Sawa, naomba unijibu maswali mafupi tu yafuatayo:-Wakuunge ukafanye nini?
Hawaungi watu wasio na muelekeo wa maisha,wanaunga watu wanaoweza kuwasaidia binadamu wengine kufikia malengo yao.
Sawa, naomba unijibu maswali mafupi tu yafuatayo:-
- Wewe umeyajuaje Haya? Uliyathibitisha?
- Kwa mfano ni nani aliyeungwa akawasaidia wengine kufikia malengo yao?
-Nitajie na huyo/hao waliofikishwa kwenye malengo yao na Freemasons.
Usiende kugoogle na kuleta taarifa ambazo wewe hujazithibitisha.
Sent using Jamii Forums mobile app
Freemason ni kama SACCOS ya watu matajairi na maarufu.
Wewe una uhakika gani kama zimethibitishwa?Nikigoogle nikaleta taarifa ambazo zimethibitishwa utaziamini?
Unajuaje habari ya mtandaoni imethibitishwa? Kwa mfano inapotoka taarifa ya serikali kwenye mtandao kwamba Mwigulu amechaguliwa kuwa waziri,wewe unafahamu vipi ni ya kweli?
Nikigoogle nikaleta taarifa ambazo zimethibitishwa utaziamini?
Mi nawachora tu. Mpambano mkali.....Sawa, naomba unijibu maswali mafupi tu yafuatayo:-
- Wewe umeyajuaje Haya? Uliyathibitisha?
- Kwa mfano ni nani aliyeungwa akawasaidia wengine kufikia malengo yao?
-Nitajie na huyo/hao waliofikishwa kwenye malengo yao na Freemasons.
Usiende kugoogle na kuleta taarifa ambazo wewe hujazithibitisha.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sifahamu,Unajuaje habari ya mtandaoni imethibitishwa? Kwa mfano inapotoka taarifa ya serikali kwenye mtandao kwamba Mwigulu amechaguliwa kuwa waziri,wewe unafahamu vipi ni ya kweli?
Hahaha, mwenye chai ni wewe unayetudanganya na kushindwa kubainisha jambo unaloleta humu jamvini.Kama hata huwezi kuthibitisha taarifa kama ni credible basi huwezi kusaidika,endelea tu na chai zako tusipotezeane muda.
KaribuEti ni shughuli za kimaisha,kwahyo wahadzabe unawazungumziaje?
nimecheka, sidhani kama hao ni FreemasonsAisee hawa watu ni hatari sana. Walimrubuni binti yangu anasoma udsm. Wakampeleka kwenye sinagogi la shetani na kumwapisha kwa jina la mpinga kristo 666, wakachukua alama za vidole, wakamshurutisha kukamilisha code 666 kwa fedha 666,000 ndani ya muda waliompa.
Bint akataka kujitoa wakaanza kumpigia simu na kumtumia ujumbe wa vitisho. Mara kadhaa alipigiwa simu kutoka namba 666, alipopokea mpigaji alisikika kama upepo mkali au mawimbi, alipokata mpigaji alituma meseji yenye lugha isiyoeleweka.
Baadae walimtuma mjumbe wao kumweleza ukiacha imani hii itakughalimu maisha yake au ndugu zake. Kuna mambo mengi mabaya ya FM ambayo nikiyaandika hapa nahitaji masaa 4 ....
Bado hujaijua vizuri ila unahisihisi tu.Nimekuwa nikijaribu kila wakati kufikiri na kufanya tafiti kwa kutumia akili binafsi bila machapisho wala vitabu rejeaa ma msaada hadithi za kusimuliwa,.moja ya mambo ambayo huwa nafikiria ni kuhusu jamii inayosemekana ni jamii ya siri(Free mason) kama wengi wanavoiita.,,
Yafuatayo ni baadhi ya mambo ambayo nimegundua ambayo pia yaweza kuwa tofauti na wengi wanavofikiri.
Nitaaanza kwanza kwa kuifafanua maana ya Free mason na misingi yake,(narudia tena please hii ni kwa mujibu wangu na nnaandika kutoka kichwan sio machapisho yoyote).
Free Mason ama wajenzi huru,ni jamiii ama kikundi ambacho kina misingi toka zaman sana enzi za mfalme solomon.kwa jinsi nnavojua mimi kilianzaa kama umoja wa wajenzi waliokuwa maarufu sana wakati ule hasa katika mambo.ya ramani na usanifu majengo,kikundi hiki kilikuwa namisingi yake mashariki yakati.wakati kinaanza hawakuwa na nia yoyote mbaya kama inavyosemekana sasa.
Walianza kama umoja wa wajenzi na baadae kutanuaka hadi ulaya,asia,america kusini na kaskazin na pia africa kaskazin na ethiopia.malengo yao makubwa yalikuwa kusaidia nak udumisha umoja wao na kuendeleza chama chao.
UHUSIANO WAO NA UTAJIRI
Baada ya kupata wafuasi(wajenzi),kikundi hiki kilitanuka na kushawishi watu waliokuwa nau wezo wa kifedha kuwekeza na kujiunga nao ili kuweza kuendelza imoja wao.matajiri mbali mbali kutoka mabara hasa ya ulaya na asia pia marekani waliwasapoti na kuinua mfuko wao wa umoja wa wajenzi.
Walikuwa wakichukua tenda za ujenzi katika sehem mbalimbali duniani na hivo kuanzisha kampuni nyingi karibu kila bara na kanda kadhaa. Na kwa sababu hiyo walijitengenezea jina na heshima na kwa kuwa walikuwa wengi matajir waliweza kushawishi mambo mengi katika siasa,sayansi,na dini.waliweza kufanya mageuzi katika serikal nyingi na kuweka watu waliowataka wao.waliweza pia kufadhili tafiti mbalimbali za lisayansi na kuwasapoti watu maarufu na kuwaaminisha watu kuwa wao(watu),kuwa ni bora na wanauwezo mkubwa kuliko........
KUHUSISHWA KWAO NA SHETANI
Baada ya jamii hii kukua na kuota mizizi ikiwa kama jamii wa wasomi,wataalam,wabunifu na watu maarufu,ilianza kujipanua na kujiingiza katika serikal kubwa duniani.na kushawishi mambo ambayo yalikuwa na manufaaa kwao na hasa katika kuendeleza umoja na mfuko ama ustawi wao.,
Kutokana na kukua kwake wajenzi hawa,wakafikia hatua ya kuanzisha imani yao binafsi,ambapo moja ya misingi yao ni kuamini katika nafsi(sisi),(we the people),rejea hotuba za rais obama za kuapishwa.kwah iyo wakaanzisha utaratibu wao wa kuabudu ambapo wamekuwa wakitoa kafara na sadaka mbali mbali kutokana na imani yao.wamekuwa na ishara zao z kutambuana n.k
Kutokana na wao kuamini katika uwezo wao,wamekuwa wakihisiwa kuwa wanapinga uwepo wa anayeitwa mungu badala yake kwamba wanamuunga shetani mkono.madai haya binafsi nayapinga kwa sababu kuu zifuatazo.
1.aina ya kuabudu wanayotumia Free masoni ni ile iliyotumiwa na mnaowaita mababa wa imani,ibrahim(Abraham ),mussa na akina solomon na wengine wengi.ref.pia kabla ya kuja wakoloni africa tulikuwa tunatoa kafara hadi ya binadam kwa mizim(was that masonic worship??)
2.hakuna kitabu cha masonic rules kinachoeleza wazi kwamba hakuna mungu,ila rules zoa zinaonesha misimamo na personal charachters za mwanadam ambazo hazina uhusiano na kisichoonekana.
3.masoni hawatoi kafara ya kuua wanadam bali ni mbuz,kondoo ama wanyama ambao ni adim kuwaona.
4.chuki,uoga na udhaifu wa dini ndo chanzo cha kusingizia yote.
WANAFANYAJE KAZI
Msonic hufanya shughuli zao kwa umakini na kanuni zao ni za siri pia.wanavitabu na mafunzo ya misingi imara katika dini yao.ili kuhakikisha wanajieneza kwa kiasi kikubwa ,wao hudeal na watu maarufu ama utafiki ama bidhaa pendwa ambapo husapoti na kuendesha shughuli mbalimbali kwa ufanisi mkubwa.
NINI LENGO LAO??
1. Free masonic,hawana lengo baya kama ambavo tumekuwa tukisimuliwa kila siku katika media.,lengo lao ni kutaka kujitawanya karibu kila pembe ya dunia na hivo kupata wafuasi ama waimini wa kutosha.,
2.pia kuitawala dunia(huu ni mpango endelevu ),na kwa imani na plan zao utatimia kabla ya mwaka 2040,lengo lao ni kuona watu wote wanakuwa kitu kimoja na kuunda umoja mahal pote katika uso wa dunia.
3.kutaka kumtoa mwanadam hofu ya misemo kama,SIKU YA HUKUMU,LIFE AFTER DEATH,KIAMA,HEAVEN,HELL n.k,vitu ambavyo kwa iman yao havipo na ni vya kufikirika.
FREE MASON NI DINI??
Kwa mtazamo wangu mimi masonic sio dini kam wengi wasemavyo,..,najua hujanielewa lakini em tufafanue nn maana ya dini,kwa nijuavyo mimi Dini ni aina ya maisha(/shughuli za kimaisha) ambayo mwanadam anaishi/anafanya kila siku.shughulizi hizo ni kama kuzalisha,kutambika,na tamaduni zote.kwa hiyo nikisema dini ni utamaduni nadhn bado ntakuwa sawa.
Lakini masonic sio dini,kwa hiyo pia sio utamaduni bali masonik ni IDEA,kijerumani wanaita IDEE,masonic ni idea tu ya kufanya jambo kwa misingi na utaratibu,na hata wanapokutana pamoja na karafa zao wanazoa ripoti za utendaji kaz na kupeana mikakati ya baaadae,( kwa hiyo sio dini bali ni idea tu.),
NB,niaminivyo mimi masonic ni kama Idea zingine ama theory tu.sifa nyingine tunazitoa sisi ambazo hata wao hawana wala hawajafikiria.,samahan kwa wale nilio wakwaza kwa uzi huu,ni mawazo yangu binafsi yaweza kuwa niko wrong pia.
,kwa maelezo zaidi,tafuta kitabi changa kinaitwa Free Ideas, cha 2013 july.
=======
----
Michango ya wadau
----
----
----
----
----
Naungana na weweFreemason ni kama SACCOS ya watu matajairi na maarufu.
Freemason hawamuungi kila mtu, wao ndo wanakualika ujiunge, kama una rafiki member ambaye yupo tayar Freemason yeye ndo atakualika, baada ya hapo watakufanyia mahojiano wakiona unafaa utakuwa memberKwani nani alikuambia kuwa Freemason wanamwunganisha mtu yeyote anayeenda kuulizia pale kwenye ofisini yao Posta ?
Sent using Jamii Forums mobile app