadhaa. Na kwa sababu hiyo walijitengenezea jina na heshima na kwa kuwa walikuwa wengi matajir waliweza kushawishi mambo mengi katika siasa,sayansi,na dini.waliweza kufanya mageuzi katika serikal nyingi na kuweka watu waliowataka wao.waliweza pia kufadhili tafiti mbalimbali za lisayansi na kuwasapoti watu maarufu na kuwaaminisha watu kuwa wao(watu),kuwa ni bora na wanauwezo mkubwa kuliko........


KUHUSISHWA KWAO NA SHETANI

Baada ya jamii hii kukua na kuota mizizi ikiwa kama jamii wa wasomi,wataalam,wabunifu na watu maarufu,ilianza kujipanua na kujiingiza katika serikal kubwa duniani.na kushawishi mambo ambayo yalikuwa na manufaaa kwao na hasa katika kuendeleza umoja na mfuko ama ustawi wao.,
Kutokana na kukua kwake wajenzi hawa,wakafikia hatua ya kuanzisha imani yao binafsi,ambapo moja ya misingi yao ni kuamini katika nafsi(sisi),(we the people),rejea hotuba za rais obama za kuapishwa.kwah iyo wakaanzisha utaratibu wao wa kuabudu ambapo wamekuwa wakitoa kafara na sadaka mbali mbali kutokana na imani yao.wamekuwa na ishara zao z kutambuana n.k

Kutokana na wao kuamini katika uwezo wao,wamekuwa wakihisiwa kuwa wanapinga uwepo wa anayeitwa mungu badala yake kwamba wanamuunga shetani mkono.madai haya binafsi nayapinga kwa sababu kuu zifuatazo.

1.aina ya kuabudu wanayotumia Free masoni ni ile iliyotumiwa na mnaowaita mababa wa imani,ibrahim(Abraham ),mussa na akina solomon na wengine wengi.ref.pia kabla ya kuja wakoloni africa tulikuwa tunatoa kafara hadi ya binadam kwa mizim(was that masonic worship??)

2.hakuna kitabu cha masonic rules kinachoeleza wazi kwamba hakuna mungu,ila rules zoa zinaonesha misimamo na personal charachters za mwanadam ambazo hazina uhusiano na kisichoonekana.

3.masoni hawatoi kafara ya kuua wanadam bali ni mbuz,kondoo ama wanyama ambao ni adim kuwaona.

4.chuki,uoga na udhaifu wa dini ndo chanzo cha kusingizia yote.

WANAFANYAJE KAZI
Msonic hufanya shughuli zao kwa umakini na kanuni zao ni za siri pia.wanavitabu na mafunzo ya misingi imara katika dini yao.ili kuhakikisha wanajieneza kwa kiasi kikubwa ,wao hudeal na watu maarufu ama utafiki ama bidhaa pendwa ambapo husapoti na kuendesha shughuli mbalimbali kwa ufanisi mkubwa.

NINI LENGO LAO??
1. Free masonic,hawana lengo baya kama ambavo tumekuwa tukisimuliwa kila siku katika media.,lengo lao ni kutaka kujitawanya karibu kila pembe ya dunia na hivo kupata wafuasi ama waimini wa kutosha.,

2.pia kuitawala dunia(huu ni mpango endelevu ),na kwa imani na plan zao utatimia kabla ya mwaka 2040,lengo lao ni kuona watu wote wanakuwa kitu kimoja na kuunda umoja mahal pote katika uso wa dunia.

3.kutaka kumtoa mwanadam hofu ya misemo kama,SIKU YA HUKUMU,LIFE AFTER DEATH,KIAMA,HEAVEN,HELL n.k,vitu ambavyo kwa iman yao havipo na ni vya kufikirika.

FREE MASON NI DINI??

Kwa mtazamo wangu mimi masonic sio dini kam wengi wasemavyo,..,najua hujanielewa lakini em tufafanue nn maana ya dini,kwa nijuavyo mimi Dini ni aina ya maisha(/shughuli za kimaisha) ambayo mwanadam anaishi/anafanya kila siku.shughulizi hizo ni kama kuzalisha,kutambika,na tamaduni zote.kwa hiyo nikisema dini ni utamaduni nadhn bado ntakuwa sawa.

Lakini masonic sio dini,kwa hiyo pia sio utamaduni bali masonik ni IDEA,kijerumani wanaita IDEE,masonic ni idea tu ya kufanya jambo kwa misingi na utaratibu,na hata wanapokutana pamoja na karafa zao wanazoa ripoti za utendaji kaz na kupeana mikakati ya baaadae,( kwa hiyo sio dini bali ni idea tu.),


NB,niaminivyo mimi masonic ni kama Idea zingine ama theory tu.sifa nyingine tunazitoa sisi ambazo hata wao hawana wala hawajafikiria.,samahan kwa wale nilio wakwaza kwa uzi huu,ni mawazo yangu binafsi yaweza kuwa niko wrong pia.


,kwa maelezo zaidi,tafuta kitabi changa kinaitwa Free Ideas, cha 2013 july.
=======
----


Michango ya wadau

----

----

----

----

----
Umesema sio dini..
Je kwa mfano mimi ni mlokole kindakindaki nikataka kujiunga nao je !watakubali?
 
Mkuu nitaomba unitag kuna mambo mengi sana nimejifunza kweli Elimu haina mwisho
Eiyer,

Haya mambo tumeishayaongea sana hapa.
Nadhani kuna tatizo kubwa la kuchukulia kila issue independently, ni ngumu sana kuzungumzia kila kitu upya kila wakati kinapo resurface.

Ukiristo uliopelekwa Roma ulikuwa unazunguzia Mungu in duality, Converts wakawa wengi kiasi cha kutishia Ufalme kupinduka sababu ya kukosa fedha, ndio haraka sana habari za Maria na Yesu zikawa Spinned, BOOM, mungu akatengenezwa haraka haraka akawa ni yule yule wao ufalme ukaendelea.

Ntakuwapo jioni kwa mjadala zaidi, wakati huo niletee fungu linaloelezea utatu mtakatifu kabla ya kufa kwa Yesu na Kabla Injiri haijaubiliwa Roma.
 
Back
Top Bottom