Mafanikio ya mwanadamu yamefungwa katika kutumia kipaji alichonacho, kila MTU anakipaj changamoto iliyopo ni kukijua kipaji ulichonacho wachache ndo wanaweza kujua na kutumia vipaji walivyonavyo, ndo maana matajiri ni wachache
Ili Mingu akusaidie uwe mbunifu na tajiri, lazima utumie kipaji alichokupa, Mithali 17:8, elimu ni kama mbolea au kibebeo cha kukifanya kipaj chako kinawiri, ndo maana hata Leo watu wengi wamesoma na hawana kazi Kwa sababu wanafikiri elimu ndo itakayowapa mafanikio kumbe ni kipaji.
Na shetani alishakaa na Mungu Kwa hy kuna vitu anavijua sis hatuvijui, na ndo maana inakua ni moja ya sababu ya mwanadamu kutoweza shindana na shetani, pasipo kuwa na msaada wa ki-Mungu.
Shetani ana project nyingi nyingi anazofanya kueneza ufalme wake, mojawapo ni kupitia Freemason
Freemason wanatumia watu ambao wanatumia vipaji vyao na sio ambao hawatumii, ukiwa fukara usie jitambua freemason hawana mda na wewe, na moja ya kaz zao Kwa sababu zipo nyingi ni kumuongezea mtu uwezo wa kuconnect ulimwengu wa roho na mwili, ili kuifanya akili kufanya kaz pasipo upinzani, na hii mbinu wameiiga kutoka Kwa Mungu sio yao.
Na Kwa sababu watu wa Freemasons wanaweza kuimaster hii mbinu wanakuwa wabunifu kwenye biashara, Sanaa na kuwa matajiri
Hata katika hali ya kawaida binadamu anayeweza kuconnect ulimwengu wa roho na mwili kama leonardo da vinci atafanya mambo makubwa, Kwa sababu udhaifu wa mwanadamu ni kutoweza kuconnect ulimwengu wa roho na mwili ambao kunaifanya akili isifanye Nazi kiufanisi.
Kwa sababu ulimwengu wa roho ni halisi zaid ya mwili na vitu vingi vinaanzia ulimwengu wa roho ndo vinakuja ulimwengu wa mwili, ndo maana likaja neno VISION kuna kitu unakiona ila katika ulimwengu wa mwili hakipo.
Ndo maana watu wanaomwamin Mungu moja ya sababu hawana mafanikio, ni kutokua na uwezo wa kuconnnect ulimwengu wa mwili na roho ili kuiwezesha akili kufanya kazi kiufanisi, badala yake wanategemea miujiza.
Hata mwanadamu ni nadra sana kumkuta mwanadamu ametumia akili yake asilimia 100, Kwa sababu hatuna uwezo wa kuconnect ulimwengu wa roho na mwili ili akili ifanye kazi Kwa ufanisi
Ukiweza kuconnect ulimwengu wa roho na mwili akili itakupa mawazo ya kiubunifu ambao mwili hauwezi kukataa, sababu upinzani mmoja wapo ni kwamba akili na mwili vinashindana badala ya kushirikiani.