Niijuavyo Freemasonry

Niijuavyo Freemasonry

Prussia na ujeruman kumbe zilikuwa nchi mbili tofauti. Nimejifunza jambo jipya.
 
Mambo mengine ni usanii tu..freemason ndo kitu gani ilihali hapa hapa Tz ukienda hapo vijiji vya nyuma ya mgodi wa Mwadui unakutana na waganga watoa makafara mtu ukapata pesa,mambo haya yamemzunguka kila mtu na ni imani yako kuyaamini au kuamini akili na nguvu zako,kuna mbwembwe nyingi za watu kuisema hiyo freemason ilihali hata uthibitisho wa waliona kwa macho hawajawahi ona,hao ni watakatisha fedha tu kwa mgongo wa uongo wa neno freemason

JAH RASTAFARI MORNING AFRICA
 
Kwa hiyo ni mtu mmoja katika nafsi 4 za jF. Wewe otorongongo uko na nafsi ngapi za jF? Kama umeweza mgundua mwenzako si haba, uko vizuri.



Na washawasha!
Mkuu, kuna uzi ameanzisha ID ya Aroon, sasa katika kuchangia , ikaja ID ya JerryMsigwa.....post inayofuata ikaja ID ya Hamis77...
Bila kupepesa macho Mods naona wakazi-merge pamoja..

Kila nilipom-quote Jerrymsigwa ile quoting post inaandika hamis77...
Na-quote post ya Aroon mara nilicho-quote ni Hamis77
 
Sasa wale wanaoshangaa Mungu kuwa na nafsi Tatu, yaani Mungu Baba, Mwana na Roho Mtakatifu ndio wajifunze kitu. Mwanadamu ambaye si lololte si chochote kiuwezo ukilinganisha na Mungu anaweza kuwa na nafsi kwa maana ya Ids za jF zaidi ya moja vipi Mungu muweza wa yote. Hapa jF una kuta mtu mmoja huyo huyo ana nafsi ya kupinga tu, kupongeza tu, kujifanya ujuaji tu nk.


Na washawasha!


Mkuu, kuna uzi ameanzisha ID ya Aroon, sasa katika kuchangia , ikaja ID ya JerryMsigwa.....post inayofuata ikaja ID ya Hamis77...
Bila kupepesa macho Mods naona wakazi-merge pamoja..

Kila nilipom-quote Jerrymsigwa ile quoting post inaandika hamis77...
Na-quote post ya Aroon mara nilicho-quote ni Hamis77
 
Mkuu, kuna uzi ameanzisha ID ya Aroon, sasa katika kuchangia , ikaja ID ya JerryMsigwa.....post inayofuata ikaja ID ya Hamis77...
Bila kupepesa macho Mods naona wakazi-merge pamoja..

Kila nilipom-quote Jerrymsigwa ile quoting post inaandika hamis77...
Na-quote post ya Aroon mara nilicho-quote ni Hamis77
pole sana mkuu, we jibu hoja za post wacha kufuatilia huyu ni nani na nani...hao moderators KAMWE hawawewezi kufanya utakalo, KAMWE hawawezi
 
zilete mkuu, ziweke screenshot kabisa...hahahhaha mimi sio miongoni mwa hao akina Aaron wala nani
Tunaanza kama ifuatavyo..

Wenye akili tumejua ukweli ni upi kama pembe ndogo ni RC au la kwa sababu kila kitu kipo na rejea. Asante sana kwa mjadala

The Same post
Wenye akili tumetambua RC ndio pembe ndogo maana anahusika kila kitu na sifa za pembe ndogo

YHWH IS GOOD

Hii Signature ya YHWH IS GOOD eti ni ya nani...???
 
Back
Top Bottom