Nifanyeje mat'ako' yasitingishike nitembeapo?

Nifanyeje mat'ako' yasitingishike nitembeapo?

Status
Not open for further replies.
1. Wewe ni jinsia gani? kama kiume basiiiiiii watu washakula kavukavu
2. kama wa kike rudi china wakupe sawa ya kureverse makalio
3. Unaweza tembea mbele nyuma na nyuma mbele
4. Tembea uchi
 
dah!..mpaka mwili umenisisimka..dah!..kiukweli nimeguswa na tatizo lako...na umepata bahati kwa kuwa mimi ni daktari wa wanawake...na nimebobea sana huo upande unaokuletea shida...kwa kifupi tatizo lako kuanzia muda litabaki kuwa historia..hebu nicheck PM..maana hapa wanga wengi sana..
 
Nina mwili WA kawaida kabisa, ILA huko nyuma Nina mzigo mzito, laini, kiasi kwamba unatingishika Sana nitembeapo. Naona aibu kwani nashangiliwa na kupigiwa miluzi.
Nimejaribu kuvaa skin tight zaidi ya tatu kwa pamoja ili kukaza nyama zisitingishike lakini haisaidii.
Nimejaribu aina mbalimbali za mazoezi lakini bado tatizo liko palepale.
Nisaidieni means JF mwenzenu.
Acha Dog style wakati wa majambozi...
 
u were born that way!!!nini shidaaa tingisha mama uwezavyo! u cant avoid the naturee!!!tingisha tingishika watingishie GILESI........!hata mimi ninalo nalitingishaga mpaka baaaasi afu naona kawaida tu
 
On a positive response: put on underpants that will hold the whole mzigo,inapunguza kutingishika,i am average size but got a lil popped out kibooty,most times my friends doubt kama nimevaa underpants sababu ya movement ya my kibooty inspite of putting underpants that hold it all. So try my advice and consult training experts on excerciss that will make it firm (squats may work for you) they put the booty in shape,smooth and makes it firm.Good luck Dada!!
Msinijie na manegativity yenu ya kuita watu wauzaji hapa,maana mmecramishwa kuita watu wauzaji.
ms_shylo mbona hata hawana ID wapo kama mwingine yoyote,
so we can not conclude
 
Last edited by a moderator:
mimi pia nilikuwa na tatizo kama la kwako lakini limekwisha. Ni PM nikupe maelekezo dadangu !
 
kwanza hujasema jinsia gani,kama n boy pole kama n ke hongera,maana kunawengine wanatamani hali hiyo lakini wamepigwa pas ile hali sio wahindi.

nakushaur achana na kufikiria juu ya makalio yako pindi utembeapo we yaache tu yabwabwaje
 
Nina mwili WA kawaida kabisa, ILA huko nyuma Nina mzigo mzito, laini, kiasi kwamba unatingishika Sana nitembeapo. Naona aibu kwani nashangiliwa na kupigiwa miluzi.
Nimejaribu kuvaa skin tight zaidi ya tatu kwa pamoja ili kukaza nyama zisitingishike lakini haisaidii.
Nimejaribu aina mbalimbali za mazoezi lakini bado tatizo liko palepale.
Nisaidieni means JF mwenzenu.



.....tuwekee picha ya hyo mizigo... lakn hii post isije ikawa Advertise
 
Pole dada yangu lakini kumbuka ndo uumbaji wa mungu huo.
 
Ivi ungepata mzigo km huu nadhani ungeenda TBC,ITV,STAR TV kuomba msaada kuna wanadamu wenzio wanavuta makontena ww yaache tu kwn kesi?
ImageUploadedByJamiiForums1387772719.980299.jpg

Aya jilinganishe na uyu pia km umewazidi hawa magoma moto wawili bac unahitaji msaada
ImageUploadedByJamiiForums1387772998.650715.jpg
 
u were born that way!!!nini shidaaa tingisha mama uwezavyo! u cant avoid the naturee!!!tingisha tingishika watingishie GILESI........!hata mimi ninalo nalitingishaga mpaka baaaasi afu naona kawaida tu
charty unalitingishiaga wapi nije kuona live?
 
Last edited by a moderator:
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Back
Top Bottom