Niijuavyo Freemasonry

Niijuavyo Freemasonry

Nmi pia ningependa sana kuona mchango wako hapa mkuu tafadhali sema chochte
Makala hii imeandikwa kwa mtindo ambao msomaji hawezi kupata maenezo ya kina juu ya kile kinachojadiliwa.Kwasababu hii hata kuchangia inakuwa ni tatizo sana maana hata hujui uchangie wapi....

Kwa mfano mtoa mada amezungumzia kuhusu hawa watu kuabudu namba na kutumia namna hizi kwenye matukio yao.Mtoa mada hajasema ni kwanini watu hawa wanaabudu na kuheshimu namba fulani fulani na siyo zote...

Mtu anayesoma mambo haya leo hataweza kuelewa ni kwanini namba hizi zinaheshimiwa na watu hawa,lakini pia atajiuliza ni kwanini 66 iwe 6*11.Mtoa mada inaonekana kuna mahali anakopi hivyo anashindwa kujibu baadhi ya maswali maana inaonekana hakuandika yeye....
 
Elewa anachosema hapo hamaanishi ulivyofikiri wewe, anazungumzia toka hicho kipind kwa miaka 66 inafikia 2011, muwe mnasoma na kuelewa,
Hadi naandaa nilijua wakurupukaji watashindwa kuelewa hapa, ndugu aliyenisaidia baadhi ya nukuu alizichambua juzi tu,kwahiyo sio kama nimesahau kuedit ndivyo ilivyo.
Ninyi mnataka kupoteza muda ambao hakuna haja ya kuupoteza....

Kilichoandikwa hapo kinaeleweka kabisa kuwa mwandishi aliyeandika hayo aliandika kabla ya mwaka 2011 ndiyo maana ameandika "ifikapo mwaka 2011"...

Ukiangalia hata ninyi wawili mnatofautiana maelezo ya ufafanuzi wa mkanganyiko huo...

Paragraph niliyoi quote inajitegemea na inazungumzia jambo lilalojitegemea na kwa maelezo hayo umedai kuwa mwaka huo kungekuwepo vita ya tatu ya dunia....

Tatizo lako ni kwamba una haraka ndiyo maana unakosea na hukutafuta maelezo ya kutosha kuhusu jambo hili na matokeo yake ni haya....

Kwa kukujulisha tu ni kwamba,kimahesabu,mwaka 2012 ulikuwa na maana zaidi kwa vyama hivi kuliko huo wako wa 2011 na kuna sababu na mambo mengi tu tatizo wewe ni mjuaji......

Sidhani kama umefanya utafiti wa kutosha kuhusu satanic numerology ili kujua zipi ni sacred number kwa secret society na ni kwanini maana naona kama pale unapotakiwa kueleza kwa kina hufanyi hivyo...
 
Eiyer,
Tatizo wewe mjuaji ila hujui kitu

Nakufahamu vizuri hunipi tabu, kwa mujibu wa mtoa mada amesema hizo quote zimeandikwa baada ya 2011, sasa wewe unakomaa tu ,achaga ujuaji maandazi, kuna watu wanaijua freemason kuliko uijuavyo wewe
 
Eiyer,
Wewe tatizo kichwa kigumu, mtoa mada kaeleweka, tatizo unajiganyaga mjuaji kwa kila kitu kumbe kopo tu
 
Tatizo wewe mjuaji ila hujui kitu

Nakufahamu vizuri hunipi tabu, kwa mujibu wa mtoa mada amesema hizo quote zimeandikwa baada ya 2011, sasa wewe unakomaa tu ,achaga ujuaji maandazi, kuna watu wanaijua freemason kuliko uijuavyo wewe
Sawa mkuu...
 
kiukweli mkuu eiyer hapa utaumiza kichwa bure uzi huu makosa mengi tu mm mwenyewe nimefanya kuu ignore tu kwa kuwa anayeuleta mwenyewe anaonekana ni copy and paste
Tatizo ukikosoa unaonekana mjuaji wakati sivyo....

Huyu mleta uzi hakuandika huu uzi au kama kaandika hakuandika jana au mwaka huu,hili liko wazi kabisa....

Lakini ameandika kwa mtindo kama wa mtu anayeandika "tips",haelezi kiundani ili anayesoma aelewe anataka kueleza nini,hili nalo ni tatizo lingine....

Mfano wa jambo hili ni pale anapozungumzia vitu kama G.A.O.T.U,hivi mtu ambaye ndiyo anasikia neno hili leo ataelewa nini kwa mfano?

Je ni kwanini Azazel/Shemjaza aliamua kujiita "msanifu mkuu wa ulimwengu"? [Great Architect Of The Universe]

Majibu ya suala hili yanapaswa kuanzia mbali kidogo lakini ndiyo hivyo wajuaji wanaita wasiokuwa wajuaji kuwa ni wajuaji....
 
Eiyer,
Kila kitu kimeelezwa tatizo, Unaleta ujuaji, sasa unataka aelezee kuhusu G.AO.TU , hiyo ni mada nyingine, na uzi utakuwa mrefu na kichosha ,

Nimeshakwambia acha ujuaji, mada hizi sio saizi yako, maana hupend papa akihusishwa na freemason, wakati ipo wazi
 
Kila kitu kimeelezwa tatizo, Unaleta ujuaji, sasa unataka aelezee kuhusu G.AO.TU , hiyo ni mada nyingine, na uzi utakuwa mrefu na kichosha ,

Nimeshakwambia acha ujuaji, mada hizi sio saizi yako, maana hupend papa akihusishwa na freemason, wakati ipo wazi
"Kila kitu kimeelezwa hapo"

"Unataka aeleze kuhusu G.A.O.T.U,hiyo ni mada nyingine"

"Uzi utakuwa mrefu sana"


Halafu mtu huyu huyu anaita wengine wajuaji na wasiojua kitu,mkuu kwa namna hii kweli sijui kitu kabisa na mada hizi siyo saizi yangu.....

Ahsante sana mkuu....
 
Mleta mada tupe vitu uzi mfupi ongeza maneno, ninaufuatilia kwa karibu
 
nilisubiria sehemu yapili kwa hamu kumbe pumba tupu! mada yenu ilikua inahusu frimasoni na makanisa mara wameingia iliuminati na papa! hatakama sijui kitu lakini nyinyi ndio hamnazo kabisa yaani Eiyer nakushauri ndugu yangu achana na hizi pumba.
 
Kwa upande wa quran unawaonea freemsons hawajaiandika wao labda biblia,freemasons wana maneno yakuvutia kukuingiza mitegoni,kwenye quran hamna maneno hayo,quran imeandikwa na mtu mmoja tu tena kwa
Kukurupuka huku akiwa ana hasira kali
Nani huyo mwenye kukurupuka akaiandika Qur'an?

sent from kimeo cha kuazima
 
Mkuu nimeshangaa tu kwasababu nimeshangaa kweli kweli kwenye mada hii....

Nilitaka kuandika mambokadhaa lakini nimeamua kuacha maana naona kama utakuwa ni mvurugano tu...

Nimeamua nimuache mkuu na mada yake na nitasoma tu....
Mkuu Eiyer weka busara zako hapa,usipite kimya hivyo. Huu ni ulingo wako kabisaa mkuu
 
Back
Top Bottom